Barua ya Wazi kwa Rais Samia: Umuhimu wa kuanzisha na kuendeleza viwanda vya ARV nchini

Hii tumeshaanza kuchonga toothpicks au bado tunaagiza China?
 
yaani sisi vidampa ndio unataka tuingilie biashara za watu..kuna magonjwa wanene wa dunia wamefanya ni biashara kubwa ya kuuza madawa mojawapo ni hiyo ARV ni moja ya biashara kubwa inayowaingizia mabilioni ya dola..kama huamini ajaribu mtu yoyote kujitokeza hadharani kuwa anatibu ukimwi na ikawa kweli watu wanapona..ndio utaona kitakachomkuta..hayo magonjwa ni fursa ya kupiga hela usicheze anga za wahuni wanaofanya biashara ya madawa kupitia hayo maradhi.. ni zaidi ya hatari na kujitafutia balaa wakikugundua.!
 
Viwanda vipo na kuna mikataba ilisha sainiwa tayari.
 
Naomba panado ya kenya

Naomba metakeflin ya Italy

hivi viatu vimetokea moshi? Hapana naomba ivyo made in china

made in Tanzania?.aah hizi ztakua hazina ubora

Ndo tuproduce ARVs? Na watu wenyew wa CTC walivovurugwa
Viwanda vipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…