Hilo la jambo la kuwekwa kwenye kamati lilikuwa ninanikera sana.....
Kuna dada tulisoma pamoja Primary na alipoenda secondary tukawa tunawasiliana.....Ila siku moja alikuja na kituko eti marafiki zake wamekataa asiwe anaandikiana na mimi barua kwa sababu siyo wapenzi!!
Na mimi nikamuuliza kuwa, hao marafiki zako walitaka tuwe wapenzi??
Babu DC!!
Enzi hizo mabikira wakiume walikuwa wanapatikana mnatoana bikira wote cku ya graduation :loco:
Enzi hizo ilikuwa raha kweli..........................