Barua ya wazi kwa Waziri wa Afya Ummy Mwalimu uliyekurupuka kuhusu Bima ya Afya

Barua ya wazi kwa Waziri wa Afya Ummy Mwalimu uliyekurupuka kuhusu Bima ya Afya

anti-Glazer

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2023
Posts
291
Reaction score
482
Ummy mwalimu.
Nianze kwa masikitiko makubwa ya kile kinachoendelea kwenye mahospitali, vituo vya afya na zahanati imma na binafsi.

Ummy (MB) na waziri umepewa dhamana lakini hujui msuguano uliosababisha. Wachangiaji na familia zetu typo kwenye mkwamo tusiostahili.

Huduma ya afya Kwa kadi za bima imekuwa kero KERO iliyokatika kiwango cha kuhatarisha ustahilivu. Kadi zinakataliwa, utaratibu wa kuzi renew unakera. Imegeuka as if Mimi ni muhuni mbele ya wasimamia upoleaji (NHIF)na kunihudumia kama mhalifu.

Yaani mmi mteja wao nakuwa kinyume chake, adha hizi Ziangalie Kwa haraka.

1. Kukataa kadi za wanachana.

2. Kuzuia kadi za wanachama.

3. Kuwadharau wanachama (nitaifafanua).

4. Watoto wetu wanaohitaji huduma hawastahili kuzuia kisa mabadiliko ya muonekano.

5. Kama kweli mnazingatia kumsaidia Mama Samia. Futeni mabadiliko na boresheni kwanza style ya kiuodate taarifa.

Ummy Mbunge na waziri mwenye dhamana alitoa maelekezo kadhaa lakini dharau zimezidi kiwango.

- Waziri Ummy atoa siku 14 kwa NHIF kukamilisha maboresho ya Toto Afya Kadi
 
Kurenew gani mbona bima zote ambazo zime expire kuanzia mwaka huu wanasema mpaka 2027 zitakuwa zinatumika tu wamesogeza mbele ?au changa la macho tena
 
Yaani ukienda na bima ni kama unatibiwa Bure dharau ni nyingi mno.....
Of course, NHIF ni ubabaishaishaji tu.

Kwasababu Hospitali hazilipwi na zikilipwa zinalipwa kidogo. Wana masharti Kama tani 💯.

Ndio maana vituo vingi vya afya hawawezi kukupa Dawa za maana kwa kutumia hiyo kadi ya NHIF, KWASABABU wanajua hawatalipwa.
 
MTANIKUMBUKA
Ummy mwalimu.
Nianze kwa masikitiko makubwa ya kile kinachoendelea kwenye mahospitali, vituo vya afya na zahanati imma na binafsi.

Ummy (MB) na waziri umepewa dhamana lakini hujui msuguano uliosababisha. Wachangiaji na familia zetu typo kwenye mkwamo tusiostahili.

Huduma ya afya Kwa kadi za bima imekuwa kero KERO iliyokatika kiwango cha kuhatarisha ustahilivu. Kadi zinakataliwa, utaratibu wa kuzi renew unakera. Imegeuka as if Mimi ni muhuni mbele ya wasimamia upoleaji (NHIF)na kunihudumia kama mhalifu.

Yaani mmi mteja wao nakuwa kinyume chake, adha hizi Ziangalie Kwa haraka.

1. Kukataa kadi za wanachana.

2. Kuzuia kadi za wanachama.

3. Kuwadharau wanachama (nitaifafanua).

4. Watoto wetu wanaohitaji huduma hawastahili kuzuia kisa mabadiliko ya muonekano.

5. Kama kweli mnazingatia kumsaidia Mama Samia. Futeni mabadiliko na boresheni kwanza style ya kiuodate taarifa.

Ummy Mbunge na waziri mwenye dhamana alitoa maelekezo kadhaa lakini dharau zimezidi kiwango.

- Waziri Ummy atoa siku 14 kwa NHIF kukamilisha maboresho ya Toto Afya Kadi
,
 
Yaani ukienda na bima ni kama unatibiwa Bure dharau ni nyingi mno.....
Yani ni kero kbs,hao wanaohakiki bima wanajibu wateja vby , wanazuia matibabu baadaye ukiwasiliana na bima unakuta hakuna tatizo la kumzuia Mteja asitibiwe, Yani hawatumii busara kbs. Ila Kuna baadhi ya wahudumu wa ukakiki wa Kadi wapo vzr.


Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom