Barua ya wazi kwa Waziri Innocent Bashungwa: TAMISEMI ina kero asilimia 70

Barua ya wazi kwa Waziri Innocent Bashungwa: TAMISEMI ina kero asilimia 70

keivanti

Member
Joined
Jul 29, 2022
Posts
92
Reaction score
97
Mh. Waziri TAMISEMI inakero zaidi ya asilimia 70.

Kwa kifupi sana na kwa maneno machache sana, Idara/vitengo huku chini kuna matatizo ya uonevu, unyanyasaji, kudharauliana, kuminyana, kuzibana midomo, kutiana presha watumishi idara za Elimu, zaidi sekondari. Kwa maagizo ya kurugenzi za wizara ya Tamisemi kwa kutetea watu wao wateule, hakuna imani na wasimamizi wako. Upo uwezekano mkubwa kuteuana kwa kujuana. Hakuna haki katika jambo hili.


Kipao mbele kwao ni posho na stahiki zao. Watumishi wa chini ni wahanga wakubwa. Jipange na tembea uone
 
Hakuna uteuzi utaupata bila kuusaka kwa udi na uvumba.

Tembeza noti chapu na haraka unapata unachokitaka.

Kama huna noti subiri uinvijileta wa drs la 4 na saba kama mimi.
 
una maana gani. Huyu ndgu hatasoma huu uzi
 
Hoja zako zote (OHNGERVAS) ni kulawiti, kupumulia wengine, wewe utaingia pabaya ipo siku yako
 
Bashungwa hii wizara imemlemea,huku anatakiwa mtu wa mikwara kidogo
 
Mh. Waziri TAMISEMI inakero zaidi ya asilimia 70.

Kwa kifupi sana na kwa maneno machache sana, Idara/vitengo huku chini kuna matatizo ya uonevu, unyanyasaji, kudharauliana, kuminyana, kuzibana midomo, kutiana presha watumishi idara za Elimu, zaidi sekondari. Kwa maagizo ya kurugenzi za wizara ya Tamisemi kwa kutetea watu wao wateule, hakuna imani na wasimamizi wako. Upo uwezekano mkubwa kuteuana kwa kujuana. Hakuna haki katika jambo hili.


Kipao mbele kwao ni posho na stahiki zao. Watumishi wa chini ni wahanga wakubwa. Jipange na tembea uone
Of course lakini muundo wake ndio unachangamoto..

Serikali Kuu ingetoa mamlaka ya Baraza la Madiwani kuajiri Mkurugenzi japo Kunaweza kuwa na mizengwe hasa ikitokea akasimamia sheria so unaona mtindo wa Sasa ni nafuu zaidi.
 
Back
Top Bottom