Mbona hata katiba iliyopo Ina mazuri mengi ukiondoa ku I favor ccm madarakani ila changamoto ya hii nchi yetu Bado umaskini na sip katiba. Katiba inaweza kuwa nzuri bila mipango ya kukuza uchumi na umaskini hatutavuka sehemu. Kenya Wana katiba nzuri ila umaskini uko palepaleUnaweza kuwa na hoja lakini hata hizo sera kama hazisimamiwi na sheria hamna kinachofanyika. Kwani sasa hatuna sera? Sera tunazo ila sheria zinazosimamia hizo sera ndo zimekuwa kizungumkuti.
Katiba ni sheria mama kiasi kwamba mwelekeo chanya huzaliwa na katiba iliyobora kulingana na nyakati tulizonazo na zinazokuja.
Hoja yao ni katiba mpya wanachotaka na wametoa mapendekezo ya kukaa meza ya mazungumzo kwani kuna ubaya gani kukaa pamoja kusikilizana mama akae nao watoke nanmsimamo hata kama mchakato utasicheleza wataweka roadmap uanze lini?Kwako Freeman Mbowe,
Mwenyekiti wa CHADEMA
Ni wazi CDM mnapoteza focus maana Kama alivyosema E Lowassa mwaka 2015 kuwa Chama chenu ni wana harakati zaidi kuliko wanasiasa. Wanaharakati huenda na matukio wakati wanasiasa huenda na mikakati.
Kuna mabadiliko makubwa ya kisiasa, kijamii na kiuchumi ambayo yamefanywa ndani ya kipindi cha miezi 3 au siku 100 katika utawala wa Rais SSH. Watanzania wote wanajuwa na wanaona nafuu ya maisha katika nyanja zote na wana matumaini na Rais. Sina haja ya kuyataja hapa ambayo Rais SSH amefanya kwa kuwa mengine hata Mbowe binafsi ni mnufaika wa moja kwa moja.
Sijapendezewa na Uongozi wenu wa juu wa CDM namna mnavyotaka KIUMSHURUTISHA Rais afuate VIPUMBELE vyenu badala ya vipaumbele vyake na Chama chake.
Hata kama kuna mapungufu katika vipaumbele vya Rais, naamini kuna namna ya kufikisha ujumbe kwa Rais kwa maadili na nidhamu. Kumbukeni Rais ni Taaaisi
Najuwa CHADEMA mumeomba kukutana na Rais, na Rais bado hajaonyesha atakutana nanyi lini. Hili nalo linakuwa shida kwa kuwa nyinyi akina Mbowe mnaona alipaswa aonane na CHADEMA kwanza kabla ya makundi mengine ambayo Rais amekutana nayo.
Juzi mwanachama wenu mmoja (MDUDE) ameachiwa na Mahakama ya Mbeya kwa makosa ya kusafirisha cocaine. Badala mumuache kwanza apumzike ili aboreshe saikolojia na afya ya akili, nyie mumemempandisha kwenye majukwaa na ameanza kumtishia Rais SSH.
Jana mkutano wa dinner wa akina Mama wa BAWACHA uliopangwa kufanyika pale Hekima Garden ulivunjwa na Jeshi la Polisi. Naomba mjue kuwa Serikali ipo, na hai hezewi.
USHAURI WANGU:
CHADEMA wakumbuke kuwa Rais SSH siyo Kiongozi wa CCM na CHADEMA pekee bali ni Kiongozi wa Watanzania wote walio kwenye vyama na wasio na vyama. Kazi ya Samia tumeiona kwa muda mfupi na tuna matumaini kuwa yuko kwenye MSTARI SAHIHI na kuna makubwa nchi yetu itapata chini ya Uongozi wake.
Ametupa Uhuru wa kuongea na kushauri kwa mujibu wa Katiba, tuutumie vizuri kwa masilahi mapana na nchi yetu.
Katiba Nzuri kweli tunaitaka na Rais SSH kasema tumpe muda kwanza aratibu mipango yake ya uchumi, then suala la Katiba litakuja. Kwa nini tusimpe benefit of doubt Rais wetu kwa hilo? Maana mtangulizi wake (Magufuli) alisema "Kwenye Kampeni zangu sikuahidi Katiba". Ila huyu Samia anasema tumpe muda tu, nyinyi hamutaki.
Na kwa miaka 5 CHADEMA walikuwa wanaongelea Tume Huru Ya Uchaguzi, kuibiwa kura za uchaguzi na kesi za kubambikizwa. Sasa ndiyo wameanza kudai Katiba naada ya DIKTETA Magufuli kufariki.
Nawashauri CHADEMA, waitishe Mkutano wao Mkuu ili waweke mkakati wa nini wanachokitaka na siyo kila mwenye kusimama jukwaani anataka cha kwake. Wawatumie vijana wao wasomi waandike dira yao na miongozo ya vitu gani wadai kutoka Seikalini.
HayaSawaswa muheshimiwa!Ngoja nikae kimya.[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Kwa sababu Chadema wanaamini wao ndio UMMA makundi mengine sio UMMA ndio maana wanadai Rais anatakiwa atekeleze matakwa ya UMMA (i.e. CHADEMA)[emoji23][emoji23]
Kwa nini mnaizungumzia Chadema tu na sio ACT, TLP, NCCR au CUF ?
Mbadala si bajeti kivuli, Vitabu vya sera, na uongozi wa Halmashauri/Kata. Ssa bila ofisi za kiuongozi mbadala una practice vipi???kuonesha mbadala
Sawa , mkuu lakini kama nchi nafikiri kitendo cha kukifavor chama ambacho kinashika dola siyo kitu kizuri na nafikiri huchangia kwa asilimia nyingi katika kuleta ustawi wa nchi .Mbona hata katiba iliyopo Ina mazuri mengi ukiondoa ku I favor ccm madarakani ila changamoto ya hii nchi yetu Bado umaskini na sip katiba. Katiba inaweza kuwa nzuri bila mipango ya kukuza uchumi na umaskini hatutavuka sehemu. Kenya Wana katiba nzuri ila umaskini uko palepale
Hata Mungu mwenyew alipoona katiba yake ya agano la kale ina upungufu alibadilisha akaleta katiba mpya chini ya agano jipya na Yesu Kristo yenye misingi ya upendo, amani, utu , msamaha na ushirika. KamaMungu aliweza kubadilisha katiba sisi tunaogopa nini, ni swala la kukutana na kuweka roadmapKatiba nzuri mpya ni kitu kisichoepukika lazima tuipate siyo kwa hisia za Prof Shivji au Prof KABUDI, au Mbowe au Zitto, ni takwa la wakati.
Ni namna gani au wakati gani mwafaka kupata Katiba hiyo ndiyo panahitaji utulivu.
Tulitumia zaidi ya Tsh 350 Bilion mwaka 2014/5 na tukaletewa Rasimu Feki ya Chenge badala ya ile ya Warioba.
Busara na hekima vinahitajika hapa kuepuka makosa yaliyotokea mwaka 2014/5 kwani kitakachokuja kama Katiba kitakuwa ndiyo mwongozo wa nchi kwa miongo mingi ijayo.
Hizi pressure za CHADEMA na Mbowe za kumsukuma Rais SSH ndani ya siku 100 aanzishe mchakato wa Katiba siyo kwamba tu zimekosa adabu bali hazina muelekeo, hazionyeshi zinataka nini na zinapaswa kudhibitiwa na wana CHADEMA wenye busara.
Sikutegemea wangemleta MDUDE so quickly kwenye majukwaa aanze kuropoka vile dhidi ya Rais wakati akili yake inataka healing ya hali ya juu.
Strategists wa CHADEMA ni nani na wanafanya nini?
Naunga mkono hojaKwako Freeman Mbowe,
Mwenyekiti wa CHADEMA
Ni wazi CDM mnapoteza focus maana Kama alivyosema E Lowassa mwaka 2015 kuwa Chama chenu ni wana harakati zaidi kuliko wanasiasa. Wanaharakati huenda na matukio wakati wanasiasa huenda na mikakati.
Kuna mabadiliko makubwa ya kisiasa, kijamii na kiuchumi ambayo yamefanywa ndani ya kipindi cha miezi 3 au siku 100 katika utawala wa Rais SSH. Watanzania wote wanajuwa na wanaona nafuu ya maisha katika nyanja zote na wana matumaini na Rais. Sina haja ya kuyataja hapa ambayo Rais SSH amefanya kwa kuwa mengine hata Mbowe binafsi ni mnufaika wa moja kwa moja.
Sijapendezewa na Uongozi wenu wa juu wa CDM namna mnavyotaka KIUMSHURUTISHA Rais afuate VIPUMBELE vyenu badala ya vipaumbele vyake na Chama chake.
Hata kama kuna mapungufu katika vipaumbele vya Rais, naamini kuna namna ya kufikisha ujumbe kwa Rais kwa maadili na nidhamu. Kumbukeni Rais ni Taaaisi
Najuwa CHADEMA mumeomba kukutana na Rais, na Rais bado hajaonyesha atakutana nanyi lini. Hili nalo linakuwa shida kwa kuwa nyinyi akina Mbowe mnaona alipaswa aonane na CHADEMA kwanza kabla ya makundi mengine ambayo Rais amekutana nayo.
Juzi mwanachama wenu mmoja (MDUDE) ameachiwa na Mahakama ya Mbeya kwa makosa ya kusafirisha cocaine. Badala mumuache kwanza apumzike ili aboreshe saikolojia na afya ya akili, nyie mumemempandisha kwenye majukwaa na ameanza kumtishia Rais SSH.
Jana mkutano wa dinner wa akina Mama wa BAWACHA uliopangwa kufanyika pale Hekima Garden ulivunjwa na Jeshi la Polisi. Naomba mjue kuwa Serikali ipo, na hai hezewi.
USHAURI WANGU:
CHADEMA wakumbuke kuwa Rais SSH siyo Kiongozi wa CCM na CHADEMA pekee bali ni Kiongozi wa Watanzania wote walio kwenye vyama na wasio na vyama. Kazi ya Samia tumeiona kwa muda mfupi na tuna matumaini kuwa yuko kwenye MSTARI SAHIHI na kuna makubwa nchi yetu itapata chini ya Uongozi wake.
Ametupa Uhuru wa kuongea na kushauri kwa mujibu wa Katiba, tuutumie vizuri kwa masilahi mapana na nchi yetu.
Katiba Nzuri kweli tunaitaka na Rais SSH kasema tumpe muda kwanza aratibu mipango yake ya uchumi, then suala la Katiba litakuja. Kwa nini tusimpe benefit of doubt Rais wetu kwa hilo? Maana mtangulizi wake (Magufuli) alisema "Kwenye Kampeni zangu sikuahidi Katiba". Ila huyu Samia anasema tumpe muda tu, nyinyi hamutaki.
Na kwa miaka 5 CHADEMA walikuwa wanaongelea Tume Huru Ya Uchaguzi, kuibiwa kura za uchaguzi na kesi za kubambikizwa. Sasa ndiyo wameanza kudai Katiba naada ya DIKTETA Magufuli kufariki.
Nawashauri CHADEMA, waitishe Mkutano wao Mkuu ili waweke mkakati wa nini wanachokitaka na siyo kila mwenye kusimama jukwaani anataka cha kwake. Wawatumie vijana wao wasomi waandike dira yao na miongozo ya vitu gani wadai kutoka Seikalini.
Nakubaliana na wewe tena by 100% kuwa Mdude alionewa na naweza kukutafutia threads zangu humu JF nilizo paza sauti kuwa Mdude must be freed. Ila kwa sasa Mdude anaitaji likizo ya kuji rehabilitate mentally.Wether they are excited or not, that's not an issue, Chadema wamekuwa wakitumia njia hiyo kudai haki zao toka enzi za Kikwete, then akaja Magufuli, na sasa ni zamu ya Samia, jinsia yake isitumike kama kigezo cha kuwaona wengine wabaya wakidai haki zao, kama hataki kusumbuliwa, atii na kufuata sheria zikiwemo za vyama vya siasa.
Mahaba yenu kwa "mama" msiyalete kwenye mambo ya msingi ya kitaifa yakawapofusha mpaka msione vile wengine wanavyokandamizwa haki zao kuminywa, kauli ya Mdude ni moja ya kielelezo cha wale walioonja machungu ya kudai haki yao na adhabu waliyopewa bila kosa lolote, mnaoona Mdude amekosea ni wale mliolewa utawala wa CCM.
Kwako Freeman Mbowe,
Mwenyekiti wa CHADEMA
Ni wazi CDM mnapoteza focus maana Kama alivyosema E Lowassa mwaka 2015 kuwa Chama chenu ni wana harakati zaidi kuliko wanasiasa. Wanaharakati huenda na matukio wakati wanasiasa huenda na mikakati.
Kuna mabadiliko makubwa ya kisiasa, kijamii na kiuchumi ambayo yamefanywa ndani ya kipindi cha miezi 3 au siku 100 katika utawala wa Rais SSH. Watanzania wote wanajuwa na wanaona nafuu ya maisha katika nyanja zote na wana matumaini na Rais. Sina haja ya kuyataja hapa ambayo Rais SSH amefanya kwa kuwa mengine hata Mbowe binafsi ni mnufaika wa moja kwa moja.
Sijapendezewa na Uongozi wenu wa juu wa CDM namna mnavyotaka KIUMSHURUTISHA Rais afuate VIPUMBELE vyenu badala ya vipaumbele vyake na Chama chake.
Hata kama kuna mapungufu katika vipaumbele vya Rais, naamini kuna namna ya kufikisha ujumbe kwa Rais kwa maadili na nidhamu. Kumbukeni Rais ni Taaaisi
Najuwa CHADEMA mumeomba kukutana na Rais, na Rais bado hajaonyesha atakutana nanyi lini. Hili nalo linakuwa shida kwa kuwa nyinyi akina Mbowe mnaona alipaswa aonane na CHADEMA kwanza kabla ya makundi mengine ambayo Rais amekutana nayo.
Juzi mwanachama wenu mmoja (MDUDE) ameachiwa na Mahakama ya Mbeya kwa makosa ya kusafirisha cocaine. Badala mumuache kwanza apumzike ili aboreshe saikolojia na afya ya akili, nyie mumemempandisha kwenye majukwaa na ameanza kumtishia Rais SSH.
Jana mkutano wa dinner wa akina Mama wa BAWACHA uliopangwa kufanyika pale Hekima Garden ulivunjwa na Jeshi la Polisi. Naomba mjue kuwa Serikali ipo, na hai hezewi.
USHAURI WANGU:
CHADEMA wakumbuke kuwa Rais SSH siyo Kiongozi wa CCM na CHADEMA pekee bali ni Kiongozi wa Watanzania wote walio kwenye vyama na wasio na vyama. Kazi ya Samia tumeiona kwa muda mfupi na tuna matumaini kuwa yuko kwenye MSTARI SAHIHI na kuna makubwa nchi yetu itapata chini ya Uongozi wake.
Ametupa Uhuru wa kuongea na kushauri kwa mujibu wa Katiba, tuutumie vizuri kwa masilahi mapana na nchi yetu.
Katiba Nzuri kweli tunaitaka na Rais SSH kasema tumpe muda kwanza aratibu mipango yake ya uchumi, then suala la Katiba litakuja. Kwa nini tusimpe benefit of doubt Rais wetu kwa hilo? Maana mtangulizi wake (Magufuli) alisema "Kwenye Kampeni zangu sikuahidi Katiba". Ila huyu Samia anasema tumpe muda tu, nyinyi hamutaki.
Na kwa miaka 5 CHADEMA walikuwa wanaongelea Tume Huru Ya Uchaguzi, kuibiwa kura za uchaguzi na kesi za kubambikizwa. Sasa ndiyo wameanza kudai Katiba naada ya DIKTETA Magufuli kufariki.
Nawashauri CHADEMA, waitishe Mkutano wao Mkuu ili waweke mkakati wa nini wanachokitaka na siyo kila mwenye kusimama jukwaani anataka cha kwake. Wawatumie vijana wao wasomi waandike dira yao na miongozo ya vitu gani wadai kutoka Seikalini.
Eti Rais ametupa uhuru tuutumie vizuri, Kumbe kuna watu hawajitambui mpaka sasa. Dah hatari sanaKwako Freeman Mbowe,
Mwenyekiti wa CHADEMA
Ni wazi CDM mnapoteza focus maana Kama alivyosema E Lowassa mwaka 2015 kuwa Chama chenu ni wana harakati zaidi kuliko wanasiasa. Wanaharakati huenda na matukio wakati wanasiasa huenda na mikakati.
Kuna mabadiliko makubwa ya kisiasa, kijamii na kiuchumi ambayo yamefanywa ndani ya kipindi cha miezi 3 au siku 100 katika utawala wa Rais SSH. Watanzania wote wanajuwa na wanaona nafuu ya maisha katika nyanja zote na wana matumaini na Rais. Sina haja ya kuyataja hapa ambayo Rais SSH amefanya kwa kuwa mengine hata Mbowe binafsi ni mnufaika wa moja kwa moja.
Sijapendezewa na Uongozi wenu wa juu wa CDM namna mnavyotaka KIUMSHURUTISHA Rais afuate VIPUMBELE vyenu badala ya vipaumbele vyake na Chama chake.
Hata kama kuna mapungufu katika vipaumbele vya Rais, naamini kuna namna ya kufikisha ujumbe kwa Rais kwa maadili na nidhamu. Kumbukeni Rais ni Taaaisi
Najuwa CHADEMA mumeomba kukutana na Rais, na Rais bado hajaonyesha atakutana nanyi lini. Hili nalo linakuwa shida kwa kuwa nyinyi akina Mbowe mnaona alipaswa aonane na CHADEMA kwanza kabla ya makundi mengine ambayo Rais amekutana nayo.
Juzi mwanachama wenu mmoja (MDUDE) ameachiwa na Mahakama ya Mbeya kwa makosa ya kusafirisha cocaine. Badala mumuache kwanza apumzike ili aboreshe saikolojia na afya ya akili, nyie mumemempandisha kwenye majukwaa na ameanza kumtishia Rais SSH.
Jana mkutano wa dinner wa akina Mama wa BAWACHA uliopangwa kufanyika pale Hekima Garden ulivunjwa na Jeshi la Polisi. Naomba mjue kuwa Serikali ipo, na hai hezewi.
USHAURI WANGU:
CHADEMA wakumbuke kuwa Rais SSH siyo Kiongozi wa CCM na CHADEMA pekee bali ni Kiongozi wa Watanzania wote walio kwenye vyama na wasio na vyama. Kazi ya Samia tumeiona kwa muda mfupi na tuna matumaini kuwa yuko kwenye MSTARI SAHIHI na kuna makubwa nchi yetu itapata chini ya Uongozi wake.
Ametupa Uhuru wa kuongea na kushauri kwa mujibu wa Katiba, tuutumie vizuri kwa masilahi mapana na nchi yetu.
Katiba Nzuri kweli tunaitaka na Rais SSH kasema tumpe muda kwanza aratibu mipango yake ya uchumi, then suala la Katiba litakuja. Kwa nini tusimpe benefit of doubt Rais wetu kwa hilo? Maana mtangulizi wake (Magufuli) alisema "Kwenye Kampeni zangu sikuahidi Katiba". Ila huyu Samia anasema tumpe muda tu, nyinyi hamutaki.
Na kwa miaka 5 CHADEMA walikuwa wanaongelea Tume Huru Ya Uchaguzi, kuibiwa kura za uchaguzi na kesi za kubambikizwa. Sasa ndiyo wameanza kudai Katiba naada ya DIKTETA Magufuli kufariki.
Nawashauri CHADEMA, waitishe Mkutano wao Mkuu ili waweke mkakati wa nini wanachokitaka na siyo kila mwenye kusimama jukwaani anataka cha kwake. Wawatumie vijana wao wasomi waandike dira yao na miongozo ya vitu gani wadai kutoka Seikalini.
Naunga mkono hojaKwako Freeman Mbowe,
Mwenyekiti wa CHADEMA
Ni wazi CDM mnapoteza focus maana Kama alivyosema E Lowassa mwaka 2015 kuwa Chama chenu ni wana harakati zaidi kuliko wanasiasa. Wanaharakati huenda na matukio wakati wanasiasa huenda na mikakati.
Kuna mabadiliko makubwa ya kisiasa, kijamii na kiuchumi ambayo yamefanywa ndani ya kipindi cha miezi 3 au siku 100 katika utawala wa Rais SSH. Watanzania wote wanajuwa na wanaona nafuu ya maisha katika nyanja zote na wana matumaini na Rais. Sina haja ya kuyataja hapa ambayo Rais SSH amefanya kwa kuwa mengine hata Mbowe binafsi ni mnufaika wa moja kwa moja.
Sijapendezewa na Uongozi wenu wa juu wa CDM namna mnavyotaka KIUMSHURUTISHA Rais afuate VIPUMBELE vyenu badala ya vipaumbele vyake na Chama chake.
Hata kama kuna mapungufu katika vipaumbele vya Rais, naamini kuna namna ya kufikisha ujumbe kwa Rais kwa maadili na nidhamu. Kumbukeni Rais ni Taaaisi
Najuwa CHADEMA mumeomba kukutana na Rais, na Rais bado hajaonyesha atakutana nanyi lini. Hili nalo linakuwa shida kwa kuwa nyinyi akina Mbowe mnaona alipaswa aonane na CHADEMA kwanza kabla ya makundi mengine ambayo Rais amekutana nayo.
Juzi mwanachama wenu mmoja (MDUDE) ameachiwa na Mahakama ya Mbeya kwa makosa ya kusafirisha cocaine. Badala mumuache kwanza apumzike ili aboreshe saikolojia na afya ya akili, nyie mumemempandisha kwenye majukwaa na ameanza kumtishia Rais SSH.
Jana mkutano wa dinner wa akina Mama wa BAWACHA uliopangwa kufanyika pale Hekima Garden ulivunjwa na Jeshi la Polisi. Naomba mjue kuwa Serikali ipo, na hai hezewi.
USHAURI WANGU:
CHADEMA wakumbuke kuwa Rais SSH siyo Kiongozi wa CCM na CHADEMA pekee bali ni Kiongozi wa Watanzania wote walio kwenye vyama na wasio na vyama. Kazi ya Samia tumeiona kwa muda mfupi na tuna matumaini kuwa yuko kwenye MSTARI SAHIHI na kuna makubwa nchi yetu itapata chini ya Uongozi wake.
Ametupa Uhuru wa kuongea na kushauri kwa mujibu wa Katiba, tuutumie vizuri kwa masilahi mapana na nchi yetu.
Katiba Nzuri kweli tunaitaka na Rais SSH kasema tumpe muda kwanza aratibu mipango yake ya uchumi, then suala la Katiba litakuja. Kwa nini tusimpe benefit of doubt Rais wetu kwa hilo? Maana mtangulizi wake (Magufuli) alisema "Kwenye Kampeni zangu sikuahidi Katiba". Ila huyu Samia anasema tumpe muda tu, nyinyi hamutaki.
Na kwa miaka 5 CHADEMA walikuwa wanaongelea Tume Huru Ya Uchaguzi, kuibiwa kura za uchaguzi na kesi za kubambikizwa. Sasa ndiyo wameanza kudai Katiba naada ya DIKTETA Magufuli kufariki.
Nawashauri CHADEMA, waitishe Mkutano wao Mkuu ili waweke mkakati wa nini wanachokitaka na siyo kila mwenye kusimama jukwaani anataka cha kwake. Wawatumie vijana wao wasomi waandike dira yao na miongozo ya vitu gani wadai kutoka Seikalini.
Sababu zilizotolewa na raisi zina mashiko, ndio kwanza ameingia madarakani ana vipa umbele vyengine. Na wakati huo huo yuko katikati ya covid crisis (janga la kiafya).Kwako Freeman Mbowe,
Mwenyekiti wa CHADEMA
Ni wazi CDM mnapoteza focus maana Kama alivyosema E Lowassa mwaka 2015 kuwa Chama chenu ni wana harakati zaidi kuliko wanasiasa. Wanaharakati huenda na matukio wakati wanasiasa huenda na mikakati.
Kuna mabadiliko makubwa ya kisiasa, kijamii na kiuchumi ambayo yamefanywa ndani ya kipindi cha miezi 3 au siku 100 katika utawala wa Rais SSH. Watanzania wote wanajuwa na wanaona nafuu ya maisha katika nyanja zote na wana matumaini na Rais. Sina haja ya kuyataja hapa ambayo Rais SSH amefanya kwa kuwa mengine hata Mbowe binafsi ni mnufaika wa moja kwa moja.
Sijapendezewa na Uongozi wenu wa juu wa CDM namna mnavyotaka KIUMSHURUTISHA Rais afuate VIPUMBELE vyenu badala ya vipaumbele vyake na Chama chake.
Hata kama kuna mapungufu katika vipaumbele vya Rais, naamini kuna namna ya kufikisha ujumbe kwa Rais kwa maadili na nidhamu. Kumbukeni Rais ni Taaaisi
Najuwa CHADEMA mumeomba kukutana na Rais, na Rais bado hajaonyesha atakutana nanyi lini. Hili nalo linakuwa shida kwa kuwa nyinyi akina Mbowe mnaona alipaswa aonane na CHADEMA kwanza kabla ya makundi mengine ambayo Rais amekutana nayo.
Juzi mwanachama wenu mmoja (MDUDE) ameachiwa na Mahakama ya Mbeya kwa makosa ya kusafirisha cocaine. Badala mumuache kwanza apumzike ili aboreshe saikolojia na afya ya akili, nyie mumemempandisha kwenye majukwaa na ameanza kumtishia Rais SSH.
Jana mkutano wa dinner wa akina Mama wa BAWACHA uliopangwa kufanyika pale Hekima Garden ulivunjwa na Jeshi la Polisi. Naomba mjue kuwa Serikali ipo, na hai hezewi.
USHAURI WANGU:
CHADEMA wakumbuke kuwa Rais SSH siyo Kiongozi wa CCM na CHADEMA pekee bali ni Kiongozi wa Watanzania wote walio kwenye vyama na wasio na vyama. Kazi ya Samia tumeiona kwa muda mfupi na tuna matumaini kuwa yuko kwenye MSTARI SAHIHI na kuna makubwa nchi yetu itapata chini ya Uongozi wake.
Ametupa Uhuru wa kuongea na kushauri kwa mujibu wa Katiba, tuutumie vizuri kwa masilahi mapana na nchi yetu.
Katiba Nzuri kweli tunaitaka na Rais SSH kasema tumpe muda kwanza aratibu mipango yake ya uchumi, then suala la Katiba litakuja. Kwa nini tusimpe benefit of doubt Rais wetu kwa hilo? Maana mtangulizi wake (Magufuli) alisema "Kwenye Kampeni zangu sikuahidi Katiba". Ila huyu Samia anasema tumpe muda tu, nyinyi hamutaki.
Na kwa miaka 5 CHADEMA walikuwa wanaongelea Tume Huru Ya Uchaguzi, kuibiwa kura za uchaguzi na kesi za kubambikizwa. Sasa ndiyo wameanza kudai Katiba naada ya DIKTETA Magufuli kufariki.
Nawashauri CHADEMA, waitishe Mkutano wao Mkuu ili waweke mkakati wa nini wanachokitaka na siyo kila mwenye kusimama jukwaani anataka cha kwake. Wawatumie vijana wao wasomi waandike dira yao na miongozo ya vitu gani wadai kutoka Seikalini.
Aliyechaguliwa baada ya uchafuzi yupo wapi?Yale maandamano baada ya uchaguzi sikui yaliishia wapi...walipaswa wajifunze pale na sio kutupigia kelele...
Ni ushauri tu, siyo lazima ufuatwe. Ila wenye Kusoma between the lines wataelewa na kuchukua hatua
Hakuna watu waoga kuingia mtaani kama Watanzania. Alijaribu Mange Kimambi mwaka 2017/18 kuhamasisha maandamano kupitia Instagram hakuna hata mtu mmoja aliingia mtaani.Unahitaji strategy gani kudai katiba mpya ya wananchi...?
Kudai lolote toka kwa watawala wa kisiasa ni kuwapigia kelele za kukera na kuudhi ktk masikio yao mpaka washindwe kulala wala kula...
Ndivyo hufanyika kokote pale. Ndivyo ilivyofanyika wakati wa Mwendazake Magufuli hata kumkera na kuanza kuchukua maamuzi mabaya, ya hasira yaliyomuathiri hata yeye na mwisho akajikuta anakufa kifo cha aibu....
Ndivyo itakavyofanyika kwa huyu mama ambaye kiuhalisia na mlaini na mwepesi kuliko wote. Akifanya kosa kidogo kwa kutochukua maamuzi ya busara na hekima before it's too late, ataishia kulekule alikoishia mwenzake waliyeingia naye madarakani...
Hayo mnayoyataka na mleta mada, fanyeni nyie kwani huko CHADEMA hatua ilishapitwa na kwa sasa wako kwenye utendaji na utekekezaji wa maazimio ya vikao vyote...
Uko sahihi sana kinatakiwa Chadema kijitayarishe chama kinahitaji nini?vipaumbele vya chama na muono wa chama kwa miaka mitano ijayo.Kwako Freeman Mbowe,
Mwenyekiti wa CHADEMA
Ni wazi CDM mnapoteza focus maana Kama alivyosema E Lowassa mwaka 2015 kuwa Chama chenu ni wana harakati zaidi kuliko wanasiasa. Wanaharakati huenda na matukio wakati wanasiasa huenda na mikakati.
Kuna mabadiliko makubwa ya kisiasa, kijamii na kiuchumi ambayo yamefanywa ndani ya kipindi cha miezi 3 au siku 100 katika utawala wa Rais SSH. Watanzania wote wanajuwa na wanaona nafuu ya maisha katika nyanja zote na wana matumaini na Rais. Sina haja ya kuyataja hapa ambayo Rais SSH amefanya kwa kuwa mengine hata Mbowe binafsi ni mnufaika wa moja kwa moja.
Sijapendezewa na Uongozi wenu wa juu wa CDM namna mnavyotaka KIUMSHURUTISHA Rais afuate VIPUMBELE vyenu badala ya vipaumbele vyake na Chama chake.
Hata kama kuna mapungufu katika vipaumbele vya Rais, naamini kuna namna ya kufikisha ujumbe kwa Rais kwa maadili na nidhamu. Kumbukeni Rais ni Taaaisi
Najuwa CHADEMA mumeomba kukutana na Rais, na Rais bado hajaonyesha atakutana nanyi lini. Hili nalo linakuwa shida kwa kuwa nyinyi akina Mbowe mnaona alipaswa aonane na CHADEMA kwanza kabla ya makundi mengine ambayo Rais amekutana nayo.
Juzi mwanachama wenu mmoja (MDUDE) ameachiwa na Mahakama ya Mbeya kwa makosa ya kusafirisha cocaine. Badala mumuache kwanza apumzike ili aboreshe saikolojia na afya ya akili, nyie mumemempandisha kwenye majukwaa na ameanza kumtishia Rais SSH.
Jana mkutano wa dinner wa akina Mama wa BAWACHA uliopangwa kufanyika pale Hekima Garden ulivunjwa na Jeshi la Polisi. Naomba mjue kuwa Serikali ipo, na hai hezewi.
USHAURI WANGU:
CHADEMA wakumbuke kuwa Rais SSH siyo Kiongozi wa CCM na CHADEMA pekee bali ni Kiongozi wa Watanzania wote walio kwenye vyama na wasio na vyama. Kazi ya Samia tumeiona kwa muda mfupi na tuna matumaini kuwa yuko kwenye MSTARI SAHIHI na kuna makubwa nchi yetu itapata chini ya Uongozi wake.
Ametupa Uhuru wa kuongea na kushauri kwa mujibu wa Katiba, tuutumie vizuri kwa masilahi mapana na nchi yetu.
Katiba Nzuri kweli tunaitaka na Rais SSH kasema tumpe muda kwanza aratibu mipango yake ya uchumi, then suala la Katiba litakuja. Kwa nini tusimpe benefit of doubt Rais wetu kwa hilo? Maana mtangulizi wake (Magufuli) alisema "Kwenye Kampeni zangu sikuahidi Katiba". Ila huyu Samia anasema tumpe muda tu, nyinyi hamutaki.
Na kwa miaka 5 CHADEMA walikuwa wanaongelea Tume Huru Ya Uchaguzi, kuibiwa kura za uchaguzi na kesi za kubambikizwa. Sasa ndiyo wameanza kudai Katiba naada ya DIKTETA Magufuli kufariki.
Nawashauri CHADEMA, waitishe Mkutano wao Mkuu ili waweke mkakati wa nini wanachokitaka na siyo kila mwenye kusimama jukwaani anataka cha kwake. Wawatumie vijana wao wasomi waandike dira yao na miongozo ya vitu gani wadai kutoka Seikalini.