Barua ya wazi kwa Zitto Kabwe: Jitoe kwenye Kamati ya Msajili wa Vyama vya Siasa, hana nia njema

Kuna watu wamesusia mchakato kimwili tu ila akili imegoma kususia ndio sababu hawaachi kufuatilia kila kinachoendelea
 
Zitto na timu yake wapuuzwe.

Jitihada mbadala za kudai katiba mpya yenye maslahi kwa wananchi zishike kasi zaidi.

Vibaraka, opportunists, na wenzao tukutane mbele ya safari panapo Majaliwa tukiwa na katiba na tume sahihi.
 
Tukienda na akili hizi za KICHADEMA CHADEMA hatuwezi kufanikisha jambo lolote! Kuzira zira kila jambo, HAPANA!
Kila jambo lazima liwe na mahali pa kuanzia na lack of these skills inawagharimu sana CHADEMA!
Zitto Kabwe piga kazi na hiyo time ya Jaji Mutungi ni nzuri!
Tunasubiri mapendekezo yenu ambayo mtatoa kwa ajili ya kupelekwa kwenye mkutano wa TCD!
Tatizo tuna watu wajuaji ambao "HAWAJUI HAWAJUI".
 
Chadema waliuona huu mtego wakaukwepa, huyu genius zito anafeli wapi?
 
Sasa twende na akili za majambazi ccm??

Tume huru halafu wajumbe woote wa ccm? Hivi nyie mkiwa huko ccm akilozote huwa mnawekez wapi?

Jaji Mtungi anapoteza muda wake na kujitekenya anacheka mwenyewe
 
Unaweza kuta tuna vyama viwili tu vya siasa vyengine vilivyobakia pamoja na members zake ni mashushu tu
Ndio ukweli wenyewe. Utakuta vyama tangu visajiriwe haviwjawahi fanya hata mkutano mmoja wa hadharaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Kuna watu wamesusia mchakato kimwili tu ila akili imegoma kususia ndio sababu hawaachi kufuatilia kila kinachoendelea

Una kiwango duni hivi cha ufikiri!? Tulipowasusia makaburu wa Afrika kusini tuliacha kufuatilia nyendo zao? Hatufuatilii kikao chao, tunafuatilia impact ya kikao chao kwenye mustakabali wa demokrasia ya nchi yetu.
 
Lakini kauli yake moja ambayo nimewahi kumwamini na alisema ukweli ni hii " usimwamini mwanasiasa yeyote"

Hapo hapo rafiki yangu mwingine akaniambia "politics is worse than prostitution"
" usimwamini mwanasiasa yeyote"

"politics is worse than prostitution"
😎
 
Sheikh wa mkoa wa Dar es Salaam aliwahi kumwambia Magufuli kuwa ni zaidi ya Yesu na Muhammad!

Your browser is not able to display this video.
 
Dr Shoo na Sheikh Issa Ponda Issa wanakubalika kwa misimamo yao ya haki
Sheikh wa Dar ki ukweli hakubaliki kabisa na waislam...Zitto anajuwa

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
H
Sasa twende na akili za majambazi ccm??

Tume huru halafu wajumbe woote wa ccm? Hivi nyie mkiwa huko ccm akilozote huwa mnawekez wapi?

Jaji Mtungi anapoteza muda wake na kujitekenya anacheka mwenyewe
Hiyo siyo tume huru ya uchaguzi bali ni kikosi kazi ( kamati) ya kupitia na kutoa mapendekezo ya kupelekwa TCD ili kujadiliwa na vyama vya siasa!
CHADEMA imejaza washabiki wajinga wajinga kweli! Katika siasa hamtafanikisha chochote kwa akili duni hizi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…