Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Huyu demu anayejiita Moniccca ana kipi cha ziada?
Mbona mnampapatikia hivi?
[emoji12] au ana qumer ya dhahabu ili na mimi niunge tela?
Wangejua kama jina halisi la Monicca ni Mwakibo** from Mbeya,maeneo ya Forest.
Kwanza ni mnene,pili ni mweusi(sio black beauty) siunajua baridi la mbeya lilivyo na makusudi.
Alikulia chuga so anameno ya rangi rangi.
Endeleeni tu kupapatikia avatar na comments.