Barua ya wazi kwa mshana Jr

Barua ya wazi kwa mshana Jr

Pole kwa majukumu ndug. Mshana Jr.

Nakuandikia maandiko haya kufuatia hali yangu kuwa taabani kwa mmoja wa members wa jukwaa la MMU.

Lengo la maandiko haya nikukutaka unipatie mitishamba ambayo itanipa ujasiri wa kumface mlengwa au kupata utaalum wa kumvuta aje mwenyewe.

Naamini nimefanikiwa.

Wasalaaam,

ndimi moniccca!
Mzembe kweli ww...
 
Hili nalo neno, Inawezekana ndo maana mshana hachangamkii fursa
... May be jamaa bado anafanya kazi ya magufuli.....c mnajua tena uzembe kazini hahutakiwi as..."hapa kazi tuu".....xo m nahisi weekend atatupa mapigo............oyaaaaa brother mshana jr...aseeeee imekuja yenyew iyooooo
 
Mshana bora uje kwangu[emoji276]
Hivi alie muanzishia uzi KikulachoChako na nini? Kama wataka kugonganisha magari vile itabidi nikae na mzee mwenzangu KikulachoChako tuseme kidogo maana nahisi kama mambo yapo halijojo.
 
Hivi alie muanzishia uzi KikulachoChako na nini? Kama wataka kugonganisha magari vile itabidi nikae na mzee mwenzangu KikulachoChako tuseme kidogo maana nahisi kama mambo yapo halijojo.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Back
Top Bottom