Barua ya wazi Kwa wanawake: Usiolewe na mwanaume mpumbavu na mwoga!



Duuuh!!

Kweli maisha magumu.

Pole Sana Mkuu
 
Kiazi mmoja[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Maisha yasingekuwa magumu usingetoa maoni yenye ishara zote kuwa unasongwa na kuzingirwa.


Kila la Kheri Mkuu.

Mungu akakuonekanie
Ni kweli Mkuu uko sahihi , nilizingirwa , nazingirwa na nitazidi kuzingirwa, n kusongwa napenda mno kuzingirwa halafu napangua kiuanaume, kifupi Siogopi kuzingirwa! ndo maana nasema ''wewe muoga kwa sababu unaogopa kusongwa na kuzingirwa''

sisi huku ndo zetu! kusongwa na kuzingirwa yaani tukiona vepe wako kimyaaa!! sisi wanaume tunalianzisha wenyewe songo mbingo!! sasa juu yenu msuke au mnyoe!! ..... km lilee la Makaburu wa kusini unaona mchonga alivo lianzisha maksudi tu,

tuliona ujinga huu tukalipiga maksudi ! ...halafu tukakataa misaada yao!!... tukaogea magwanji maksudi tu!! ...si unaona walivo tuheshimu?? .. kwa hiyo mkuu ndo zetu hujakosea uko mulemule umetamka mwenyee! sie ndo damu iyoiyo!

Umenisifia sana kidume mie naamini ''Ugumu wa maisha ndo kipimo cha akili'' sasa weye unapata kiulainii tu tutakupimaje?? basi lazima kuna anaekutafutia?? yupo mtu km mie anae penda, kusongwa na kuzingirwa ndo anaekupa! furaha na jeuri !

Hongera kwa kutafutiwa!!...yani kwa kauli zile!! nilijua tu uko ivo! ..... Mungu Mwenyewe alizingirwa na kusongwa na shetani na akapangua faster na mie ni mfano wake!!

Huyo mungu wako mwambie kabisa kuwa staki anionekanie kwa sababu nitampa kibano cha mbwa mwizi, muoga! akizidisha kiherehere nampiga makofi simkawizi!! atakusimulia tu!! '' ire makitu nyarusare siyo'kabisaaaa'....... upo hapo baba mkuru!!!
 
Huu Uzi ni kwaajili ya waliooa na wenye mpango wa kuoa kwahio Mimi Single for life haunihusu.
 
Mwanaume yeyote asiyemjali mke wake ni Mpumbavu.
Hawa alizurula Bustanini peke yake!! hatimaye akakutana na nyoka akajaribiwa!! akamplekea tunda Mumewe nae akala pia!! kwa muktadha huo Babu wa mababu zako ni mpumbavu???

unajua weee!! dogo tubu hii laana!! itakusumbua sana, km unabisha subiri..... utaota naniliu lazima tu!
 
Kunywa soda kwa Mangi nitalipa
 
Kuna mengine umeongea sawa , kuna mengine umeongea kwa mihemuko na kudhihirisha upumbafu wako [emoji817] " kaa ujitafakari wewe mpumbavu
 
Mlivyokuwa mkidanganyana chuoni Leo hii mwenzako unamuona mpumbavu??

Nawakumbuka sana nyie watu pale chuo cha uhasibu tawi la singida mlikuwa mkilinga sanaaa.
 
hakuna mwanamme mpumbavu tambua hilo halafu kwa ufupi mwanamke bora anayetambua maana ya ndoa hawezi kufuata mali hatawewe hukuzaliwa na mali tambua hilo raha ya ndoa mtafute pamoja ilimuheshimiane mwanaume kupendeza inategemea makuzi yake siyo ukiwa mchafu ndiyo mfanya kazi, kuwbuka wale wanao pata mali za urithi ni wasumbufu sana . Sasa wewe mwanamke kaolewe na mtu wa aina hiyo uone utakavyo semwa majina yote utaitwa na hapo ndipo utakapo juwa mwanaume mwenye mali ndiyo wako au laa tafutandoa yako kwa msaada wa mungu na siyo kwa mtazamo wa binadamu .
 

😊😊😊
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…