Barua ya wazi kwa mshana Jr

moniccca

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2015
Posts
2,383
Reaction score
3,285
Pole kwa majukumu ndug. Mshana Jr.

Nakuandikia maandiko haya kufuatia hali yangu kuwa taabani kwa mmoja wa members wa jukwaa la MMU.

Lengo la maandiko haya nikukutaka unipatie mitishamba ambayo itanipa ujasiri wa kumface mlengwa au kupata utaalum wa kumvuta aje mwenyewe.

Naamini nimefanikiwa.

Wasalaaam,

ndimi moniccca!
 
Nimekupm hata hujanijibu ila wewe...
 
Monicca ww... una vituko jmn...
 
Dada njoo hapa nilipo nikupeleke kuna maji ya kisima cha mjerumani ukinywa hayo na kujipaka au kuoga kwa manuizo anakuja mwenyewe .
Nb:kisima ni cha mungu ila mawe ya mjeruman ni kikongwe haikauki chmchm enzi na enzi.
 
Mfano akija alafu mkionana akawa tofauti na picha ulioijenga kichwan itakuaje? utaleta mrejesho jf?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…