Barua ya wazi kwa mshana Jr


MSHANA GWEEE!!!!!!!!!!!!!!!!
NGOMA INOGILEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
 
Kweli nimeamini "Kwenye miti hakuna wajenzi" [emoji1] [emoji1] . Na mimi ngoja nianze kujifundisha kazi ya uganga tu hakuna jinsi[emoji125]
 
Hata uninywie miti shamba, uoge kwa shubiri ya Kantalamba, Ufukize uvumba na ubani. Hutonipata Ng'oo.
 
Haya masharti duh[emoji15]
Hakuna yaliyo rahisi[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mzee ukitaka mazuri lazima ujitume. Hayo masharti yanatakiwa yafuatwe kituo kwa kituo. Msimkatishe tamaa monicca, ngoja atekeleze halafu atatupa mrejesho nyuma
 
Mzee ukitaka mazuri lazima ujitume. Hayo masharti yanatakiwa yafuatwe kituo kwa kituo. Msimkatishe tamaa monicca, ngoja atekeleze halafu atatupa mrejesho nyuma
Nakweli,..ila kwa monicca sijui kama ataweza,...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…