Barua ya wazi kwa Mbowe & CHADEMA: Kajipangeni Upya

Barua ya wazi kwa Mbowe & CHADEMA: Kajipangeni Upya

Kwako Freeman Mbowe,
Mwenyekiti wa CHADEMA

Ni wazi CDM mnapoteza focus maana Kama alivyosema E Lowassa mwaka 2015 kuwa Chama chenu ni wana harakati zaidi kuliko wanasiasa. Wanaharakati huenda na matukio wakati wanasiasa huenda na mikakati.

Kuna mabadiliko makubwa ya kisiasa, kijamii na kiuchumi ambayo yamefanywa ndani ya kipindi cha miezi 3 au siku 100 katika utawala wa Rais SSH. Watanzania wote wanajuwa na wanaona nafuu ya maisha katika nyanja zote na wana matumaini na Rais. Sina haja ya kuyataja hapa ambayo Rais SSH amefanya kwa kuwa mengine hata Mbowe binafsi ni mnufaika wa moja kwa moja.

Sijapendezewa na Uongozi wenu wa juu wa CDM namna mnavyotaka KIUMSHURUTISHA Rais afuate VIPUMBELE vyenu badala ya vipaumbele vyake na Chama chake.

Hata kama kuna mapungufu katika vipaumbele vya Rais, naamini kuna namna ya kufikisha ujumbe kwa Rais kwa maadili na nidhamu. Kumbukeni Rais ni Taaaisi

Najuwa CHADEMA mumeomba kukutana na Rais, na Rais bado hajaonyesha atakutana nanyi lini. Hili nalo linakuwa shida kwa kuwa nyinyi akina Mbowe mnaona alipaswa aonane na CHADEMA kwanza kabla ya makundi mengine ambayo Rais amekutana nayo.

Juzi mwanachama wenu mmoja (MDUDE) ameachiwa na Mahakama ya Mbeya kwa makosa ya kusafirisha cocaine. Badala mumuache kwanza apumzike ili aboreshe saikolojia na afya ya akili, nyie mumemempandisha kwenye majukwaa na ameanza kumtishia Rais SSH.

Jana mkutano wa dinner wa akina Mama wa BAWACHA uliopangwa kufanyika pale Hekima Garden ulivunjwa na Jeshi la Polisi. Naomba mjue kuwa Serikali ipo, na hai hezewi.

USHAURI WANGU:
CHADEMA wakumbuke kuwa Rais SSH siyo Kiongozi wa CCM na CHADEMA pekee bali ni Kiongozi wa Watanzania wote walio kwenye vyama na wasio na vyama. Kazi ya Samia tumeiona kwa muda mfupi na tuna matumaini kuwa yuko kwenye MSTARI SAHIHI na kuna makubwa nchi yetu itapata chini ya Uongozi wake.

Ametupa Uhuru wa kuongea na kushauri kwa mujibu wa Katiba, tuutumie vizuri kwa masilahi mapana na nchi yetu.

Katiba Nzuri kweli tunaitaka na Rais SSH kasema tumpe muda kwanza aratibu mipango yake ya uchumi, then suala la Katiba litakuja. Kwa nini tusimpe benefit of doubt Rais wetu kwa hilo? Maana mtangulizi wake (Magufuli) alisema "Kwenye Kampeni zangu sikuahidi Katiba". Ila huyu Samia anasema tumpe muda tu, nyinyi hamutaki.

Na kwa miaka 5 CHADEMA walikuwa wanaongelea Tume Huru Ya Uchaguzi, kuibiwa kura za uchaguzi na kesi za kubambikizwa. Sasa ndiyo wameanza kudai Katiba naada ya DIKTETA Magufuli kufariki.

Nawashauri CHADEMA, waitishe Mkutano wao Mkuu ili waweke mkakati wa nini wanachokitaka na siyo kila mwenye kusimama jukwaani anataka cha kwake. Wawatumie vijana wao wasomi waandike dira yao na miongozo ya vitu gani wadai kutoka Seikalini.
Utapanuka moyo kisa Chadema kunywa maji mengi
 
Badala ya kutushawishi kwa sera nzuri wanalilia katiba, kwa hiyo wao tukiwapa nchi kipaumbele chao ni katiba mpya, mambo ya ustawi wa nchi tutapambana wenyewe.
Hawa watu hawana agenda ya kukomboa raia wao katiba tu, hivi tutawapaje nchi wameacha matatizo yanayo wagusa wananchi direct.
 
Kwako Freeman Mbowe,
Mwenyekiti wa CHADEMA

Ni wazi CDM mnapoteza focus maana Kama alivyosema E Lowassa mwaka 2015 kuwa Chama chenu ni wana harakati zaidi kuliko wanasiasa. Wanaharakati huenda na matukio wakati wanasiasa huenda na mikakati.

Kuna mabadiliko makubwa ya kisiasa, kijamii na kiuchumi ambayo yamefanywa ndani ya kipindi cha miezi 3 au siku 100 katika utawala wa Rais SSH. Watanzania wote wanajuwa na wanaona nafuu ya maisha katika nyanja zote na wana matumaini na Rais. Sina haja ya kuyataja hapa ambayo Rais SSH amefanya kwa kuwa mengine hata Mbowe binafsi ni mnufaika wa moja kwa moja.

Sijapendezewa na Uongozi wenu wa juu wa CDM namna mnavyotaka KIUMSHURUTISHA Rais afuate VIPUMBELE vyenu badala ya vipaumbele vyake na Chama chake.

Hata kama kuna mapungufu katika vipaumbele vya Rais, naamini kuna namna ya kufikisha ujumbe kwa Rais kwa maadili na nidhamu. Kumbukeni Rais ni Taaaisi

Najuwa CHADEMA mumeomba kukutana na Rais, na Rais bado hajaonyesha atakutana nanyi lini. Hili nalo linakuwa shida kwa kuwa nyinyi akina Mbowe mnaona alipaswa aonane na CHADEMA kwanza kabla ya makundi mengine ambayo Rais amekutana nayo.

Juzi mwanachama wenu mmoja (MDUDE) ameachiwa na Mahakama ya Mbeya kwa makosa ya kusafirisha cocaine. Badala mumuache kwanza apumzike ili aboreshe saikolojia na afya ya akili, nyie mumemempandisha kwenye majukwaa na ameanza kumtishia Rais SSH.

Jana mkutano wa dinner wa akina Mama wa BAWACHA uliopangwa kufanyika pale Hekima Garden ulivunjwa na Jeshi la Polisi. Naomba mjue kuwa Serikali ipo, na hai hezewi.

USHAURI WANGU:
CHADEMA wakumbuke kuwa Rais SSH siyo Kiongozi wa CCM na CHADEMA pekee bali ni Kiongozi wa Watanzania wote walio kwenye vyama na wasio na vyama. Kazi ya Samia tumeiona kwa muda mfupi na tuna matumaini kuwa yuko kwenye MSTARI SAHIHI na kuna makubwa nchi yetu itapata chini ya Uongozi wake.

Ametupa Uhuru wa kuongea na kushauri kwa mujibu wa Katiba, tuutumie vizuri kwa masilahi mapana na nchi yetu.

Katiba Nzuri kweli tunaitaka na Rais SSH kasema tumpe muda kwanza aratibu mipango yake ya uchumi, then suala la Katiba litakuja. Kwa nini tusimpe benefit of doubt Rais wetu kwa hilo? Maana mtangulizi wake (Magufuli) alisema "Kwenye Kampeni zangu sikuahidi Katiba". Ila huyu Samia anasema tumpe muda tu, nyinyi hamutaki.

Na kwa miaka 5 CHADEMA walikuwa wanaongelea Tume Huru Ya Uchaguzi, kuibiwa kura za uchaguzi na kesi za kubambikizwa. Sasa ndiyo wameanza kudai Katiba naada ya DIKTETA Magufuli kufariki.

Nawashauri CHADEMA, waitishe Mkutano wao Mkuu ili waweke mkakati wa nini wanachokitaka na siyo kila mwenye kusimama jukwaani anataka cha kwake. Wawatumie vijana wao wasomi waandike dira yao na miongozo ya vitu gani wadai kutoka Seikalini.
Mkuu kwa bangi wanazovuta -sijui kama watakusikiliza
 
Kipi cha kujivunia? Elimu, Afya, uchumi, ajira, mshikamano vyote hovyo kabisa.

Mimi sijui kuremba kama unaandika upuuzi sijui kukwepesha.

Eti nawe una hoja?? 🤣🤣🤣🤣🤣
Kajisemea CAG Assad Acquired Stupidity disease!!!! Hoja zako za kipuuzi huko huko lumumba siyo humu. Unadhani ni kwanini maccm damu damu Butiku na Warioba wanapigia sana debe Katiba mpya!?

Unadhani kwanini Mkapa alitaka sana uchaguzi wa mwaka jana usimamiwe na Tume huru ya uchaguzi?

Hebu acha kuonyesha ujuha wako hadharani eti nawe una hoja!!! Hoja za kuwakumbatia majizi, mafisadi na wauaji wa maccm si hoja ni takataka tu.
Mithali 26:4. Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Usije ukafanana naye.

Tuishie hapo
 
Hakuna watu waoga kuingia mtaani kama Watanzania. Alijaribu Mange Kimambi mwaka 2017/18 kuhamasisha maandamano kupitia Instagram hakuna hata mtu mmoja aliingia mtaani.

Baada ya uchaguzi wa 2020 ambao MAGUFULI aliuiba wote kupitia NEC na Polisi, Tundu Lissu aliitisha maandamano hakuna mtu alikwenda.

Urais ni Taasisi na siyo hivyo unavyochukulia wewe. Huyu unayemuona ni mwepesi kuliko MAGUFULI maamuzi yake yanaweza yakawa mabaya kuliko MAGUFULI.

Ndugu, kuna kitu kinaitwa "majira ya nyakati"

Nakupa neno moja hili:

Mama Samia Suluhu Hassan ndiye Rais wa kwanza Mwanamke Tanzania lakini ndiye atakuwa Rais wa mwisho toka CCM kutawala/kuongoza Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Huyu ndiye anatengeneza lango la kutokea na kupotea kwa Chama Cha Mapinduzi - CCM..

Asomaye na afahamu...
 
Wakipewa uhuru wanautumia vibaya, wakibwana mbavu wanalialia...
 
Ndugu, kuna kitu kinaitwa "majira ya nyakati"

Nakupa neno moja hili:

Mama Samia Suluhu Hassan ndiye Rais wa kwanza Mwanamke Tanzania lakini ndiye atakuwa Rais wa mwisho toka CCM kutawala/kuongoza Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Huyu ndiye anatengeneza lango la kutokea na kupotea kwa Chama Cha Mapinduzi - CCM..

Asomaye na afahamu...
Sioni tatizo Chama kingine kutawala Tanzania kwa vile vyama vyote vinatambuliwa kwa mujibu wa Katiba ya JMT ya mwaka 1977 toleo la 1000 na Sheria ya vyama vya Siasa ya mwaka 1992 . Hata CCM hawana HATIMILIKI ya kutawala milele.
 
Mbowe jana,amesema hawapiga magoti kukutana na SSH..wala hawabembelezi..
Bottom line,inaonekana mbowe anaona amechelewa kuitwa kuongea na SSH,
Anasahau kuwa maneno yake ya shombo dhidi ya SSH,Kama hili la eti hawabembelezi na hawana mpango ndo yanafanya SSH achelewe kuwaita,,
Hata JPM alikua anawapenda wapinzani,wakamtibua,,mar aambiwe eti PHD yake ni fake,hana elimu na kwamba ametia hasara nchi kununua ndege,etc
Hakuna mtu amewahi kuishinda dola. Hivi anavyosema hawabembelezi maana yake anamtishia Rais?? Nina amini kwa hulka ya Rais atakutana nao kama alivyoahidi lakini siyo kwa mashinikizo ya kijinga kama hayo ya Mbowe.
 
Nakubaliana na wewe tena by 100% kuwa Mdude alionewa na naweza kukutafutia threads zangu humu JF nilizo paza sauti kuwa Mdude must be freed. Ila kwa sasa Mdude anaitaji likizo ya kuji rehabilitate mentally.

Kuhusu style ya CDM kuwa ni Static haibadiliki kadri ya Kiongozi aliyepo ndipo yanapoanza matatizo. CDM walim face Magufuli kwa jinsi ile ile waliyo mface Kikwette na matokeo waliyaona. Hayakuwa mazuri kwao. Kufa kwa Magufuli siyo ushindi kwa CDM, bado CCM iko vile.

Angalieni wananchi wanataka nini ambacho Serikali haiwapi ndicho mukifanye agenda yenu. Hivi kuna study/ research yeyote iliyofanyika na CHADEMA au chombo chochote na kuonyesha kuwa wananchi wanataka KATIBA kwa sasa?
Now unataka kuwafundisha Chadema kulegeza sauti wakiwa wanadai haki zao, kwanini huu muda mnaotumia kuhangaika na Chadema msiutumie kuwaamsha watawala waliolala usingizi wanakandamiza haki za raia ili hao Chadema wasiendelee kupoteza muda kuwakera kwa namna wanavyodai haki zao?

Mnatakiwa ku deal na chanzo cha tatizo sio njia inayotumiwa kutatua tatizo, wake up.
 
Nakubaliana na wewe tena by 100% kuwa Mdude alionewa na naweza kukutafutia threads zangu humu JF nilizo paza sauti kuwa Mdude must be freed. Ila kwa sasa Mdude anaitaji likizo ya kuji rehabilitate mentally.

Kuhusu style ya CDM kuwa ni Static haibadiliki kadri ya Kiongozi aliyepo ndipo yanapoanza matatizo. CDM walim face Magufuli kwa jinsi ile ile waliyo mface Kikwette na matokeo waliyaona. Hayakuwa mazuri kwao. Kufa kwa Magufuli siyo ushindi kwa CDM, bado CCM iko vile.

Angalieni wananchi wanataka nini ambacho Serikali haiwapi ndicho mukifanye agenda yenu. Hivi kuna study/ research yeyote iliyofanyika na CHADEMA au chombo chochote na kuonyesha kuwa wananchi wanataka KATIBA kwa sasa?
Na Kuna study gani imefanywa kuonesha wananchi hawataki katiba mpya kwa sasa??
 
Asante kwa mawazo chanya. Busara inahitajika sana kuliko HARAKATI. Wananchi wanamuelewa Rais Samia sana kuliko hicho ambacho CDM wanataka kusema ni cha muhimu kuliko kupanga uchumi
Nchi hii isha ingia uchumi wa Kati huo uchumi ambao Mama anataka kujenga ni uchumi gani?
 
Na Kuna study gani imefanywa kuonesha wananchi hawataki katiba mpya kwa sasa??
Nimeuliza swali kuwa "iko wapi study/ research inayoonyesha kuwa wananchi wanataka Katiba Mpya?"

Wewe Kinkunti El Perdedo unastahili kunijibu na siyo kuniuliza swali mimi muulizaji. Hivi kweli wewe ulifaulu NECTA?
 
Kana kwamba haitoshi mama ameshasema anakubari kukosolewa ila iwe kwa staha sio matusi na zarau akiona kweri kakosea atatoka hadharani na kuomba radhi. Mdude nani hata atukane jukwaani ni anyamaziwe tu
 
CDM wamezingua huu ndio ukweli, acheni matusi, mwambieni huyo chairman awe na busara, hamna mtz atamuelewa, na huyo kichaa aliyetoka jela awe mpole, kuna njia nyingi tu za kudai katiba
 
Kwako Freeman Mbowe,
Mwenyekiti wa CHADEMA

Ni wazi CDM mnapoteza focus maana Kama alivyosema E Lowassa mwaka 2015 kuwa Chama chenu ni wana harakati zaidi kuliko wanasiasa. Wanaharakati huenda na matukio wakati wanasiasa huenda na mikakati.

Kuna mabadiliko makubwa ya kisiasa, kijamii na kiuchumi ambayo yamefanywa ndani ya kipindi cha miezi 3 au siku 100 katika utawala wa Rais SSH. Watanzania wote wanajuwa na wanaona nafuu ya maisha katika nyanja zote na wana matumaini na Rais. Sina haja ya kuyataja hapa ambayo Rais SSH amefanya kwa kuwa mengine hata Mbowe binafsi ni mnufaika wa moja kwa moja.

Sijapendezewa na Uongozi wenu wa juu wa CDM namna mnavyotaka KIUMSHURUTISHA Rais afuate VIPUMBELE vyenu badala ya vipaumbele vyake na Chama chake.

Hata kama kuna mapungufu katika vipaumbele vya Rais, naamini kuna namna ya kufikisha ujumbe kwa Rais kwa maadili na nidhamu. Kumbukeni Rais ni Taaaisi

Najuwa CHADEMA mumeomba kukutana na Rais, na Rais bado hajaonyesha atakutana nanyi lini. Hili nalo linakuwa shida kwa kuwa nyinyi akina Mbowe mnaona alipaswa aonane na CHADEMA kwanza kabla ya makundi mengine ambayo Rais amekutana nayo.

Juzi mwanachama wenu mmoja (MDUDE) ameachiwa na Mahakama ya Mbeya kwa makosa ya kusafirisha cocaine. Badala mumuache kwanza apumzike ili aboreshe saikolojia na afya ya akili, nyie mumemempandisha kwenye majukwaa na ameanza kumtishia Rais SSH.

Jana mkutano wa dinner wa akina Mama wa BAWACHA uliopangwa kufanyika pale Hekima Garden ulivunjwa na Jeshi la Polisi. Naomba mjue kuwa Serikali ipo, na hai hezewi.

USHAURI WANGU:
CHADEMA wakumbuke kuwa Rais SSH siyo Kiongozi wa CCM na CHADEMA pekee bali ni Kiongozi wa Watanzania wote walio kwenye vyama na wasio na vyama. Kazi ya Samia tumeiona kwa muda mfupi na tuna matumaini kuwa yuko kwenye MSTARI SAHIHI na kuna makubwa nchi yetu itapata chini ya Uongozi wake.

Ametupa Uhuru wa kuongea na kushauri kwa mujibu wa Katiba, tuutumie vizuri kwa masilahi mapana na nchi yetu.

Katiba Nzuri kweli tunaitaka na Rais SSH kasema tumpe muda kwanza aratibu mipango yake ya uchumi, then suala la Katiba litakuja. Kwa nini tusimpe benefit of doubt Rais wetu kwa hilo? Maana mtangulizi wake (Magufuli) alisema "Kwenye Kampeni zangu sikuahidi Katiba". Ila huyu Samia anasema tumpe muda tu, nyinyi hamutaki.

Na kwa miaka 5 CHADEMA walikuwa wanaongelea Tume Huru Ya Uchaguzi, kuibiwa kura za uchaguzi na kesi za kubambikizwa. Sasa ndiyo wameanza kudai Katiba naada ya DIKTETA Magufuli kufariki.

Nawashauri CHADEMA, waitishe Mkutano wao Mkuu ili waweke mkakati wa nini wanachokitaka na siyo kila mwenye kusimama jukwaani anataka cha kwake. Wawatumie vijana wao wasomi waandike dira yao na miongozo ya vitu gani wadai kutoka Seikalini.

Mkuu pana mambo ya msingi kuyaona kuweza kuelewa hali ya uwanja ilivyo:

IMG_20210704_051559_619.jpg


Picha hiyo inajieleza wazi.

Pana nia na mwendelezo wa kumfarakanisha Mama na yeyote (hasa Chadema) kwa lolote hata kama ni la kijinga. Uzi huu una husika:


Hata chokochoko za kumfarakanisha Mama kwenye bandari ya bagamoyo ziko kwenye mlolongo huo huo.

Mama kazungukwa na wahafidhina wa CCM kama unavyowaona wengine humu mitandaoni. Hawa ni wanufaika wa katiba iliyopo. Zao ni kukaanga mbuyu tu kwa heri au kwa shari (zikiwamo hata kuishauri Chadema). Ali mradi tu zao kukaanga mbuyu:


Kwa dhamira ya wahafidhina hao Chadema hata wafanyeje hawatakaa kukutana mezani na mama kwa mazungumzo yoyote bila ya msukumo wao wenyewe tena wa dhati kweli kweli.

Itambulike kuwa wahafidhina hawa na CCM ni wahanga wa katiba mpya. Hawana cha kupata bali vya kupoteza. Ni vipi bado waridhie hayo kwa namna yoyote?

Asilaumiwe Mbowe wala CHADEMA, kaniki ni rangi yake!

Cc: BAK Extrovert Pascal Mayalla Missile of the Nation jingalao Idugunde
 
Kwa nini mnaizungumzia Chadema tu na sio ACT, TLP, NCCR au CUF ?
IMG_20210704_051559_619.jpg


Mkuu ngoma iko hapo. Zaidi sana:


Haipo nia njema ya maridhiano bali mifarakano.
 
Kwako Freeman Mbowe,
Mwenyekiti wa CHADEMA

Ni wazi CDM mnapoteza focus maana Kama alivyosema E Lowassa mwaka 2015 kuwa Chama chenu ni wana harakati zaidi kuliko wanasiasa. Wanaharakati huenda na matukio wakati wanasiasa huenda na mikakati.

Kuna mabadiliko makubwa ya kisiasa, kijamii na kiuchumi ambayo yamefanywa ndani ya kipindi cha miezi 3 au siku 100 katika utawala wa Rais SSH. Watanzania wote wanajuwa na wanaona nafuu ya maisha katika nyanja zote na wana matumaini na Rais. Sina haja ya kuyataja hapa ambayo Rais SSH amefanya kwa kuwa mengine hata Mbowe binafsi ni mnufaika wa moja kwa moja.

Sijapendezewa na Uongozi wenu wa juu wa CDM namna mnavyotaka KIUMSHURUTISHA Rais afuate VIPUMBELE vyenu badala ya vipaumbele vyake na Chama chake.

Hata kama kuna mapungufu katika vipaumbele vya Rais, naamini kuna namna ya kufikisha ujumbe kwa Rais kwa maadili na nidhamu. Kumbukeni Rais ni Taaaisi

Najuwa CHADEMA mumeomba kukutana na Rais, na Rais bado hajaonyesha atakutana nanyi lini. Hili nalo linakuwa shida kwa kuwa nyinyi akina Mbowe mnaona alipaswa aonane na CHADEMA kwanza kabla ya makundi mengine ambayo Rais amekutana nayo.

Juzi mwanachama wenu mmoja (MDUDE) ameachiwa na Mahakama ya Mbeya kwa makosa ya kusafirisha cocaine. Badala mumuache kwanza apumzike ili aboreshe saikolojia na afya ya akili, nyie mumemempandisha kwenye majukwaa na ameanza kumtishia Rais SSH.

Jana mkutano wa dinner wa akina Mama wa BAWACHA uliopangwa kufanyika pale Hekima Garden ulivunjwa na Jeshi la Polisi. Naomba mjue kuwa Serikali ipo, na hai hezewi.

USHAURI WANGU:
CHADEMA wakumbuke kuwa Rais SSH siyo Kiongozi wa CCM na CHADEMA pekee bali ni Kiongozi wa Watanzania wote walio kwenye vyama na wasio na vyama. Kazi ya Samia tumeiona kwa muda mfupi na tuna matumaini kuwa yuko kwenye MSTARI SAHIHI na kuna makubwa nchi yetu itapata chini ya Uongozi wake.

Ametupa Uhuru wa kuongea na kushauri kwa mujibu wa Katiba, tuutumie vizuri kwa masilahi mapana na nchi yetu.

Katiba Nzuri kweli tunaitaka na Rais SSH kasema tumpe muda kwanza aratibu mipango yake ya uchumi, then suala la Katiba litakuja. Kwa nini tusimpe benefit of doubt Rais wetu kwa hilo? Maana mtangulizi wake (Magufuli) alisema "Kwenye Kampeni zangu sikuahidi Katiba". Ila huyu Samia anasema tumpe muda tu, nyinyi hamutaki.

Na kwa miaka 5 CHADEMA walikuwa wanaongelea Tume Huru Ya Uchaguzi, kuibiwa kura za uchaguzi na kesi za kubambikizwa. Sasa ndiyo wameanza kudai Katiba naada ya DIKTETA Magufuli kufariki.

Nawashauri CHADEMA, waitishe Mkutano wao Mkuu ili waweke mkakati wa nini wanachokitaka na siyo kila mwenye kusimama jukwaani anataka cha kwake. Wawatumie vijana wao wasomi waandike dira yao na miongozo ya vitu gani wadai kutoka Seikalini.
Ushauri mzuri sana uliwapa, ila wakaupuuza.
 
Back
Top Bottom