Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 582
Tatizo ni mwenye roho ngumu ya kulianzisha hayupo.
kama unahitajika kuchangia ada laki 3 na huku boom umepata af unashindwa kulipa wewe utakuwa mwehu!!!
mbona huku UDSM hamna huo uboya,afu kingine vyuo vyenu hamna unity kabisa,i love UDSM ever
nadeclare interest mimi nilikuwepo katika lile group lililoongoza mgomo pale UDSM wa kupigania kupandisha bumu na kupigania vijana wapate mkopo kwani vigezo walikuwa navyo na baadae tukafukuzwa....kiukweli kwa sasa mlimani wamebaki maboya kama huyu METAL na rev square imeota majani....vijana wamekuwa waoga sana...mambo hayaendi vuzuri vijana wa udsm wanashindwa kuhoji
nadeclare interest mimi nilikuwepo katika lile group lililoongoza mgomo pale UDSM wa kupigania kupandisha bumu na kupigania vijana wapate mkopo kwani vigezo walikuwa navyo na baadae tukafukuzwa....kiukweli kwa sasa mlimani wamebaki maboya kama huyu METAL na rev square imeota majani....vijana wamekuwa waoga sana...mambo hayaendi vuzuri vijana wa udsm wanashindwa kuhoji
hivi mm nmechaguliwa hapa UDSM kuja kuandamana au? mm nmekja kupiga kitabu na si kufanya upumbavu wako wa kiboya
ndugu zangu wanaharakati wenzangu wa kutoka vyuo mbalimbali hapa Tanzania....semister iliyoisha SUA ilifanya uchaguzi na hakika ilipata rais bora aliekubarika sana,lakini kiongozi yule baada ya kuanza kazi na kuwabana viongozi wa chuo..wakaamua kumuondoa tena kwa kumuonea kabisa...ndugu zangu wasomi wa vyuo vikuu vyote freedom squares zote zimekuwa ni kumbi za sherehe na harusi..watu hawakutani tena kujadili maswala mbalimbali kwa hofu iliyojengwa na wapumbavu wachache...vijana siku hizi mmekuwa kimya...rais wa chuo kikuu anafukuzwa tena kwa kuonewa lakini vijana mpo kimya kama hakuna chochote kilichotokea...vijana ilitakiwa mjiunge na muhoji raisi wenu yuko wapi pasipo uoga...naumia sana kwakuwa na kizazi cha watu waoga na wasio hoji...nasikia tena mmeambiwa mtoe 20000 kwa ajili ya medical fees huku mkiwa na vitambulisho vya bima kwa kuwa ni waoga mmeshindwa kuhoji wasomi mnaburuzwa....watu wa agronomy wameondolewa kwa kuonewa kabisa ila kila mtu analake leo kwake kesho kwako..kwanini vijana hamuoji..vijana mmekuwaje sasa hivi.......
tell my people that i love them very much my blood and tears will nourish the trees that will bear fruits of freedom.......:teeth:
Acheni porojo, President kadisco. Ukiwa mdhaifu kitaaluma hutakiwi kujiingiza kwenye siasa za chuo....., Kwani Gillah anasahihisha mitihani? Leteni ishu za maana