Barua ya wazi kwa mashabiki wa Kenyatta na Agwambo

Duh! Mkuu we MTz ama Mkenya? Umeamua kukata Jongoo kwa meno!

Thus are non-sense words! Aisifiaye mvua haijamnyea! mtoa mada hana point wala logic yeyote.Na pengine anaendeshwa na hisia za chuki kwa UHURU KENYATA na watu wake, nani mchochezi mwenye taswira yakukosa elimu huyu.Tanzania hutufai.Nakuonya hivyo kwasababu huna mtizamo yambele.Ati Kenya itanyimwa misaada kwasababu ya uhuru kuwa rais.Umezoea omba omba hadi umeathirika nakuomba.This is the point! Nothing is going to happen in kenya as you wished and asked with your allience.The Kenyan have had spoken and they spoken claerly.Either you like or not UHURU KENYATA IS A 4TH PRESIDENT OF KENYA.God bless him, God Bless kenyan and Kenya.Awaepushe na matatizo yanayoletwa na watu wasio itakia mema kenya na watu wake na africa kwa ujumla.Na hasa wanaosujudu nchi za Mangaribi.Mungu ndiye kila kitu na sio Magaribi au kusini
 

Wewe mbona unajisumbua kuleta midata ya Kikenya-Sisi wala hatukuwa na shida na uchaguzi wao yeyote aliyeshinda poa tu kwanza wa nini -Sisi shida yetu ilikuwa kuangalia vurugu zao,jinsi watakuvopigana mikuki nk(live) sio kama kipind kile tulisikia tu redion sasa nadhani tumenoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…