Barua ya wazi kwa Lady Jay Dee na Ruge Mutahaba!

Hata kupangilia hoja zako hujui, unaandika as if unaandika majina ya wapiga kelele baada ya kubananishwa na mwl wa zamu, umerudia rudia maneno kama unaimba chorus, umepotezea tu watu muda na utumbo wako huu!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
bora ungeweka audio tuisikilizi kuliko hilo bandiko lako la kigazeti gazeti
 

Nimemeona kitu kimoja au viwili. Kwamba hii barua imemlenga Jide wala si Ruge. Iko Biased imemkandamiza Jide lakini haikuonyesha alitakiwa kufanya nini after being fed up na unyonyaji wa Clouds, je akae kimya afe na tai shingoni?

Pili, kama si Ruge kaandika barua hii basi ni mtu wake wa karibu. It seems anataka kuonesha kuwa Jide ni mkosaji lakini indirectly kuwa kujifanya fair kwamba anamsema na Ruge.
 

UMETUMWA WEWE, na ndio maana ulileta post yako ya Eti wimbo wa Joto Hasira umechuja mapema. Sikujua kumbe ulianza kazi hii siku nyingi. Rudisha tu hela yao, kama Mjomba alivyorudisha nauli, waambie kazi imeshinda. Wala hueleweki huku. Jide bado yuko juu sana kote kote!
 
una mawazo mazuri sana
 
Yule dada kinachomsumbua ni mapepo\ majink. Hakuna la zaidi.
 
Wanajamvi, naomba nimhoji mwandishi wa barua hii kwa mambo yafuatayo

1. Suala la Jide kusema hadharani yale aliyofanyiwa na Clouds media, limemchafua yeye kiaje?

2. Ukisema kwamba kauli za Jide kuhusu Clouds media hazina athari zozote kwenye jamii, umefanya utafiti kujua ni kwa kiasi gani jamii inawachukulia clouds media kwa sasa? Umeongea na wasanii kujua maoni yao?
3. Umezungumzia suala la ma-dj wa clouds kuomba hongo ili wacheze miziki ya wasanii, unafaham kwamba clouds media wanawanyonya wasanii hata kwa shoo ambazo huwaandalia?
4. Suala la Jide kuzungumza mabaya ya Clouds Media ni mwendelezo wa harakati za Mr. II (sugu) na vinega kupiga vita unyonyaji wa Clouds, je unafaham hilo?
5. Ni lipi jema ambalo Jide angefanya ili kuokoa sanaa yake na wasanii wengine ambao wamenyonywa kwa muda mrefu na Clouds Media (Akiwemo #Scorpio - RIP Ngwair)?

Tafadhari nijibu maswali hayo ili uwe angalau umegusa upande wa pili wa barua yako! Umezungumza sana kuhusu Jide, lakini umewatetea sana Clouds Media. Maswali yangu yamelenga kufaham uelewa wako kuhusu upande wa clouds kwenye sakata hili.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Mambo meengi point mbili tatizo la kusoma michepuo isiyo na somo la hesabu.
 
Barua huwa haziandikwi hivi, ----- tupu, sio tatzo lako mmezoea kuandika mi essay kujaza booklet
 
Sio lazima kila unachokisikia au kukiona ukichangie au kusema lolote juu yake, unaweza kukuta unajidhalilisha buure! Ona sasa unaonekana ni mtu ambaye ufahamu kiduuchu sana kama mwenyewe pia ulivyojidharau kwa kujiita mtu wa mtaani, ptuu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…