Pre GE2025 Barua ya wazi kwa mheshimiwa ex mayor wa ubungo na mwenyekiti wa chadema kanda ya Pwani

Pre GE2025 Barua ya wazi kwa mheshimiwa ex mayor wa ubungo na mwenyekiti wa chadema kanda ya Pwani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mtu kama anajiweka mbali kwasababu zake binafsi, muacheni msianze kubembeleza watu kama ni wa muhimu sana. Wakati hawakuwepo, chama kilikuwepo. Anayeona ana maumivu kwa mgombea wake kuangukia pua, akauguze maumivu, wengine msonge mbele. Mimi siwezagi mambo ya kubemebelezana sijui maridhiano, sijui rudi kama mwanzo. Anayetaka siasa akubali kubeba yote.
 
Salaam na heshima kwako mheshimiwa Boniface Jacobo Mayor mstaafu na Mwenyekiti wa Kanda ya pwani chama Cha demokrasia na maendeleo CHADEMA.

Kiongozi kabla ya kusema niliyowiwa kuyasema naomba kutambua unao washauri wengi sana wenye vyeo na nafasi kubwa kuliko Mimi ila naomba unipe dakika chache tu kusoma barua hii.

Kiongozi kabla ya uchaguzi mkuu wa chama ulikuwa mtu muhimu sana katika chama na nikiri huo umuhimu wako upo , pengo lako tunaliona ndio maana nimewiwa kuandika barua hii ya wazi kwako .

Kiongozi Kuna matukio mengi sana yametokea nchini ambayo sio kawaida tukose tweet mbili tatu kuyahusu na kuna matukio mengi sana ya kichama ambayo hatukuoni wala kuona mchango wako kwa sasa

Kiongozi naomba nikukumbushe tukio la wewe kurudisha fomu ya kugombea uenyekiti Kanda ya pwani. Wanachama wengi tulikusindikiza kurudisha fomu wengine hata hutufahamu na usisahau hatukukusindikiza kwa sababu ya ukaribu wako na Mbowe tambua hili Kuna wengi tu walipendezwa na Lissu wakati wa uchaguzi na walikuwa wengi tu huenda zaidi ya wafuasi wa mbowe waliokusindikiza . Hivyo tambua tunaokuamini hatukuamini kwasababu yoyote zaidi ya kuwa mwanachama wa chadema na mwenye uwezo mkubwa katika harakati za chama .

Tunatambua umeumia sana kutokana na demokrasia ilivyoamua ila fikiria vizuri sidhani kama mheshimiwa Mbowe anafurahia ukimya wako . Tafadhali ni muda wa kurudi sasa. Tusamehe tuliotoa maneno makali wakati wa uchaguzi wa chama nikiwemo umeniblock kabisa. Uchaguzi umekwisha . Ushapumzika vya kutosha . Pengo lako linakusubiri ulizibe Tafadhali lizibe tusonge mbele.

Nisikuchoshe kwa barua ndefu. Tafadhali rudi kama awali maisha yaendelee

Mwanachama mtiifu wa CHADEMA
Na mwanaharakati wa haki
Assenga

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Haiwezekani kampeni zitumike kama njia ya kutukana na kudhalilisha watu afu kirahisi tu, mtu anasema yameisha tusonge mbele. Kwa wanaosema CHADEMA ilikuwa kichaka cha upigaji, mbona ndio wanalamika CHADEMA haina fedha kwa sasa. Kimsingi uchaguzi wa CHADEMA umeipa CCM ushindi wa mezani katika uchaguzi ujao, na zaidi pengine hata akina Boni hawatamani kuendelea na nafasi zao. CCM haina mpinzani kwa miaka ya hivi karibuni.
 
Salaam na heshima kwako mheshimiwa Boniface Jacobo Mayor mstaafu na Mwenyekiti wa Kanda ya pwani chama Cha demokrasia na maendeleo CHADEMA.

Kiongozi kabla ya kusema niliyowiwa kuyasema naomba kutambua unao washauri wengi sana wenye vyeo na nafasi kubwa kuliko Mimi ila naomba unipe dakika chache tu kusoma barua hii.

Kiongozi kabla ya uchaguzi mkuu wa chama ulikuwa mtu muhimu sana katika chama na nikiri huo umuhimu wako upo , pengo lako tunaliona ndio maana nimewiwa kuandika barua hii ya wazi kwako .

Kiongozi Kuna matukio mengi sana yametokea nchini ambayo sio kawaida tukose tweet mbili tatu kuyahusu na kuna matukio mengi sana ya kichama ambayo hatukuoni wala kuona mchango wako kwa sasa

Kiongozi naomba nikukumbushe tukio la wewe kurudisha fomu ya kugombea uenyekiti Kanda ya pwani. Wanachama wengi tulikusindikiza kurudisha fomu wengine hata hutufahamu na usisahau hatukukusindikiza kwa sababu ya ukaribu wako na Mbowe tambua hili Kuna wengi tu walipendezwa na Lissu wakati wa uchaguzi na walikuwa wengi tu huenda zaidi ya wafuasi wa mbowe waliokusindikiza . Hivyo tambua tunaokuamini hatukuamini kwasababu yoyote zaidi ya kuwa mwanachama wa chadema na mwenye uwezo mkubwa katika harakati za chama .

Tunatambua umeumia sana kutokana na demokrasia ilivyoamua ila fikiria vizuri sidhani kama mheshimiwa Mbowe anafurahia ukimya wako . Tafadhali ni muda wa kurudi sasa. Tusamehe tuliotoa maneno makali wakati wa uchaguzi wa chama nikiwemo umeniblock kabisa. Uchaguzi umekwisha . Ushapumzika vya kutosha . Pengo lako linakusubiri ulizibe Tafadhali lizibe tusonge mbele.

Nisikuchoshe kwa barua ndefu. Tafadhali rudi kama awali maisha yaendelee

Mwanachama mtiifu wa CHADEMA
Na mwanaharakati wa haki
Assenga

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Mwache akazungushe mayai yake kariakoo.

Hakuna mtu mkubwa kuliko chadema.

Ajue tu kwamba Chama kitasimama na kusonga mbele awepo au asiwepo.
 
Haiwezekani kampeni zitumike kama njia ya kutukana na kudhalilisha watu afu kirahisi tu, mtu anasema yameisha tusonge mbele. Kwa wanaosema CHADEMA ilikuwa kichaka cha upigaji, mbona ndio wanalamika CHADEMA haina fedha kwa sasa. Kimsingi uchaguzi wa CHADEMA umeipa CCM ushindi wa mezani katika uchaguzi ujao, na zaidi pengine hata akina Boni hawatamani kuendelea na nafasi zao. CCM haina mpinzani kwa miaka ya hivi karibuni.
Haya nenda pale Lumumba ukachukue "afu" kumi yako. Au uweke namba yako ya simu hapa nikutumie fasta.
 
Uchaguzi ulikuwa wa wazi na mshindi alipatikana kihalali yeye akiwa shahidi, arudi ajenge chama.
 
Haya maumivu ni wazi hawa watu walikuwa wamegeuza chama shamba lao la upigaji. Kushindwa kwenye uchaguzi wa kidemokrasia pekee hakuwezi kubeba maumivu makali namna hii.
Una akili na mentality ya kitoto sana hili linathibitisha ile kauli ya Jamaa fulani kuwa Nyerere anaongoza maiti.

Chama cha siasa cha upinzani kukiendesha si lelemama! Kundesha mkutano mkuu mmoja si chini ya milioni 600 hapo inajumuisha kusafirisha wajumbe,kuwalisha,kuwalaza na kuwakirimu kipindi chose cha mkutano ndio maana kuna vyama vinashindwa kufanya mikutano mikuu kisa uhaba wa fedha!!
Kufanya mkutano mkubwa mmoja wa hadhara si chini ya 20M maandalizi na kila kitu. Siasa sio biashara rahisi kama kuuza uchi unavyofikiria.

Chadema inapata ruzuku ya Mil 100 kwa mwezi hebu piga hesabu za kuendesha chama pamoja na harakati zote za kichama halafu ujiulize nini kimeliwa?
Mna fikra za kimalaya malaya na kichawi sana mkihusisha umaskini na kutu iliyowajaa rohoni.
 
Anashangaza kwa kweli. Ni ushahidi hawa watu waligeuza chama SACCOS au kuna kitu walipokea. Unawezaje kuwa na chuki hivi. Hata humu JF kuna watu wamekuwa na chuki na sisi tuliomuunga mkono Lissu. Yaani anaweza kukukuta kwenye uzi tofauti tu anaanza harassment
Kama kuna watu waliigeuza CDM kuwa Saccos yao ni heri wakikaa kimya ili wale wenye moyo safi na chama wachukue nafasi zao. Kama mnaona kuwa mnahitaji mchango aliokuwa anaotoa bila shaka wako ambao wanaweza kuchukua nafasi yake na kuiendeleza.

Amandla...
 
Anashangaza kwa kweli. Ni ushahidi hawa watu waligeuza chama SACCOS au kuna kitu walipokea. Unawezaje kuwa na chuki hivi. Hata humu JF kuna watu wamekuwa na chuki na sisi tuliomuunga mkono Lissu. Yaani anaweza kukukuta kwenye uzi tofauti tu anaanza harassment
Ni wazi mna utoto mwingi kwa hizi mentality zenu. Kama watu walifanya chama SACOS ni why now kina Lissu wanaomba michango? Si kuna Ruzuku? Seriously mil 100 ni kitu kwa chama kikubwa kama CDM?

Unaonekana bado mtoto sana we kima.
 
Back
Top Bottom