Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Tuwasamehe mabadiliko ni Lazima!Anashangaza kwa kweli. Ni ushahidi hawa watu waligeuza chama SACCOS au kuna kitu walipokea. Unawezaje kuwa na chuki hivi. Hata humu JF kuna watu wamekuwa na chuki na sisi tuliomuunga mkono Lissu. Yaani anaweza kukukuta kwenye uzi tofauti tu anaanza harassment
Alivuna anaendelea na ataendelea kuvuna ambacho alichokipanda na atakacho kipandaIla Mbowe ni mvumilivu sana...kwa matusi Yale ...duuuh
Ila mwamba alikuwa na mvuto flan hivi pale CDM.....Yani chama kilikuwa oinaonekana kina standard flan hivi...Unaitwa Ukomavu wa kisiasa
Freeman Anaipenda sana Chadema, Atakuja kuwasaidia wakihitaji msaada wake, hajawahi kuwa na kinyongoIla mwamba alikuwa na mvuto flan hivi pale CDM.....Yani chama kilikuwa oinaonekana kina standard flan hivi...
Ila Sasa hivi ni vurugu tuu
Haiwezekani kampeni zitumike kama njia ya kutukana na kudhalilisha watu afu kirahisi tu, mtu anasema yameisha tusonge mbele. Kwa wanaosema CHADEMA ilikuwa kichaka cha upigaji, mbona ndio wanalamika CHADEMA haina fedha kwa sasa. Kimsingi uchaguzi wa CHADEMA umeipa CCM ushindi wa mezani katika uchaguzi ujao, na zaidi pengine hata akina Boni hawatamani kuendelea na nafasi zao. CCM haina mpinzani kwa miaka ya hivi karibuni.Salaam na heshima kwako mheshimiwa Boniface Jacobo Mayor mstaafu na Mwenyekiti wa Kanda ya pwani chama Cha demokrasia na maendeleo CHADEMA.
Kiongozi kabla ya kusema niliyowiwa kuyasema naomba kutambua unao washauri wengi sana wenye vyeo na nafasi kubwa kuliko Mimi ila naomba unipe dakika chache tu kusoma barua hii.
Kiongozi kabla ya uchaguzi mkuu wa chama ulikuwa mtu muhimu sana katika chama na nikiri huo umuhimu wako upo , pengo lako tunaliona ndio maana nimewiwa kuandika barua hii ya wazi kwako .
Kiongozi Kuna matukio mengi sana yametokea nchini ambayo sio kawaida tukose tweet mbili tatu kuyahusu na kuna matukio mengi sana ya kichama ambayo hatukuoni wala kuona mchango wako kwa sasa
Kiongozi naomba nikukumbushe tukio la wewe kurudisha fomu ya kugombea uenyekiti Kanda ya pwani. Wanachama wengi tulikusindikiza kurudisha fomu wengine hata hutufahamu na usisahau hatukukusindikiza kwa sababu ya ukaribu wako na Mbowe tambua hili Kuna wengi tu walipendezwa na Lissu wakati wa uchaguzi na walikuwa wengi tu huenda zaidi ya wafuasi wa mbowe waliokusindikiza . Hivyo tambua tunaokuamini hatukuamini kwasababu yoyote zaidi ya kuwa mwanachama wa chadema na mwenye uwezo mkubwa katika harakati za chama .
Tunatambua umeumia sana kutokana na demokrasia ilivyoamua ila fikiria vizuri sidhani kama mheshimiwa Mbowe anafurahia ukimya wako . Tafadhali ni muda wa kurudi sasa. Tusamehe tuliotoa maneno makali wakati wa uchaguzi wa chama nikiwemo umeniblock kabisa. Uchaguzi umekwisha . Ushapumzika vya kutosha . Pengo lako linakusubiri ulizibe Tafadhali lizibe tusonge mbele.
Nisikuchoshe kwa barua ndefu. Tafadhali rudi kama awali maisha yaendelee
Mwanachama mtiifu wa CHADEMA
Na mwanaharakati wa haki
Assenga
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Mwache akazungushe mayai yake kariakoo.Salaam na heshima kwako mheshimiwa Boniface Jacobo Mayor mstaafu na Mwenyekiti wa Kanda ya pwani chama Cha demokrasia na maendeleo CHADEMA.
Kiongozi kabla ya kusema niliyowiwa kuyasema naomba kutambua unao washauri wengi sana wenye vyeo na nafasi kubwa kuliko Mimi ila naomba unipe dakika chache tu kusoma barua hii.
Kiongozi kabla ya uchaguzi mkuu wa chama ulikuwa mtu muhimu sana katika chama na nikiri huo umuhimu wako upo , pengo lako tunaliona ndio maana nimewiwa kuandika barua hii ya wazi kwako .
Kiongozi Kuna matukio mengi sana yametokea nchini ambayo sio kawaida tukose tweet mbili tatu kuyahusu na kuna matukio mengi sana ya kichama ambayo hatukuoni wala kuona mchango wako kwa sasa
Kiongozi naomba nikukumbushe tukio la wewe kurudisha fomu ya kugombea uenyekiti Kanda ya pwani. Wanachama wengi tulikusindikiza kurudisha fomu wengine hata hutufahamu na usisahau hatukukusindikiza kwa sababu ya ukaribu wako na Mbowe tambua hili Kuna wengi tu walipendezwa na Lissu wakati wa uchaguzi na walikuwa wengi tu huenda zaidi ya wafuasi wa mbowe waliokusindikiza . Hivyo tambua tunaokuamini hatukuamini kwasababu yoyote zaidi ya kuwa mwanachama wa chadema na mwenye uwezo mkubwa katika harakati za chama .
Tunatambua umeumia sana kutokana na demokrasia ilivyoamua ila fikiria vizuri sidhani kama mheshimiwa Mbowe anafurahia ukimya wako . Tafadhali ni muda wa kurudi sasa. Tusamehe tuliotoa maneno makali wakati wa uchaguzi wa chama nikiwemo umeniblock kabisa. Uchaguzi umekwisha . Ushapumzika vya kutosha . Pengo lako linakusubiri ulizibe Tafadhali lizibe tusonge mbele.
Nisikuchoshe kwa barua ndefu. Tafadhali rudi kama awali maisha yaendelee
Mwanachama mtiifu wa CHADEMA
Na mwanaharakati wa haki
Assenga
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Haya nenda pale Lumumba ukachukue "afu" kumi yako. Au uweke namba yako ya simu hapa nikutumie fasta.Haiwezekani kampeni zitumike kama njia ya kutukana na kudhalilisha watu afu kirahisi tu, mtu anasema yameisha tusonge mbele. Kwa wanaosema CHADEMA ilikuwa kichaka cha upigaji, mbona ndio wanalamika CHADEMA haina fedha kwa sasa. Kimsingi uchaguzi wa CHADEMA umeipa CCM ushindi wa mezani katika uchaguzi ujao, na zaidi pengine hata akina Boni hawatamani kuendelea na nafasi zao. CCM haina mpinzani kwa miaka ya hivi karibuni.
The beginning of the end, chama hakiwezi kujengwa kwa uhuni wa namna hiyo.Mwache akazungushe mayai yake kariakoo.
Hakuna mtu mkubwa kuliko chadema.
Ajue tu kwamba Chama kitasimama na kusonga mbele awepo au asiwepo.
Mabadiliko ni Lazima!Ila mwamba alikuwa na mvuto flan hivi pale CDM.....Yani chama kilikuwa oinaonekana kina standard flan hivi...
Ila Sasa hivi ni vurugu tuu
kwanza atujibu, anajua waliko kina Ben Saanane ama hajui. Anahusika mauaji ya mzee Kibao ama hahusiki, anawajua wahusika ama hawajui, na mambo mengine yanayofanana na hayoFreeman Anaipenda sana Chadema, Atakuja kuwasaidia wakihitaji msaada wake, hajawahi kuwa na kinyongo
Kuridhiana kuhusu nini? Kuna conflict?! Inahusu nini? Madai yao ni nini? Isije kuwa maridhiano ya kutaka ulaji?Wapo walioshauri baada ya Uchaguzi kuwe na Maridhiano ya ndani lakini walipuuzwa
Wewe je?Wapo walioshauri baada ya Uchaguzi kuwe na Maridhiano ya ndani lakini walipuuzwa
Una akili na mentality ya kitoto sana hili linathibitisha ile kauli ya Jamaa fulani kuwa Nyerere anaongoza maiti.Haya maumivu ni wazi hawa watu walikuwa wamegeuza chama shamba lao la upigaji. Kushindwa kwenye uchaguzi wa kidemokrasia pekee hakuwezi kubeba maumivu makali namna hii.
Kama kuna watu waliigeuza CDM kuwa Saccos yao ni heri wakikaa kimya ili wale wenye moyo safi na chama wachukue nafasi zao. Kama mnaona kuwa mnahitaji mchango aliokuwa anaotoa bila shaka wako ambao wanaweza kuchukua nafasi yake na kuiendeleza.Anashangaza kwa kweli. Ni ushahidi hawa watu waligeuza chama SACCOS au kuna kitu walipokea. Unawezaje kuwa na chuki hivi. Hata humu JF kuna watu wamekuwa na chuki na sisi tuliomuunga mkono Lissu. Yaani anaweza kukukuta kwenye uzi tofauti tu anaanza harassment
Ni wazi mna utoto mwingi kwa hizi mentality zenu. Kama watu walifanya chama SACOS ni why now kina Lissu wanaomba michango? Si kuna Ruzuku? Seriously mil 100 ni kitu kwa chama kikubwa kama CDM?Anashangaza kwa kweli. Ni ushahidi hawa watu waligeuza chama SACCOS au kuna kitu walipokea. Unawezaje kuwa na chuki hivi. Hata humu JF kuna watu wamekuwa na chuki na sisi tuliomuunga mkono Lissu. Yaani anaweza kukukuta kwenye uzi tofauti tu anaanza harassment
Tulidhani yanaendelea kufanyiwa kazi!Wapo walioshauri baada ya Uchaguzi kuwe na Maridhiano ya ndani lakini walipuuzwa