Barua yangu kwako Godilavu


Ha ha ha wewe kweli umepitia milima na mabonde he he he Babu Babu Babu huyooooooooo
 
Enzi hizo mabikira wakiume walikuwa wanapatikana mnatoana bikira wote cku ya graduation :loco:
 
ahaaa haaaa naona Dena Amsi ameibuka na barua yake ya zamani...siku hizi mapenzi yamekuwa uongo mtupuuu eti skype...upuuzi mtupu
 
Last edited by a moderator:
ahaaa haaaa naona Dena Amsi ameibuka na barua yake ya zamani...siku hizi mapenzi yamekuwa uongo mtupuuu eti skype...upuuzi mtupu

Ha ha ha ha Smile nimemkumbuka Godilavu wangu wajameni acha tu enzi hizo alinipa saa ile ya kumulika mulika nikaivaa ha ha ha zamani raha sana
 
Enzi hizo mabikira wakiume walikuwa wanapatikana mnatoana bikira wote cku ya graduation :loco:


Halafu wote hamuelewi nini kinaendelea mnasikia tu hakuna hata .......ya kufanya tena kumbe ndo mlima kilimanjaro ushaufikia mwisho wake kha wajameni acheni tu
 
Enzi hizo mabikira wakiume walikuwa wanapatikana mnatoana bikira wote cku ya graduation :loco:

ha ha ha ha graduation ilikuwa kiboko enzi za blues za kina Judy Boucher he he he
 
Hivi Dena Amsi,

Kumbe jina lako jingine ni IRAVI yu???!!!!!


Halafu mbona umewahi sana JF kana kwamba umelala njaa???......lol!!!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…