Barua ya wazi kwa mshana Jr

Barua ya wazi kwa mshana Jr

moniccca

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2015
Posts
2,383
Reaction score
3,285
Pole kwa majukumu ndug. Mshana Jr.

Nakuandikia maandiko haya kufuatia hali yangu kuwa taabani kwa mmoja wa members wa jukwaa la MMU.

Lengo la maandiko haya nikukutaka unipatie mitishamba ambayo itanipa ujasiri wa kumface mlengwa au kupata utaalum wa kumvuta aje mwenyewe.

Naamini nimefanikiwa.

Wasalaaam,

ndimi moniccca!
 
Pole kwa majukumu ndug. Mshana Jr.

Nakuandikia maandiko haya kufuatia hali yangu kuwa taabani kwa mmoja wa members wa jukwaa la MMU.

Lengo la maandiko haya nikukutaka unipatie mitishamba ambayo itanipa ujasiri wa kumface mlengwa au kupata utaalum wa kumvuta aje mwenyewe.

Naamini nimefanikiwa.

Wasalaaam,

ndimi moniccca!
Nimekupm hata hujanijibu ila wewe...
 
Pole kwa majukumu ndug. Mshana Jr.

Nakuandikia maandiko haya kufuatia hali yangu kuwa taabani kwa mmoja wa members wa jukwaa la MMU.

Lengo la maandiko haya nikukutaka unipatie mitishamba ambayo itanipa ujasiri wa kumface mlengwa au kupata utaalum wa kumvuta aje mwenyewe.

Naamini nimefanikiwa.

Wasalaaam,

ndimi moniccca!
Monicca ww... una vituko jmn...
 
Dada njoo hapa nilipo nikupeleke kuna maji ya kisima cha mjerumani ukinywa hayo na kujipaka au kuoga kwa manuizo anakuja mwenyewe .
Nb:kisima ni cha mungu ila mawe ya mjeruman ni kikongwe haikauki chmchm enzi na enzi.
 
Pole kwa majukumu ndug. Mshana Jr.

Nakuandikia maandiko haya kufuatia hali yangu kuwa taabani kwa mmoja wa members wa jukwaa la MMU.

Lengo la maandiko haya nikukutaka unipatie mitishamba ambayo itanipa ujasiri wa kumface mlengwa au kupata utaalum wa kumvuta aje mwenyewe.

Naamini nimefanikiwa.

Wasalaaam,

ndimi moniccca!
Mfano akija alafu mkionana akawa tofauti na picha ulioijenga kichwan itakuaje? utaleta mrejesho jf?
 
Back
Top Bottom