Mdude_Nyagali
Member
- Dec 11, 2022
- 79
- 1,444
Activist kazi yake ni kujiongelesha sasa unamkataza asifanye kazi yake na kumuambia ajikite kwenye kazi yake hapohapo.Mjomba jikite kweye kazi zako kutwa kujiongelesha hakuna mwenye kazi na wewe wamekupuuza!
Kazi kuunga vyuma!Activist kazi yake ni kujiongelesha sasa unamkataza asifanye kazi yake na kumuambia ajikite kwenye kazi yake hapohapo.
Mene mene telekBaada ya kupata taarifa kupitia msamaria mwema kwamba Rais @SuluhuSamia anawinda roho yangu kupitia vikosi kazi vya utekaji, nilifanya kikao na wakili wangu. Wakili ameshauri niandike barua na kuweka public. Nimeshaandika barua na nimewapa ndugu wote ni zamu yenu kusoma barua hii.
Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu
Hii barua imekaa vizuri sana.Baada ya kupata taarifa kupitia msamaria mwema kwamba Rais @SuluhuSamia anawinda roho yangu kupitia vikosi kazi vya utekaji, nilifanya kikao na wakili wangu. Wakili ameshauri niandike barua na kuweka public. Nimeshaandika barua na nimewapa ndugu wote ni zamu yenu kusoma barua hii.
Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu
🤣🤣🤣Activist kazi yake ni kujiongelesha sasa unamkataza asifanye kazi yake na kumuambia ajikite kwenye kazi yake hapohapo.
Nchi haiendeshwi kwa kuunga vyuma tu.Kazi kuunga vyuma!
Mpaka apotezwe kwanza si ndio?Mjomba jikite kweye kazi zako kutwa kujiongelesha hakuna mwenye kazi na wewe wamekupuuza!
Wewe pimbi umefikia hatua ya kuelekeza watu cha kufanya?!Mjomba jikite kweye kazi zako kutwa kujiongelesha hakuna mwenye kazi na wewe wamekupuuza!
Hivi ulisikiliza ile hotuba amesema kachomeza mashushushu wanaompa taarifa? Sasa wale wale mashushushu wanaochukua taarifa wengine kwa huruma zao binafsi wametoboa mkeka akili kichwaniWewe domokeka hebu acha siasa za kishamba ambazo zishapitwa na wakati. Mtu anaetafuta kukuua hawezi kukupa taarifa na kitisho. Bali atasubiri uingie kwenye 18 zake/ zao ili wakupoteze kimya kimya bila ushahidi wa barua wala sim.
Uliwahi kuona kitisho chochote kwa mzee Ali Kibao?
Hajui kwamba itafika mahala watu wanakuchoka? Hajiulizi Kwa nini yeye tuu?Mjomba jikite kweye kazi zako kutwa kujiongelesha hakuna mwenye kazi na wewe wamekupuuza!