Barua ya wazi kwa Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba

Akimaliza kuota atakuja kutuambia vizuri
Mazuzu yasiyosoma habari utayajua tu. Majitu majinga, upumbavu umewajaa.

Wenye Akili na weledi wanawacheka jinsi mlivyo vichwa maji.

NB:Kama hujasoma habari yote kwanini una comment?
 
Kwahiyo unataka mechi nzima simba ndo wawe na mpira??

Unaleta hisia kwenye game, utajiua shauri yako
SOMA kwa kuelewa.

Halafu Jaribu kuuelewa mpira. Utaelewa mantiki ya kilichoongelewa.

Tutoe tahadhari mapema,kabla ubingwa haujaenda Halafu tutafute mchawi.
 
Ukikua utaacha ujinga
Kati yangu na wewe Nan mjinga. Tena WEWE ndiyo mpumbavu unaesoma page Moja na huambulii kitu.

Hahahaaaa mazuzu mko wengi Sana asee. Pole mkuu kwa ujinga!

SOMA Tena mpaka mwisho halaf utajiona mjinga!
 
Ulikuwa ume "hibernate"?
Hahahaaaa FRIEND OF DP WORLD. NAKUSALIMU KWA JINA LA DUBAI!

Aliye hibernate Ni mm au Ni ww.Sababu km umesoma mpaka mwisho usingevaa mask ya kuziba macho.

Kwasababu wewe Ni rafiki nitakuelewesha. Hiyo Ni post toka maktaba.

Pale mwisho kwenye NB. Nimeeleza Kwamba Ni post ambayo niliihifadhi na sikupunguza Wala kuongeza neno. Nimeipost km ilivyo.

Na si post yangu.nimeacha na jina la mwandishi km lilivyo.
 
Kuhusu kutojituma uwanjani simba wanao sana huu utamaduni na uto wameliona hili,tukikutana nao unaona kabisa juhudi wanayofanya,tuna wachezaji mafaza ambao uchezaji wao si kashkashi.
 
Kuna kila dalili kwamba hukujipanga kuanzisha uzi
 
Mm Ni utopolo makini ila mtendaji mkuu wa sc Ni iman kajura

Huyu wa Sasa umemtoa wapi bwana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…