Elections 2010 Barua ya wazi kwa wana JF na Watanzania wote.

Elections 2010 Barua ya wazi kwa wana JF na Watanzania wote.

Ndugu wana JF, Ndugu Watanzania wenzangu, mabibi na mabwana, vijana na wazee, napenda kuchukua nafasi hii kuwapongeza wote walioshiriki kwa namna moja au nyingine katika kufanikisha uchaguzi huu mkuu. Shukurani za pekee ziwaendee viongozi wa JF, Wanachama wa JF, Vyama vyote vya siasa, wagombea wote toka udiwani mpaka urais.

Uchaguzi umekwisha, na jana tu tulikuwa tumegawanyika katika makundi, kama wana NCCR-Mageuzi, TLP, CHADEMA, CUF, CCM na kadhalika, Lakini leo sisi wote ni Watanzania. Watanzania kwa maana kusahau tofauti zetu za kivyama, kusahau majeraha ya kipindi cha kampeni na tudumishe ummoja ambao siku zote tumekuwa nao. Tukutane tena hapa JF bila ya kukumbushana mambo ya kampeni, tukutane Magomeni, mwanza, Zanzibar n.k na tupeane mikono kama zamani. Hii ndio Demokrasia na ni muhimu kuelewa kuwa mara kampeni zinapoisha basi hatuendelei nazo tena mpaka 2015 katika kipindi kile cha miezi 3. Vinginevyo tutasahau suala la ujenzi wa Taifa, na tukaendelea kupiga kampeni kwa kipindi cha miaka 5.

Kabla ya kuedelea nafikiri ni vyema nieleze nini ninachoamini mimi. Ninaamini katika Demokrasia, Ninaamini kuwa Demokrasia yetu itakuja si kwa 'Revolution bali kwa Evolution', Ninaamini kuwa Demokrasia ni Process inayochukua muda mrefu sambamba na elimu ya wananchi, uchumi na ueleo. Ninaamini kuwa CCM itapoteza viti vya ubunge Chaguzi baada ya chaguzi na kamwe haitavidharau vyama vya siasa na Rais toka upinzani atapatikana pale wabunge wa upinzan watafikia 40% ya wabunge wote wa Tanzania.

Demokrasia ni uchaguzi wa watanzania, na hatutarudi nyuma kamwe. Kuna usemi usemao pindi ukishaionja Demokrasia basi hata kwa bunduki hakuna kiongozi anayeweza kuwarudisha wananchi nyuma. Lakini siamini eti Demokrasia yetu ijengwe na watu au mataifa toka nje, hili halitowezekana na kama likitokea basi Demokrasia hiyo itakuwa sio halisia. Kwa hiyo kwa wale wanaotegemea nchi za Magharibi au Marekani ndio wajuzi wa kujenga Demikrasia yetu, wanajidanganya kwani hilo halitatokea ispokuwa vurugu. Kwa hiyo napenda kutoa ujumbe kwa wale wanaopenda kukimbilia nje ya nchi na kulalama dosari zilizojitokeza katika uchaguzi eti ndio huko kuna majibu, wanafanya kosa kubwa sana. Tuna nafasi ya kukutana wenyewe na tuelezane dosari kama vile walivyofanya Zanzibar kati ya CCM na CUF. Na tumehakikisha kuwa inawezekana! Ni vigumu kumaliza dosari katika nchi masikini kama yetu ambayo Teknolojia, ueleo, elimu na miundo mbinu bado ipo katika zama za ujima.

Watanzania ni watu wanaopenda umoja na amani. Kwa maana hiyo Chama chochote kitachotaka kuingia madarakani kwa kutengua moja kati ya hayo, chama hicho machoni mwa watanzania ni kama nguvu ya soda. Kitavuma kwa muda mfupi na kitatokomea pole pole na pengine hata kufa. Ikiwa chama kina mlengo wa Kikabila, dini, au rangi basi nacho kitakufa ama kitashinda ubunge tu katika maeneo yale ambayo walengwa wako wengi. Lakini kamwe hakitashinda urais! Kinyume chake, vyama hivyo vitaipa nguvu CCM iendelee kushinda na kuwa maarufu kwa miaka dahli. Tusaidiane kuvionya vyama au watu waliopo ndani ya vyama hivyo.

Pamoja na kulingana na nchi nyingi za Afrika na Afrika mashariki, lakini ukuaji wa Demokrasia ya Tanzania hautalingana na nchi yeyote ya Afrika. Kuna wanaopenda kulinganisha na Kenya kwa yale yaliyowasibu katika uchaguzi uliopita, lakini napenda kuwaeleza watanzania kuwa huko sisi hatutafika kwa vile tupo katika mazingira tofauti. Demokrasia ya Tanzania itakuzwa na kuimarishwa kupitia Bunge na sio mpaka chama cha upinzani kipate urais.

Mwisho napenda kuwashukuru tena Viongozi wa JF, na nina wosia mkubwa kwa wana JF na waandishi wote wa habari. Sekta yenu ni muhimu sana katika kuigeuza jamii kwa mazuri au mabaya, hivyo ni muhimu sana kwenu kufuata maadili ya uandishi. Hii ikiwa na pamoja na kutoandika kiushabiki au upendeleo wa chama fulani maadam unakipenda.

Mungu ibariki Tanzania, kibariki chama tawala kiweze kutuongoza vyema mpaka 2015.

Yaleyale aliyosema Maggid Mjengwa ........... Mbwa Kupiga Miluzi.

Haturudi nyuma kamwe. Uovu wenu tunaujua. Na wala hatutasahau. Tutapigania haki yetu mpaka Watanzania watakapokombolewa.
 
Ndugu wana JF, Ndugu Watanzania wenzangu, mabibi na mabwana, vijana na wazee, napenda kuchukua nafasi hii kuwapongeza wote walioshiriki kwa namna moja au nyingine katika kufanikisha uchaguzi huu mkuu. Shukurani za pekee ziwaendee viongozi wa JF, Wanachama wa JF, Vyama vyote vya siasa, wagombea wote toka udiwani mpaka urais.

Uchaguzi umekwisha, na jana tu tulikuwa tumegawanyika katika makundi, kama wana NCCR-Mageuzi, TLP, CHADEMA, CUF, CCM na kadhalika, Lakini leo sisi wote ni Watanzania. Watanzania kwa maana kusahau tofauti zetu za kivyama, kusahau majeraha ya kipindi cha kampeni na tudumishe ummoja ambao siku zote tumekuwa nao. Tukutane tena hapa JF bila ya kukumbushana mambo ya kampeni, tukutane Magomeni, mwanza, Zanzibar n.k na tupeane mikono kama zamani. Hii ndio Demokrasia na ni muhimu kuelewa kuwa mara kampeni zinapoisha basi hatuendelei nazo tena mpaka 2015 katika kipindi kile cha miezi 3. Vinginevyo tutasahau suala la ujenzi wa Taifa, na tukaendelea kupiga kampeni kwa kipindi cha miaka 5.

Kabla ya kuedelea nafikiri ni vyema nieleze nini ninachoamini mimi. Ninaamini katika Demokrasia, Ninaamini kuwa Demokrasia yetu itakuja si kwa 'Revolution bali kwa Evolution', Ninaamini kuwa Demokrasia ni Process inayochukua muda mrefu sambamba na elimu ya wananchi, uchumi na ueleo. Ninaamini kuwa CCM itapoteza viti vya ubunge Chaguzi baada ya chaguzi na kamwe haitavidharau vyama vya siasa na Rais toka upinzani atapatikana pale wabunge wa upinzan watafikia 40% ya wabunge wote wa Tanzania.

Demokrasia ni uchaguzi wa watanzania, na hatutarudi nyuma kamwe. Kuna usemi usemao pindi ukishaionja Demokrasia basi hata kwa bunduki hakuna kiongozi anayeweza kuwarudisha wananchi nyuma. Lakini siamini eti Demokrasia yetu ijengwe na watu au mataifa toka nje, hili halitowezekana na kama likitokea basi Demokrasia hiyo itakuwa sio halisia. Kwa hiyo kwa wale wanaotegemea nchi za Magharibi au Marekani ndio wajuzi wa kujenga Demikrasia yetu, wanajidanganya kwani hilo halitatokea ispokuwa vurugu. Kwa hiyo napenda kutoa ujumbe kwa wale wanaopenda kukimbilia nje ya nchi na kulalama dosari zilizojitokeza katika uchaguzi eti ndio huko kuna majibu, wanafanya kosa kubwa sana. Tuna nafasi ya kukutana wenyewe na tuelezane dosari kama vile walivyofanya Zanzibar kati ya CCM na CUF. Na tumehakikisha kuwa inawezekana! Ni vigumu kumaliza dosari katika nchi masikini kama yetu ambayo Teknolojia, ueleo, elimu na miundo mbinu bado ipo katika zama za ujima.

Watanzania ni watu wanaopenda umoja na amani. Kwa maana hiyo Chama chochote kitachotaka kuingia madarakani kwa kutengua moja kati ya hayo, chama hicho machoni mwa watanzania ni kama nguvu ya soda. Kitavuma kwa muda mfupi na kitatokomea pole pole na pengine hata kufa. Ikiwa chama kina mlengo wa Kikabila, dini, au rangi basi nacho kitakufa ama kitashinda ubunge tu katika maeneo yale ambayo walengwa wako wengi. Lakini kamwe hakitashinda urais! Kinyume chake, vyama hivyo vitaipa nguvu CCM iendelee kushinda na kuwa maarufu kwa miaka dahli. Tusaidiane kuvionya vyama au watu waliopo ndani ya vyama hivyo.

Pamoja na kulingana na nchi nyingi za Afrika na Afrika mashariki, lakini ukuaji wa Demokrasia ya Tanzania hautalingana na nchi yeyote ya Afrika. Kuna wanaopenda kulinganisha na Kenya kwa yale yaliyowasibu katika uchaguzi uliopita, lakini napenda kuwaeleza watanzania kuwa huko sisi hatutafika kwa vile tupo katika mazingira tofauti. Demokrasia ya Tanzania itakuzwa na kuimarishwa kupitia Bunge na sio mpaka chama cha upinzani kipate urais.

Mwisho napenda kuwashukuru tena Viongozi wa JF, na nina wosia mkubwa kwa wana JF na waandishi wote wa habari. Sekta yenu ni muhimu sana katika kuigeuza jamii kwa mazuri au mabaya, hivyo ni muhimu sana kwenu kufuata maadili ya uandishi. Hii ikiwa na pamoja na kutoandika kiushabiki au upendeleo wa chama fulani maadam unakipenda.

Mungu ibariki Tanzania, kibariki chama tawala kiweze kutuongoza vyema mpaka 2015.
nimesoma waraka wako. i have two words for you
KAFIE
MBELE
 
Wananchi hawawezi kudhulumiwa haki halafu mtu mmoja anakuja na sera za kuwa uchaguzi umekwisha tugange yajayo ningependa kukufahamisha bwana Zawadi kuwa evolution hufanya kazi wakati mwingine na wakati mwingine haifanyi kazi isipokuwa Revolution kama ANC ilivyofanya dhidi ya Makaburu, John Okello na wenzake dhidi ya Sultan wa Zanzibar, Samora Machel dhidi ya Wareno, Mugabe dhidi ya Ian Smith ambaye naye anatakiwa aondolewe kwa stahili hiyohiyo ya revolution, Museven dhidi ya Obote, Kagame dhidi ya Udhalimu wa wahutu, Kabila dhidi ya Mobutu, wapalestina dhidi ya waisrael, Wanasudani ya kusini dhidi ya waarabu wa kaskazini, Melis Zenawi wa Ethiopia dhidi ya dikteta Haile Magistu Mariam orodha ni ndefu inaendelea siwezi kuitaja yote.

Kwa hiyo kama CCM hawataki kuondoka kwa hiari wataondolewa kwa mabavu ole wao siku zinakuja

"The dogmass of the past will never stop the present storm" President Abraham Lincoln telling slave owners during emancipation of slaves
 
Katika thread ndefu hii kuna mawazo mgando ambayo hayawajengi watanzania. Kitu cha msingi hapa Demokrasia isibakwe. Tuachane na madai kuwa mataifa ya nje yanaingiza demkrasia nchini mwetu, tuongelee ubakaji wa demokrasia unaoendelea nchini. Matokeo yanayotangazwa yakiwa yameguibikwa na utata mkubwa, takwimu za waoiga kura zilizojaa mamluki n.k. Tukitaka demokrasia nchini Tanzania ikue, lazima maamuzi ya watanzania yaheshimiwe.

Halafu suala la kusema JF ni ya waandishi wa habari, sijui ni kwanini unakuwa na mtizamo huo. Labda wewe ni mwandishi wa habari lakini kwa ufahamu wangu hapa ni nyumbani kwa wengi wapenda maendeleo na wale wenye mawazo mapana.
Hata hivyo sishangai kuwa na wenye mawazo mgando na wale wapenda ufisadi maana ndivyo Mungu anavyotuumba na sisi mara zote hufanya uchaguzi mtizamo wetu kimawazo
HILI NILILIFAFANUA KWA UREFU KATIKA HOJA #14, nitanukuu hapachini.

"Mwisho niliposema waandishi wa habari JF, niliwalenga viongozi waendesha JF ambao kwa maoni yangu watofautiane na akina Zawadi wasiokuwa na ujuzi wa uandishi. Kama hawana wataalam wenye fani hiyo basi huu ni wakati kwa mtandao mkubwa kama huo kuwa na watu wa aina hiyo kama tuwajuavyo akina Mchuzi, Chemi Chemponda n.k."
 
Wananchi hawawezi kudhulumiwa haki halafu mtu mmoja anakuja na sera za kuwa uchaguzi umekwisha tugange yajayo ningependa kukufahamisha bwana Zawadi kuwa evolution hufanya kazi wakati mwingine na wakati mwingine haifanyi kazi isipokuwa Revolution kama ANC ilivyofanya dhidi ya Makaburu, John Okello na wenzake dhidi ya Sultan wa Zanzibar, Samora Machel dhidi ya Wareno, Mugabe dhidi ya Ian Smith ambaye naye anatakiwa aondolewe kwa stahili hiyohiyo ya revolution, Museven dhidi ya Obote, Kagame dhidi ya Udhalimu wa wahutu, Kabila dhidi ya Mobutu, wapalestina dhidi ya waisrael, Wanasudani ya kusini dhidi ya waarabu wa kaskazini, Melis Zenawi wa Ethiopia dhidi ya dikteta Haile Magistu Mariam orodha ni ndefu inaendelea siwezi kuitaja yote.

Kwa hiyo kama CCM hawataki kuondoka kwa hiari wataondolewa kwa mabavu ole wao siku zinakuja

"The dogmass of the past will never stop the present storm" President Abraham Lincoln telling slave owners during emancipation of slaves

Huko uko mbali sana, Tanzania haiko katika kundi lolote kati ya hayo uliyoyataja. Na ndio maana niliandika kuwa ni makosa kuilinganisha njia ya Demokrasia yetu na baadhi ya nchi za Afrika japokuwa tuna baadhi ya tamaduni tunazolingana.

Hili ulisemalo ni kosa kubwa baadhi ya watanzania wachache wanataka kulifanya. Hatuko katika nafasi ambayo, kagame, Mandela n.k waliyokuwa nayo. Waulize watanzania waliowengi upate kuwasikia mawazo yao.
 
Ndugu wana JF, Ndugu Watanzania wenzangu, mabibi na mabwana, vijana na wazee, napenda kuchukua nafasi hii kuwapongeza wote walioshiriki kwa namna moja au nyingine katika kufanikisha uchaguzi huu mkuu. Shukurani za pekee ziwaendee viongozi wa JF, Wanachama wa JF, Vyama vyote vya siasa, wagombea wote toka udiwani mpaka urais.

Uchaguzi umekwisha, na jana tu tulikuwa tumegawanyika katika makundi, kama wana NCCR-Mageuzi, TLP, CHADEMA, CUF, CCM na kadhalika, Lakini leo sisi wote ni Watanzania. Watanzania kwa maana kusahau tofauti zetu za kivyama, kusahau majeraha ya kipindi cha kampeni na tudumishe ummoja ambao siku zote tumekuwa nao. Tukutane tena hapa JF bila ya kukumbushana mambo ya kampeni, tukutane Magomeni, mwanza, Zanzibar n.k na tupeane mikono kama zamani. Hii ndio Demokrasia na ni muhimu kuelewa kuwa mara kampeni zinapoisha basi hatuendelei nazo tena mpaka 2015 katika kipindi kile cha miezi 3. Vinginevyo tutasahau suala la ujenzi wa Taifa, na tukaendelea kupiga kampeni kwa kipindi cha miaka 5.

Kabla ya kuedelea nafikiri ni vyema nieleze nini ninachoamini mimi. Ninaamini katika Demokrasia, Ninaamini kuwa Demokrasia yetu itakuja si kwa 'Revolution bali kwa Evolution', Ninaamini kuwa Demokrasia ni Process inayochukua muda mrefu sambamba na elimu ya wananchi, uchumi na ueleo. Ninaamini kuwa CCM itapoteza viti vya ubunge Chaguzi baada ya chaguzi na kamwe haitavidharau vyama vya siasa na Rais toka upinzani atapatikana pale wabunge wa upinzan watafikia 40% ya wabunge wote wa Tanzania.

Demokrasia ni uchaguzi wa watanzania, na hatutarudi nyuma kamwe. Kuna usemi usemao pindi ukishaionja Demokrasia basi hata kwa bunduki hakuna kiongozi anayeweza kuwarudisha wananchi nyuma. Lakini siamini eti Demokrasia yetu ijengwe na watu au mataifa toka nje, hili halitowezekana na kama likitokea basi Demokrasia hiyo itakuwa sio halisia. Kwa hiyo kwa wale wanaotegemea nchi za Magharibi au Marekani ndio wajuzi wa kujenga Demikrasia yetu, wanajidanganya kwani hilo halitatokea ispokuwa vurugu. Kwa hiyo napenda kutoa ujumbe kwa wale wanaopenda kukimbilia nje ya nchi na kulalama dosari zilizojitokeza katika uchaguzi eti ndio huko kuna majibu, wanafanya kosa kubwa sana. Tuna nafasi ya kukutana wenyewe na tuelezane dosari kama vile walivyofanya Zanzibar kati ya CCM na CUF. Na tumehakikisha kuwa inawezekana! Ni vigumu kumaliza dosari katika nchi masikini kama yetu ambayo Teknolojia, ueleo, elimu na miundo mbinu bado ipo katika zama za ujima.

Watanzania ni watu wanaopenda umoja na amani. Kwa maana hiyo Chama chochote kitachotaka kuingia madarakani kwa kutengua moja kati ya hayo, chama hicho machoni mwa watanzania ni kama nguvu ya soda. Kitavuma kwa muda mfupi na kitatokomea pole pole na pengine hata kufa. Ikiwa chama kina mlengo wa Kikabila, dini, au rangi basi nacho kitakufa ama kitashinda ubunge tu katika maeneo yale ambayo walengwa wako wengi. Lakini kamwe hakitashinda urais! Kinyume chake, vyama hivyo vitaipa nguvu CCM iendelee kushinda na kuwa maarufu kwa miaka dahli. Tusaidiane kuvionya vyama au watu waliopo ndani ya vyama hivyo.

Pamoja na kulingana na nchi nyingi za Afrika na Afrika mashariki, lakini ukuaji wa Demokrasia ya Tanzania hautalingana na nchi yeyote ya Afrika. Kuna wanaopenda kulinganisha na Kenya kwa yale yaliyowasibu katika uchaguzi uliopita, lakini napenda kuwaeleza watanzania kuwa huko sisi hatutafika kwa vile tupo katika mazingira tofauti. Demokrasia ya Tanzania itakuzwa na kuimarishwa kupitia Bunge na sio mpaka chama cha upinzani kipate urais.

Mwisho napenda kuwashukuru tena Viongozi wa JF, na nina wosia mkubwa kwa wana JF na waandishi wote wa habari. Sekta yenu ni muhimu sana katika kuigeuza jamii kwa mazuri au mabaya, hivyo ni muhimu sana kwenu kufuata maadili ya uandishi. Hii ikiwa na pamoja na kutoandika kiushabiki au upendeleo wa chama fulani maadam unakipenda.

Mungu ibariki Tanzania, kibariki chama tawala kiweze kutuongoza vyema mpaka 2015.

wee zawadi mi naona unanichefua tu na hii barua yako, mi nahisi umetumwa na wenzio unashirikiana nao kuhihujumu nchi hii na huna uzalendo wowote. sio siri mwl. nyerere angekuwepo na kuona hii dhuluma mnayoiendeleza ccm nahisi angejuuta kuwa ccm. bora ukae kimya kama huna la maana la kutuambia wana JF.:tape::tape::tape:
 
Bwn zawadi kwani umelogwa,tunasubiri majumuisho kutoka majimboni maana yaliyotangazwa ni ya awali. Baada ya majumuisho ndo tutajua nani ni nani na tukae vp kujenga utaifa na si vinginevyo!
 
Bwn zawadi kwani umelogwa,tunasubiri majumuisho kutoka majimboni maana yaliyotangazwa ni ya awali. Baada ya majumuisho ndo tutajua nani ni nani na tukae vp kujenga utaifa na si vinginevyo! Amani ya kulazimishana ili tuilinde,jaribu kuwapelekea ujumbe wale wanaochokoza amani kwa kupokonya ushindi wa wenzio. Nenda kishapu shy ndo ujionee watu walivochoka wale wanaopindisha amani,mkurugenz kakaa kando kupisha mapambano,mabomu ya machoz ndo yameshamiri karibia wiki nzima iliyopita. Sasa waambie wote wasiopenda amani,yaani vigang'anizi wa madaraka ndo waondoke watuachie amani. Peoples'Power!
 
Ndugu wana JF, Ndugu Watanzania wenzangu, mabibi na mabwana, vijana na wazee, napenda kuchukua nafasi hii kuwapongeza wote walioshiriki kwa namna moja au nyingine katika kufanikisha uchaguzi huu mkuu. Shukurani za pekee ziwaendee viongozi wa JF, Wanachama wa JF, Vyama vyote vya siasa, wagombea wote toka udiwani mpaka urais.

Uchaguzi umekwisha, na jana tu tulikuwa tumegawanyika katika makundi, kama wana NCCR-Mageuzi, TLP, CHADEMA, CUF, CCM na kadhalika, Lakini leo sisi wote ni Watanzania. Watanzania kwa maana kusahau tofauti zetu za kivyama, kusahau majeraha ya kipindi cha kampeni na tudumishe ummoja ambao siku zote tumekuwa nao. Tukutane tena hapa JF bila ya kukumbushana mambo ya kampeni, tukutane Magomeni, mwanza, Zanzibar n.k na tupeane mikono kama zamani. Hii ndio Demokrasia na ni muhimu kuelewa kuwa mara kampeni zinapoisha basi hatuendelei nazo tena mpaka 2015 katika kipindi kile cha miezi 3. Vinginevyo tutasahau suala la ujenzi wa Taifa, na tukaendelea kupiga kampeni kwa kipindi cha miaka 5.

Kabla ya kuedelea nafikiri ni vyema nieleze nini ninachoamini mimi. Ninaamini katika Demokrasia, Ninaamini kuwa Demokrasia yetu itakuja si kwa 'Revolution bali kwa Evolution', Ninaamini kuwa Demokrasia ni Process inayochukua muda mrefu sambamba na elimu ya wananchi, uchumi na ueleo. Ninaamini kuwa CCM itapoteza viti vya ubunge Chaguzi baada ya chaguzi na kamwe haitavidharau vyama vya siasa na Rais toka upinzani atapatikana pale wabunge wa upinzan watafikia 40% ya wabunge wote wa Tanzania.

Demokrasia ni uchaguzi wa watanzania, na hatutarudi nyuma kamwe. Kuna usemi usemao pindi ukishaionja Demokrasia basi hata kwa bunduki hakuna kiongozi anayeweza kuwarudisha wananchi nyuma. Lakini siamini eti Demokrasia yetu ijengwe na watu au mataifa toka nje, hili halitowezekana na kama likitokea basi Demokrasia hiyo itakuwa sio halisia. Kwa hiyo kwa wale wanaotegemea nchi za Magharibi au Marekani ndio wajuzi wa kujenga Demikrasia yetu, wanajidanganya kwani hilo halitatokea ispokuwa vurugu. Kwa hiyo napenda kutoa ujumbe kwa wale wanaopenda kukimbilia nje ya nchi na kulalama dosari zilizojitokeza katika uchaguzi eti ndio huko kuna majibu, wanafanya kosa kubwa sana. Tuna nafasi ya kukutana wenyewe na tuelezane dosari kama vile walivyofanya Zanzibar kati ya CCM na CUF. Na tumehakikisha kuwa inawezekana! Ni vigumu kumaliza dosari katika nchi masikini kama yetu ambayo Teknolojia, ueleo, elimu na miundo mbinu bado ipo katika zama za ujima.

Watanzania ni watu wanaopenda umoja na amani. Kwa maana hiyo Chama chochote kitachotaka kuingia madarakani kwa kutengua moja kati ya hayo, chama hicho machoni mwa watanzania ni kama nguvu ya soda. Kitavuma kwa muda mfupi na kitatokomea pole pole na pengine hata kufa. Ikiwa chama kina mlengo wa Kikabila, dini, au rangi basi nacho kitakufa ama kitashinda ubunge tu katika maeneo yale ambayo walengwa wako wengi. Lakini kamwe hakitashinda urais! Kinyume chake, vyama hivyo vitaipa nguvu CCM iendelee kushinda na kuwa maarufu kwa miaka dahli. Tusaidiane kuvionya vyama au watu waliopo ndani ya vyama hivyo.

Pamoja na kulingana na nchi nyingi za Afrika na Afrika mashariki, lakini ukuaji wa Demokrasia ya Tanzania hautalingana na nchi yeyote ya Afrika. Kuna wanaopenda kulinganisha na Kenya kwa yale yaliyowasibu katika uchaguzi uliopita, lakini napenda kuwaeleza watanzania kuwa huko sisi hatutafika kwa vile tupo katika mazingira tofauti. Demokrasia ya Tanzania itakuzwa na kuimarishwa kupitia Bunge na sio mpaka chama cha upinzani kipate urais.

Mwisho napenda kuwashukuru tena Viongozi wa JF, na nina wosia mkubwa kwa wana JF na waandishi wote wa habari. Sekta yenu ni muhimu sana katika kuigeuza jamii kwa mazuri au mabaya, hivyo ni muhimu sana kwenu kufuata maadili ya uandishi. Hii ikiwa na pamoja na kutoandika kiushabiki au upendeleo wa chama fulani maadam unakipenda.

Mungu ibariki Tanzania, kibariki chama tawala kiweze kutuongoza vyema mpaka 2015.
Unatupa wosia kwa kuwa your a dead man siyo?
Mbona wosia wako ni bla bla zile zile za Chenge na Makamba?
 
HILI NILILIFAFANUA KWA UREFU KATIKA HOJA #14, nitanukuu hapachini.

"Mwisho niliposema waandishi wa habari JF, niliwalenga viongozi waendesha JF ambao kwa maoni yangu watofautiane na akina Zawadi wasiokuwa na ujuzi wa uandishi. Kama hawana wataalam wenye fani hiyo basi huu ni wakati kwa mtandao mkubwa kama huo kuwa na watu wa aina hiyo kama tuwajuavyo akina Mchuzi, Chemi Chemponda n.k."
Umeambiwa kafie mbali kule hukusikia we mwana kibaraka?
 
Ndugu wana JF, Ndugu Watanzania wenzangu, mabibi na mabwana, vijana na wazee, napenda kuchukua nafasi hii kuwapongeza wote walioshiriki kwa namna moja au nyingine katika kufanikisha uchaguzi huu mkuu. Shukurani za pekee ziwaendee viongozi wa JF, Wanachama wa JF, Vyama vyote vya siasa, wagombea wote toka udiwani mpaka urais.

Uchaguzi umekwisha, na jana tu tulikuwa tumegawanyika katika makundi, kama wana NCCR-Mageuzi, TLP, CHADEMA, CUF, CCM na kadhalika, Lakini leo sisi wote ni Watanzania. Watanzania kwa maana kusahau tofauti zetu za kivyama, kusahau majeraha ya kipindi cha kampeni na tudumishe ummoja ambao siku zote tumekuwa nao. Tukutane tena hapa JF bila ya kukumbushana mambo ya kampeni, tukutane Magomeni, mwanza, Zanzibar n.k na tupeane mikono kama zamani. Hii ndio Demokrasia na ni muhimu kuelewa kuwa mara kampeni zinapoisha basi hatuendelei nazo tena mpaka 2015 katika kipindi kile cha miezi 3. Vinginevyo tutasahau suala la ujenzi wa Taifa, na tukaendelea kupiga kampeni kwa kipindi cha miaka 5.

Kabla ya kuedelea nafikiri ni vyema nieleze nini ninachoamini mimi. Ninaamini katika Demokrasia, Ninaamini kuwa Demokrasia yetu itakuja si kwa 'Revolution bali kwa Evolution', Ninaamini kuwa Demokrasia ni Process inayochukua muda mrefu sambamba na elimu ya wananchi, uchumi na ueleo. Ninaamini kuwa CCM itapoteza viti vya ubunge Chaguzi baada ya chaguzi na kamwe haitavidharau vyama vya siasa na Rais toka upinzani atapatikana pale wabunge wa upinzan watafikia 40% ya wabunge wote wa Tanzania.

Demokrasia ni uchaguzi wa watanzania, na hatutarudi nyuma kamwe. Kuna usemi usemao pindi ukishaionja Demokrasia basi hata kwa bunduki hakuna kiongozi anayeweza kuwarudisha wananchi nyuma. Lakini siamini eti Demokrasia yetu ijengwe na watu au mataifa toka nje, hili halitowezekana na kama likitokea basi Demokrasia hiyo itakuwa sio halisia. Kwa hiyo kwa wale wanaotegemea nchi za Magharibi au Marekani ndio wajuzi wa kujenga Demikrasia yetu, wanajidanganya kwani hilo halitatokea ispokuwa vurugu. Kwa hiyo napenda kutoa ujumbe kwa wale wanaopenda kukimbilia nje ya nchi na kulalama dosari zilizojitokeza katika uchaguzi eti ndio huko kuna majibu, wanafanya kosa kubwa sana. Tuna nafasi ya kukutana wenyewe na tuelezane dosari kama vile walivyofanya Zanzibar kati ya CCM na CUF. Na tumehakikisha kuwa inawezekana! Ni vigumu kumaliza dosari katika nchi masikini kama yetu ambayo Teknolojia, ueleo, elimu na miundo mbinu bado ipo katika zama za ujima.

Watanzania ni watu wanaopenda umoja na amani. Kwa maana hiyo Chama chochote kitachotaka kuingia madarakani kwa kutengua moja kati ya hayo, chama hicho machoni mwa watanzania ni kama nguvu ya soda. Kitavuma kwa muda mfupi na kitatokomea pole pole na pengine hata kufa. Ikiwa chama kina mlengo wa Kikabila, dini, au rangi basi nacho kitakufa ama kitashinda ubunge tu katika maeneo yale ambayo walengwa wako wengi. Lakini kamwe hakitashinda urais! Kinyume chake, vyama hivyo vitaipa nguvu CCM iendelee kushinda na kuwa maarufu kwa miaka dahli. Tusaidiane kuvionya vyama au watu waliopo ndani ya vyama hivyo.

Pamoja na kulingana na nchi nyingi za Afrika na Afrika mashariki, lakini ukuaji wa Demokrasia ya Tanzania hautalingana na nchi yeyote ya Afrika. Kuna wanaopenda kulinganisha na Kenya kwa yale yaliyowasibu katika uchaguzi uliopita, lakini napenda kuwaeleza watanzania kuwa huko sisi hatutafika kwa vile tupo katika mazingira tofauti. Demokrasia ya Tanzania itakuzwa na kuimarishwa kupitia Bunge na sio mpaka chama cha upinzani kipate urais.

Mwisho napenda kuwashukuru tena Viongozi wa JF, na nina wosia mkubwa kwa wana JF na waandishi wote wa habari. Sekta yenu ni muhimu sana katika kuigeuza jamii kwa mazuri au mabaya, hivyo ni muhimu sana kwenu kufuata maadili ya uandishi. Hii ikiwa na pamoja na kutoandika kiushabiki au upendeleo wa chama fulani maadam unakipenda.

Mungu ibariki Tanzania, kibariki chama tawala kiweze kutuongoza vyema mpaka 2015.


Kwa nini usiitwe Sikujua au Taabu au Majuto Ngoda!!!!???
 
Umejitahidi kuandika kwa mareeeeefu upuuzi wako ila nina neno moja tu la kukwambia.

UPUMBAVU WAKO HUU KAMWAMBIE BABA YAKO!!!!
 
zawadi, ujumbe wako ni mzuri, lakini zama hizi zinahitaki critical analysis na si blanket conclusions. ukiweza ku-analyze vizuri, ujumbe wako utakjuwa mzuri zaidi.

mfano kuwa demokrasia itaimarika bungeni na wakati mfumo wetu una demokrasia mbili yaani
1. demokrasia ya uwakilisi (bunge na madiwani) na
2. demokrasia ya moja kwa moja wakati wa uchaguzi

sasa kwa kusema demokrasia itaimarika kupitia bunge maana yake ume-ignore hii ya pili yaani ya moja kwa moja kwa wanachi kuchagua viongozi wao wakati wa uchaguzi, na unazua hisia za kubariki uchakachuaji wa kura nk.

ndio maana na sema ukiweza ku-analyze kidogo, ujumbe wako utakuwa mzuri zaidi

asante
 
ZAwadi, it is only human to take sides; Let's just say we can try and remain united in our political, religous as well as philosophical diversities. I hope you are not in any way suggesting that we should not speak out against injustices. I hope not!

Need you be reminded about blood shed in Zanzibar and Kenya before muafaka was reached? I think not! sometimes and probably always peace will be attained at a considrable cost. It is just natural with us socio-political beings.

God made us that way!
 
Bwn zawadi kwani umelogwa,tunasubiri majumuisho kutoka majimboni maana yaliyotangazwa ni ya awali. Baada ya majumuisho ndo tutajua nani ni nani na tukae vp kujenga utaifa na si vinginevyo!
Sijakuelewa ndugu yangu, yaani una maanisha matokeo hayajatoka.

Matokeo ndio hayo mliyoyasikia na Rais kashapatikana, kwani nyie mnataka marais wangapi? Ohooooo, haya ni mambo ya Abiola na Abacha!!!!!!!

Msituchafulie nchi yetu kwa tamaa zenu binafsi. Au hamuwaelewi watanzania? Kweli nyie hamtaweza kuiongoza nchi yetu.
 
Back
Top Bottom