Barua ya wazi kwa mashabiki wa Kenyatta na Agwambo

Barua ya wazi kwa mashabiki wa Kenyatta na Agwambo

tpaul

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2008
Posts
24,225
Reaction score
22,632
Mnaoshabikia ushindi wa Kenyatta, huku mkijua kwamba nchi ya Kenya ipo ndani ya EAC, sijui mnategemea nini? Fahamu kwamba Kenyatta ana kesi ya kujibu ICC na mataifa ya magharibi yalishatangaza kumpa kisogo endapo atashinda urais wa Kenya. Na pia mnapaswa kutambua kwamba ushindi wa Kenyatta umetokana na siasa za ukabila.

Kabila la wakikuyu ndilo kubwa kushinda yote nchini kenya, wakifuatiwa na makabila lukuki ya wakalenjin. Ushindi wa Kenyatta (kwa kutumia kete ya ukabila) ulionekana tangu zamani walipoungana na Ruto kutengeneza kundi moja la Jubilee. Ni wale wasojua ukweli kuhusu siasa za ukabila na ukanda za Kenya ndio wangeweza kudhani kwamba Odinga angeshinda.

Hata hivyo, Agwambo ameonesha ukomavu kwa kushinda kura kutoka karibu maeneo yote ya nchi bila kutegemea ukabila. Inabidi tukubali matokeo kama yalivyo kwani wakenya ndivyo walivyoamua lakini huu uamuzi wao utawa-cost. Watanyimwa misaada na wazungu hadi watakula majani! Kama wameshindwa kusoma alama za nyakati na badala yake wameamua kumuingiza mtuhumiwa ikulu, itakula kwao! Kibaya zaidi ni pale Kenyatta na Ruto watapohukumiwa kufungwa maisha au kunyongwa na ICC! Nchi itabaki bila rais wala makamo wake!

Kwa wale msofahamu vema siasa za Kenya, hebu ona kilichommmaliza odinga ni hiki hapa. Angalia idadi ya wapiga kura wa CENTRAL na RIFT VALLEY:

Region Voter Registration
Central
2,190,477
Coast
1,164,083
Eastern
1,988,475
Nairobi
1,778,903
North Eastern
451,865
Nyanza
1,954,756
Rift Valley
3,373,853
Western
1,434,987

Ni wazi kwamba Ruto ndiye alikuwa kete ya ushindi wa urais kwani mkoa wake wa wakalenjin (Rift Valley) una wapiga kura wa kumwaga. Na karibu nusu ya wapiga kura wametokea Rift valley na Central (the strongholds of the Ocamo two!). Kwa mtaji huu, hata kama Ruto angeamua kujiunga na Martha Karua, lazima Karua angetinga ikulu. Na sio Karua tu, hata angeamua kuungana na Peter Keneth, lazima tu angeshinda urais maana kinachoangaliwa hapo ni UKABILA tu wala sio SERA za mgombea au chama chake!

Wapiga kura ni wachache sana katika maeneo ambayo Odinga anaungwa mkono. Lakini hata hivyo Agwambo amejitahidi sana. Agwambo kubali matokeo muijenge Kenya yenu.
Viva Agwambo!
Haya na nyie watanzania mlokuwa mnashabikia siasa za Kenya (ambazo hazina faida yoyote kwenu), rudisha akili zenu nchini kwenu mkashughulikie matatizo yaliyoigukbika nchi yenu. Bado tatizo la kufeli kwa wanafunzi halijapata ufumbuzi. Pamoja na hili, kuna matatizo lukuki yanayolighubika taifa lenu kama vile majaribio ya kuuwawa kwa wandishi wa habari, Dr Ulimboka, nk. Yote haya ukichanganya na matatizo sugu ya UFISADI, yanatosha kuwafanya kila siku muwe mnatafakari kuhusu mstakabali wa taifa lenu. Sio kuacha kwenu kunaungua, mnakimbilia kwenda kushabikia ugomvi wa jirani usiowahusu. Rudisheni akili zenu nyumbani, nchi yenu ya kifisadi inataeketea! Tafakari, chukua hatua!
 
According to Forbes Magazine, Uhuru Kenyatta is the 23 richest person in Africa and has a net worth of $500 million.
 
Dah!!!! kamanda w ni mkali nimekupata vilivyo
 
hata,kibaki alishilikiana na luto.moi nae alishirikiana na lutto.alizaliwa kudanganya
 
Kwa hiyo mkuu kwa vile kenya iko east africa tungeenda kupiga kura ili odinga ashinde? Maamzi ya wakenya ni yao na wamechagua mtu wanayemtaka,obama hawezi walazimisha wakenya wamchague odinga.
 
Ndo hivyo mkuu, mwenzako ndo keshakuwa Rais hivyo!
 
Mnaoshabikia ushindi wa Kenyatta, huku mkijua kwamba nchi ya Kenya ipo ndani ya EAC, sijui mnategemea nini? Fahamu kwamba Kenyatta ana kesi ya kujibu ICC na mataifa ya magharibi yalishatangaza kumpa kisogo endapo atashinda urais wa Kenya. Na pia mnapaswa kutambua kwamba ushindi wa Kenyatta umetokana na siasa za ukabila.

Kabila la wakikuyu ndilo kubwa kushinda yote nchini kenya, wakifuatiwa na makabila lukuki ya wakalenjin. Ushindi wa Kenyatta (kwa kutumia kete ya ukabila) ulionekana tangu zamani walipoungana na Ruto kutengeneza kundi moja la Jubilee. Ni wale wasojua ukweli kuhusu siasa za ukabila na ukanda za Kenya ndio wangeweza kudhani kwamba Odinga angeshinda.

Hata hivyo, Agwambo ameonesha ukomavu kwa kushinda kura kutoka karibu maeneo yote ya nchi bila kutegemea ukabila. Inabidi tukubali matokeo kama yalivyo kwani wakenya ndivyo walivyoamua lakini huu uamuzi wao utawa-cost. Watanyimwa misaada na wazungu hadi watakula majani! Kama wameshindwa kusoma alama za nyakati na badala yake wameamua kumuingiza mtuhumiwa ikulu, itakula kwao! Kibaya zaidi ni pale Kenyatta na Ruto watapohukumiwa kufungwa maisha au kunyongwa na ICC! Nchi itabaki bila rais wala makamo wake!

Kwa wale msofahamu vema siasa za Kenya, hebu ona kilichommmaliza odinga ni hiki hapa. Angalia idadi ya wapiga kura wa CENTRAL na RIFT VALLEY:

Region Voter Registration
Central
2,190,477
Coast
1,164,083
Eastern
1,988,475
Nairobi
1,778,903
North Eastern
451,865
Nyanza
1,954,756
Rift Valley
3,373,853
Western
1,434,987

Ni wazi kwamba Ruto ndiye alikuwa kete ya ushindi wa urais kwani mkoa wake wa wakalenjin (Rift Valley) una wapiga kura wa kumwaga. Na karibu nusu ya wapiga kura wametokea Rift valley na Central (the strongholds of the Ocamo two!). Kwa mtaji huu, hata kama Ruto angeamua kujiunga na Martha Karua, lazima Karua angetinga ikulu. Na sio Karua tu, hata angeamua kuungana na Peter Keneth, lazima tu angeshinda urais maana kinachoangaliwa hapo ni UKABILA tu wala sio SERA za mgombea au chama chake!

Wapiga kura ni wachache sana katika maeneo ambayo Odinga anaungwa mkono. Lakini hata hivyo Agwambo amejitahidi sana. Agwambo kubali matokeo muijenge Kenya yenu.
Viva Agwambo!
Haya na nyie watanzania mlokuwa mnashabikia siasa za Kenya (ambazo hazina faida yoyote kwenu), rudisha akili zenu nchini kwenu mkashughulikie matatizo yaliyoigukbika nchi yenu. Bado tatizo la kufeli kwa wanafunzi halijapata ufumbuzi. Pamoja na hili, kuna matatizo lukuki yanayolighubika taifa lenu kama vile majaribio ya kuuwawa kwa wandishi wa habari, Dr Ulimboka, nk. Yote haya ukichanganya na matatizo sugu ya UFISADI, yanatosha kuwafanya kila siku muwe mnatafakari kuhusu mstakabali wa taifa lenu. Sio kuacha kwenu kunaungua, mnakimbilia kwenda kushabikia ugomvi wa jirani usiowahusu. Rudisheni akili zenu nyumbani, nchi yenu ya kifisadi inataeketea! Tafakari, chukua hatua!

Kwa kweli wa-TZ tunatia aibu na tumezidi kwa utumbafu!!

Hivi wewe unaona ukabila wa Uhuru na Ruto huoni ukabila wa RAO? Hivi umefuatilia jinsi kura zilivyokuwa zinatangazwa? Kwenye ngome ya RAO, Uhuru alikuwa anaambulia hadi kura 80 kati ya Maelfu ya kura wakati kwenye ngome ya Uhuru RAO alikuwa anapewa hadi kura 5,000. Hii inaonesha wazi kwamba Jaluo na wenzake walikuwa wamejiandaa kwa ukabila na ndiyo lilikuwa tegemeo lao. Hatuwezi kusema eti Uhuru kaingizwa Ikulu na Kikuyu na Kalenjins peke yake siyo kweli maana ukijumlisha tu hizo kura za makabila hayo mawili hazifiki milioni 6 hata kama wangejitokeza wote. Sasa hiyo milioni 1 na ushee ameipata wapi?

Coalitions zote zilikuwa zimeundwa kwa kutegemea ukabila wala tusimsakame Uhuru peke yake. RAO aliungana na Kalonzo (Kamba), pia alikuwa na support ya chini chini kutoka kwa Mudavadi (Luhya) pamoja na kwamba naye alikuwa anagombea. Pia Coastal Province yote ilikuwa inamwunga mkono. Lakini mwisho wa siku people of Kenya have spoken loudly!! Tuheshimu maamuzi yao bwana; sisi tusubiri yetu 2015 wananchi wetu wapewe chumvi, khanga, t-shirts na shilingi mia tano tano!!

Tuache upumbavuuuuuuu!!!!
 
Huku kwetu tukianza kuchagua kwa ukabila naona wengi watamgombania chenge ili wachukuekura za wasukuma.
 
Kweli Tanzania tunamatatizo lukuki ufisadi, gharama za maisha kupanda kupita kiasi. Haya yote tupo kwenye utawala ulio tufikisha hapa tulipo. Siipendi CCM na nailaani kabisa kabisa hiki chama wagombane wenyewe kwa wenyewe kife kabla mawaziri wakuu wastaafu awajafa.
 
Kwa kweli wa-TZ tunatia aibu na tumezidi kwa utumbafu!!

Hivi wewe unaona ukabila wa Uhuru na Ruto huoni ukabila wa RAO? Hivi umefuatilia jinsi kura zilivyokuwa zinatangazwa? Kwenye ngome ya RAO, Uhuru alikuwa anaambulia hadi kura 80 kati ya Maelfu ya kura wakati kwenye ngome ya Uhuru RAO alikuwa anapewa hadi kura 5,000. Hii inaonesha wazi kwamba Jaluo na wenzake walikuwa wamejiandaa kwa ukabila na ndiyo lilikuwa tegemeo lao. Hatuwezi kusema eti Uhuru kaingizwa Ikulu na Kikuyu na Kalenjins peke yake siyo kweli maana ukijumlisha tu hizo kura za makabila hayo mawili hazifiki milioni 6 hata kama wangejitokeza wote. Sasa hiyo milioni 1 na ushee ameipata wapi?

Coalitions zote zilikuwa zimeundwa kwa kutegemea ukabila wala tusimsakame Uhuru peke yake. RAO aliungana na Kalonzo (Kamba), pia alikuwa na support ya chini chini kutoka kwa Mudavadi (Luhya) pamoja na kwamba naye alikuwa anagombea. Pia Coastal Province yote ilikuwa inamwunga mkono. Lakini mwisho wa siku people of Kenya have spoken loudly!! Tuheshimu maamuzi yao bwana; sisi tusubiri yetu 2015 wananchi wetu wapewe chumvi, khanga, t-shirts na shilingi mia tano tano!!

Tuache upumbavuuuuuuu!!!!

Well said kaka. Huyo mleta mada nae ni sawa sawa na hayo anayoyatuhumu....too biased, narrow and flimsy minded analysis.

As far as I know Kenya and its politics I was always wondering how some people here tried to connect dots where none existed. Ndio maana haikuwa sahihi kusema chama fulani (Tz) kinasapoti chama fulani(Ke)....hasa ukizangatia "alliances" walizounda jinsi zinavyokinzana.

At best I was hoping that they have an election without many issues. Still we need to pray for them that nothing errupts in forms of violences, skirmishes etc
 
Huku kwetu tukianza kuchagua kwa ukabila naona wengi watamgombania chenge ili wachukuekura za wasukuma.
iseeeeh u made my day chenge atakua kama mpira wa kona aaaaaaaaah yasije hayo mambo kwetu
 
Siasa ni namna uavochanga karata zako, ukichemka mwanzo usitegemee miujiza mwishoni. Ukiangalia kwa ufinyu hutaweza kutambua Odinga alichemka wapi; ni maeneo mengi ambayo hawakuyatilia mkazo na ndio yaliopelekea kura zao kutokutosha.
Ruto na Mudavadi walikuwa na Odinga katika uchaguzi uliopia; ni mengi yametokea hapo katikati. Lakini kubwa nadhani team ya Odinga walishajivisha uraisi kabla hata ya wakati wa uchaguzi; hili limewagharimu. Hawakuweza kuhimiza watu kwenye majimbo yao kujitokeza kujiandikisha kwa wingi tofauti na wapinzani wao ambao walihimaza nyumba kwa nyumba watu wajitokeze kujiandisha. Hata kwenye mikutano yao ya kampeni na kwenye upigaji kura hawakuwahimiza ipasavyo wanachama wao kujitokeza kwa wingi, tofauti na wapinzani wao ambao walihakikisha kilaaliejiandikisha anakwenda kupiga kura; hata wagonjwa waliolazwa mahospitalini waliwawezeshwa kupelekwa kwenda kupiga kura na kurudishwa hospitali baadae.
 
LOWASA au CHENGE (Fisadis) kugombea uraisi = uhuru Kenya (mtuhumiwa wa vurugu za uchaguzi) kupenya mtanange huu.
 
Mnaoshabikia ushindi wa Kenyatta, huku mkijua kwamba nchi ya Kenya ipo ndani ya EAC, sijui mnategemea nini? Fahamu kwamba Kenyatta ana kesi ya kujibu ICC na mataifa ya magharibi yalishatangaza kumpa kisogo endapo atashinda urais wa Kenya. Na pia mnapaswa kutambua kwamba ushindi wa Kenyatta umetokana na siasa za ukabila.

Kabila la wakikuyu ndilo kubwa kushinda yote nchini kenya, wakifuatiwa na makabila lukuki ya wakalenjin. Ushindi wa Kenyatta (kwa kutumia kete ya ukabila) ulionekana tangu zamani walipoungana na Ruto kutengeneza kundi moja la Jubilee. Ni wale wasojua ukweli kuhusu siasa za ukabila na ukanda za Kenya ndio wangeweza kudhani kwamba Odinga angeshinda.

Hata hivyo, Agwambo ameonesha ukomavu kwa kushinda kura kutoka karibu maeneo yote ya nchi bila kutegemea ukabila. Inabidi tukubali matokeo kama yalivyo kwani wakenya ndivyo walivyoamua lakini huu uamuzi wao utawa-cost. Watanyimwa misaada na wazungu hadi watakula majani! Kama wameshindwa kusoma alama za nyakati na badala yake wameamua kumuingiza mtuhumiwa ikulu, itakula kwao! Kibaya zaidi ni pale Kenyatta na Ruto watapohukumiwa kufungwa maisha au kunyongwa na ICC! Nchi itabaki bila rais wala makamo wake!

Kwa wale msofahamu vema siasa za Kenya, hebu ona kilichommmaliza odinga ni hiki hapa. Angalia idadi ya wapiga kura wa CENTRAL na RIFT VALLEY:

Region Voter Registration
Central
2,190,477
Coast
1,164,083
Eastern
1,988,475
Nairobi
1,778,903
North Eastern
451,865
Nyanza
1,954,756
Rift Valley
3,373,853
Western
1,434,987

Ni wazi kwamba Ruto ndiye alikuwa kete ya ushindi wa urais kwani mkoa wake wa wakalenjin (Rift Valley) una wapiga kura wa kumwaga. Na karibu nusu ya wapiga kura wametokea Rift valley na Central (the strongholds of the Ocamo two!). Kwa mtaji huu, hata kama Ruto angeamua kujiunga na Martha Karua, lazima Karua angetinga ikulu. Na sio Karua tu, hata angeamua kuungana na Peter Keneth, lazima tu angeshinda urais maana kinachoangaliwa hapo ni UKABILA tu wala sio SERA za mgombea au chama chake!

Wapiga kura ni wachache sana katika maeneo ambayo Odinga anaungwa mkono. Lakini hata hivyo Agwambo amejitahidi sana. Agwambo kubali matokeo muijenge Kenya yenu.
Viva Agwambo!
Haya na nyie watanzania mlokuwa mnashabikia siasa za Kenya (ambazo hazina faida yoyote kwenu), rudisha akili zenu nchini kwenu mkashughulikie matatizo yaliyoigukbika nchi yenu. Bado tatizo la kufeli kwa wanafunzi halijapata ufumbuzi. Pamoja na hili, kuna matatizo lukuki yanayolighubika taifa lenu kama vile majaribio ya kuuwawa kwa wandishi wa habari, Dr Ulimboka, nk. Yote haya ukichanganya na matatizo sugu ya UFISADI, yanatosha kuwafanya kila siku muwe mnatafakari kuhusu mstakabali wa taifa lenu. Sio kuacha kwenu kunaungua, mnakimbilia kwenda kushabikia ugomvi wa jirani usiowahusu. Rudisheni akili zenu nyumbani, nchi yenu ya kifisadi inataeketea! Tafakari, chukua hatua!


i cannot grade u on which educational level u reached or currently pursuing...this is 2 lousy for a topic to b commented by people of a slight above average cognitive ability.

unaingalia kenya na kutuelezea uhalisia wa siasa za kenya, huku ukiwa subjective na raila odinga actually not subjective, but emotional kabisa yaani unatulilia..... then unaongelea EAC kama vile uchumi wetu umeunganishwa kisawa sawa ndani ya jumuia wakati practically na logically kufeli kwa kenya kunaweza kua na manufaa kwetu TZ interms of tourism, logistics na geopolitics

wakikuyu ni asilimia 14 tu ya Kenya ambapo kuna makabila 42 na hamna kitu ki2 kama ushindi wa namba kwa uhuru ukiangalia namba tu za makabila ma2 ya kikuyu na kalenjin ambayo yamekua na uadui wa muda mrefu na hawajawahi kujumuika na kupiga kura kwa umoja. ukikumbuka kwamba ruto alikua na changamoto ya kuwashawisi watu wa kwao wampe kura yeye na uhuru za kuongoza kenya. in short rift valley was never secured.uhuru had to work and strategize, unajua kabila la pili kwa ukubwa ni Luhya ambao wengi walimsapoti raila 2007 na pia mwaka huu, luhya ni 12% of kenya na wajaluo ni kabila la nne kwa ukubwa wakifuatiwa na Wakamba watu wa kalozno wanamalizia the big 5 in kenya ina maana katika big 5 tribes ambayo hayaachani kwa mbali raila alikua na jaluo no 4, alikua na luhya no 2, na kamba no 5 huku uhuru akiwa na kikuyu no 1 na kalenjia no 3 na hapo unataka kusema Raila alikua hana nafasi from the start? poor u, huijui kenya

baada ya kujichanganya na kenya unaibuka ghafla na kuwashauri watz wapiganie kwao kama vile na "data" zote ulizowapa na kuwapotezea muda na kuwaonyesha watz kuhusu kenya ili wajifunze kitu unataka wadisregard kila kitu na kuendelea na uzandiki wetu hap tz, what is ur theme? ulitaka ujumbe gani utufikie? na uymepoteza muda na nguvu yako ili tujifunze au kuchangaia nini kwenye hii thread? .....................this is not a critique bali ni kuonyesha usivyojijua na unayvoelea kwenye kuleta mada kamilifu na endelevu
 
Ni ambieni athari ya maneno ya Mzee Jomo kushawishi waKenya wasimchague Mzee Odiga? Kwamba wakenya wasiongozwe na mtu asiyetahiriwa, na idadi kubwa ya wakenya wametahiriwa na kufuatana na mila na desturi zao na wanadharau sana wasiotahiriwa. Je hii imeleta madhara?
 
Back
Top Bottom