Barua za Serikali za Mitaa zinazokubalika Sekretarieti ya Ajira kama utambulisho

Barua za Serikali za Mitaa zinazokubalika Sekretarieti ya Ajira kama utambulisho

Clark boots

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2017
Posts
6,770
Reaction score
6,202
Wadau,

Kutokana na huyu rafiki angu kutokuwa na Kitambulish cha aina yoyote nimeamua kumshauri aangalie na option ya kuomba barua kutoka Serikali yake ya mtaa anayoishi.

Sasa wakuu naomba mwongozo kwa mtu aliyewahi kutumia hii option inakuwaje hyo barua na ni kweli utumishi wanakubali bila kipingamizi?

Jamaa kaitwa interview na anategemea kwenda Dom Soon Ila mambo ya utambulisho bado yanamuwazisha for now.

Karibuni
 
Barua ya serikali za mtaa inakubalika Mkuu,
Mimi niliwahi kutumia kwenye interview ya utumishi
 
Nilikuwa na number tu ya nida, Wale maafisa wa utumishi wakasema wanahitaji ID na sio number, Wakanishauri niende kwenye ofisi za mwenyekiti wa mtaa kisha nikapatiwa barua iliyonitambulisha kufanya mtihani
 
Wadau,

Kutokana na huyu rafiki angu kutokuwa na Kitambulish cha aina yoyote nimeamua kumshauri aangalie na option ya kuomba barua kutoka Serikali yake ya mtaa anayoishi.

Sasa wakuu naomba mwongozo kwa mtu aliyewahi kutumia hii option inakuwaje hyo barua na ni kweli utumishi wanakubali bila kipingamizi?

Jamaa kaitwa interview na anategemea kwenda Dom Soon Ila mambo ya utambulisho bado yanamuwazisha for now.

Karibuni

Mbona kwenye mfumo wa portal kuna kipengele cha kujaza NIN na kama hujajaza unakuwa huna vigezo vya kuomba nafasi ya kazi mkuu.

Huyo jamaa alipataje kazi Utumishi kama hana utambulisho wowote kiongozi...?
 
Mbona kwenye mfumo wa portal kuna kipengele cha kujaza NIN na kama hujajaza unakuwa huna vigezo vya kuomba nafasi ya kazi mkuu.

Huyo jamaa alipataje kazi Utumishi kama hana utambulisho wowote kiongozi...?
Inaonesha hujaelewa mada mkuu.
Hints are:-
•Jamaa hajaajiriwa
• Kumbuka kuwa watanzania wengi tuna namba za Nida Ila vitambulisho hatuna(pia fahamu yeye anayo namba ya nida na ndo maana kaomba kazi na kaitwa Usaili.

Hapa nilibase kwenye Utambuzi, maana kule hata ukienda lazima uwe na nyaraka yoyote inayokitambulisha
 
Inaonesha hujaelewa mada mkuu.
Hints are:-
•Jamaa hajaajiriwa
• Kumbuka kuwa watanzania wengi tuna namba za Nida Ila vitambulisho hatuna(pia fahamu yeye anayo namba ya nida na ndo maana kaomba kazi na kaitwa Usaili.

Hapa nilibase kwenye Utambuzi, maana kule hata ukienda lazima uwe na nyaraka yoyote inayokitambulisha

Kama ni hivyo sawa, afanye mchakato wa kupata barua chaap aruke Idodomya...!
 
mm nipo nje ya mada kidogo vip leseni ya udereva wanaikubali kama kitambulisho maana matangazo yao wanatakaga kitambulisho cha kura,nida au hati ya kusafiria
 
Nasikia inakubalika Ila Huyu kijna hajui hata kuendesha gari😁..So option hapa ni kuhangaika ili apate barua tu ya Serikali ya mtaa
mm nipo nje ya mada kidogo vip leseni ya udereva wanaikubali kama kitambulisho maana matangazo yao wanatakaga kitambulisho cha kura,nida au hati ya kusafiri
 
Huyo rafiki yako yeye hawezi kuja jf kuomba msaada mwenyewe mpaka wewe ndiyo uje kumsemea?
 
Huyo rafiki yako yeye hawezi kuja jf kuomba msaada mwenyewe mpaka wewe ndiyo uje kumsemea?
Kwani dhambi Iko wapi.. fahamu kuwa sio Kila mtu Yuko interested na JF tena wengine hawaijui kabisa,, hii ni preference yangu tu kuja kuuliza on behalf Ila nilimpa nusu mwongozo kwamba hii issue ipo . Wadau wamethibitisha na nimemwambia jamaa kuwa afanye hvyo.
 
Kwani dhambi Iko wapi.. fahamu kuwa sio Kila mtu Yuko interested na JF tena wengine hawaijui kabisa,, hii ni preference yangu tu kuja kuuliza on behalf Ila nilimpa nusu mwongozo kwamba hii issue ipo . Wadau wamethibitisha na nimemwambia jamaa kuwa afanye hvyo.
Aende ofisi za kata kuna kitu kinaitwa kitambulisho cha mkazi wa eneo husika atapewa ni km buku 5 hivi
 
Aende ofisi za kata kuna kitu kinaitwa kitambulisho cha mkazi wa eneo husika atapewa ni km buku 5 hivi
Kama Kiko tofauti na barua si Bora aombe tu barua coz ni matumizi ya mara 1 tu
 
K
Inaonesha hujaelewa mada mkuu.
Hints are:-
•Jamaa hajaajiriwa
• Kumbuka kuwa watanzania wengi tuna namba za Nida Ila vitambulisho hatuna(pia fahamu yeye anayo namba ya nida na ndo maana kaomba kazi na kaitwa Usaili.

Hapa nilibase kwenye Utambuzi, maana kule hata ukienda lazima uwe na nyaraka yoyote inayokitambulisha
Kaka vp, japo kua nipo njee kdogo ya mada, hivi hizi ajira zi wizara ukiomba ,je unaruhusiwa kuomba na za tamisemi endapo zikitoka,
 
Back
Top Bottom