Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni haya 🤣🤓,New chawa in Town
We ndo uko sahihi, Jamaa ana jichekesha🤣😂Logout sasa uje kujijibu
Mwalimu kaamua kuji chekesha🤓Mwalimu kapata chawa
Sio una kuta, ni I'd ya mtu mmoko🤣😂JF ilivyo unakuta ID ni ya mtu mmoja
cc Hannah hii hapa comment yako unayoitafutaJF ilivyo unakuta ID ni ya mtu mmoja
Kwako Mkuu Dr,
Binafsi Mimi ni Kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 23, mwanafunzi mwaka wa tatu moja ya a chuo kikuu hapa jijini (DSM), binafsi Dr, naona wewe ni mtu humble, passionate na mwenye utu sana.
Dr Haya Land, mm binafsi naona na mengi sana ya kujifunza Toka kwako hasa inje ya maisha ya-hapa jf, kwani I'm still young boy with a lot of dreams.
Dr. Haya Land kama hutojali naomba niku-private message, please be my mentor bro.
Hapana muhusika ameshajibuSio una kuta, ni I'd ya mtu mmoko🤣😂
Hamna wivu wowote, ila ni kupaka rangi upepo🤓🤣Kwa comment za humu Ndani! Mmmh
Ni wivu tu,Ni wivu tu (Kwa sauti ya Gwajiboy)
Na u brigedia wako, huu mchezo huja uelewa🤓😄Hapana muhusika ameshajibu
Haha hujareport kule kwetuNa u brigedia wako, huu mchezo huja uelewa🤓😄
Ndo naenda tia timuHaha hujareport kule kwetu
'IS' is for singulars and 'ARE' is for plurals.Ohh!! Good to hear , ur most welcome
The builders is not destroyers
And destroyers is not builders.
So be builder, be achiever ,be a giver
God over everything.
Dah bro huachi u snitch🤔'IS' is for singulars and 'ARE' is for plurals.
Sio u snitch ila huwa sipendi kuona mtu anafanya makosa (huku yeye akijua yupo sawa) halafu nisimrekebishe.Dah bro huachi u snitch🤔
Sema una jikuta mwalimu kwenye uanafunzi, wakufunzi tuna kuona mpuuzi🤓.Sio u snitch ila huwa sipendi kuona mtu anafanya makosa (huku yeye akijua yupo sawa) halafu nisimrekebishe.