KAMANDA MESHACK
Member
- Jan 14, 2014
- 38
- 12
Mh; Waziri napenda kukutumia barua ya wazi kutokana na kukosa namba yako ya simu.
YAH;MIZENGWE KATIKA NAFASI ZA WATOTO WALIO FAULU NA KUTAKIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA.
Rejea kichwa cha habari hapo juu ,mimi ni Mzazi wa mtoto IRENE FRANK MICHAELI,mtoto aliye kuwa akisoma katika shule ya KIVULINI iliyopo kisesa Magu Mwanza ,mtoto huyu alifauru kwa average GRADE A, Kwa mtililiko huu,Kiswahili B,English A ,Maarifa B ,Hisabati B ,science B .Mtoto huyu alipagwa katika shule ya wasichana Tabora ,chakusikitisha juzi tulipo kwenda shuleni hapo tulikuta jina lake limeondolewa kinyemela,tukalazimika kurudi Mwanza tulipo fika Mwanza tulikwenda katika ofisi ya Afisa elimu Mkoa ,Afisa elimu mkoa alituelekeza twende kwa Afisa elimu Wilaya ya Magu ,leo asubuhi tumekwenda Magu tumekuta nafasi ya mtoto wetu imeporwa,tulipo hoji waka twambia tulete ushaidi kama alipangwa Tabora. Mh.Waziri kama unavyo jua matokeo na mahali ambapo watoto upelekwa ubandikwa kwenye kuta ama kwenye mbao za matangazo ambavyo kwanza ni kosa kisheria kubandua tangazo la serikali,pili matokeo na alocation izo zimeisha banduliwa je huu ushaidi wanao utaka niutoe wapi?.Pili kwanini wamepora nafasi ya mwanangu.Mh;Waziri nakuomba uchunguze swala hili kwani kuna watoto wengi wameisha fanyiwa hivi ,mwisho warejeshe nafasi ya mwanangu na wafahamu haki uwa aipotei yaweza cheleweswa.Nategemea utanijibu kupitia ukurasa huu ama kwa barua pepe kaijuko@yahoo.com.
Nikutakie shuguli njema
YAH;MIZENGWE KATIKA NAFASI ZA WATOTO WALIO FAULU NA KUTAKIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA.
Rejea kichwa cha habari hapo juu ,mimi ni Mzazi wa mtoto IRENE FRANK MICHAELI,mtoto aliye kuwa akisoma katika shule ya KIVULINI iliyopo kisesa Magu Mwanza ,mtoto huyu alifauru kwa average GRADE A, Kwa mtililiko huu,Kiswahili B,English A ,Maarifa B ,Hisabati B ,science B .Mtoto huyu alipagwa katika shule ya wasichana Tabora ,chakusikitisha juzi tulipo kwenda shuleni hapo tulikuta jina lake limeondolewa kinyemela,tukalazimika kurudi Mwanza tulipo fika Mwanza tulikwenda katika ofisi ya Afisa elimu Mkoa ,Afisa elimu mkoa alituelekeza twende kwa Afisa elimu Wilaya ya Magu ,leo asubuhi tumekwenda Magu tumekuta nafasi ya mtoto wetu imeporwa,tulipo hoji waka twambia tulete ushaidi kama alipangwa Tabora. Mh.Waziri kama unavyo jua matokeo na mahali ambapo watoto upelekwa ubandikwa kwenye kuta ama kwenye mbao za matangazo ambavyo kwanza ni kosa kisheria kubandua tangazo la serikali,pili matokeo na alocation izo zimeisha banduliwa je huu ushaidi wanao utaka niutoe wapi?.Pili kwanini wamepora nafasi ya mwanangu.Mh;Waziri nakuomba uchunguze swala hili kwani kuna watoto wengi wameisha fanyiwa hivi ,mwisho warejeshe nafasi ya mwanangu na wafahamu haki uwa aipotei yaweza cheleweswa.Nategemea utanijibu kupitia ukurasa huu ama kwa barua pepe kaijuko@yahoo.com.
Nikutakie shuguli njema