Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
- Thread starter
-
- #21
Shukrani mkuu kwa marekebisho 🙏Hii ni mpya kidogo kwangu hebu lete hii simulizi mkuu tuone iliwezekanaje.
NB: Nakukumbusha jina Yesu ni nomino kwahiyo unapoliandika jitahidi uwe unaanza na herufi kubwa. Asante.
Aaah! Hapo sawaKwa kuhusu picha ya Bwana yesu jamaa alitoa tofauti tofauti kama tatu hivi
na kutoka kwa Teller Report‘s ambao walitafsiri makala moja ya Uterwijk kuhusu picha za yesu
Jamaa anasema
“For one of the images, I added a little historical truth,” anaeleza “In one of the three versions, Jesus has shorter hair because historians do not believe that at that time, in the region of Galilee, in Israel, a man could have had hair so long.” …
“Sometimes I try to be as realistic as possible and sometimes I try to give a representation of how we perceive a character in history,”
Alimalizia hivyo Bas utewrjk
Sawa sawa mkuuAaah! Hapo sawa
🙏🙏🙏Sawa sawa mkuu
😂😂😂😂karibu mkuuTulikosa mada za namna hii kitambo kidogo.
Na kwa teknolojia itumikayo , ni dhahiri kwamba kama makosa ni machacheBinafsi huwa naamini picha yeyote ile haipishani sana na ukweli.
Mkuu program ya bandia ulikua unamaanisha nini?Mpiga picha huyo wa Uholanzi bwana Bas Uterwijk ametoa mfululizo wa picha za watu maarufu, pamoja na Yesu Kristo pia, kama kawaida akitumia akili na programm bandia.
Kuna siku nilapata kutazama bunge, nikabahatika kumshuhudia mbungeMkuu program ya bandia ulikua unamaanisha nini?
Ptolemaic Dynasty ambako alitokea Cleopatra walikuwa ni wagiriki.Sio wengi ni kama wote walikuwa Blacks mapaharao watawala walioteteresha dunia zamani hizo
Na hio ndiyo silaha aliyotupiga nayo mzungu ,katuacha mbali sana saivi twajiona dhalili
Chanzo kikubwa ni The Shroud of Turin, ambayo wanadai ilikuwa ni sanda ambayo alifungwa baada ya kutoka kusulubiwa. Damu za alama za majeraha zilibaki pale na Wakristo wengi waliamini kwamba ni sura ya Yesu, japo wengine hupinga kabisa. Walienda hadi mbali na kupima DNA kwenye kile kitambaa na kupata matokeo.Hiyo ya Jesus jamaa aliijuaje
DNA ilileta matokeo gani mkuu?Chanzo kikubwa ni The Shroud of Turin, ambayo wanadai ilikuwa ni sanda ambayo alifungwwa baada ya kutoka kusulubiwa. Damu za alama za majeraha zilibaki pale na Wakristo wengi waliamini kwamba ni sura ya Yesu, japo wengine hupinga kabisa. Walienda hadi mbali na kupima DNA kwenye kile kitambaa na kupata matokeo.
yaah cleopatra alikuwa mgirikiPtolemaic Dynasty ambako alitokea Cleopatra walikuwa ni wagiriki.
Wamekuta Blood Group ni AB.DNA ilileta matokeo gani mkuu?
Sahihii mkuuChanzo kikubwa ni The Shroud of Turin, ambayo wanadai ilikuwa ni sanda ambayo alifungwa baada ya kutoka kusulubiwa. Damu za alama za majeraha zilibaki pale na Wakristo wengi waliamini kwamba ni sura ya Yesu, japo wengine hupinga kabisa. Walienda hadi mbali na kupima DNA kwenye kile kitambaa na kupata matokeo.
Wamefanana sana na Ethiopians, Tutsi, Massai, Sudanese, Somali.Aiseee!!! Huyo Malkia alikua mrembo sana!
Sawa mkuu nitapitia jioniWamekuta Blood Group ni AB.
Mengine soma hapa:Uncovering the sources of DNA found on the Turin Shroud
Ethiopian habeisha 😂😂😂wazuri sana race yao si ni kule israel,Wamefanana sana na Ethiopians, Tutsi, Massai, Sudanese, Somali.