Kuna siku nilapata kutazama bunge, nikabahatika kumshuhudia mbunge
mwanamke simkumbiki jina vizuri alivyopata shida kupata tafsiri ya Artificial intelligence...akaishia kusema bandiaπππ
Nami pia nikakosa kiswahili fasaha cha program hii ambayo ni artificial
π€£π€£π€£π€£ π€£ Nadhani ni programu yenye utashi wa bandia
Unataka kuona huo urembo wao vile unafanania??π€£π€£vip mkuu daVinci XV hajatupia na picha ya cleopatra na yusuph watu waliosadikika kuwa wenye mvuto zaidi duniani kwa zama zao zile
naamUnataka kuona huo urembo wao vile unafanania??π€£π€£
Moderator marekebisho kwenye Heading hapo kwe utereijk isomeke UTERWIJK
Daaah mtihani sana ,mpaka leo hiiHivi Mods wanafanya kazi bure(kujitolea) au kuna chochote huwa wanapewa,,,?
Huwezi weka marekebisho then hadi leo hawajafanya chochote,,, May be kazi nyingi au ndio WANYONGE wa JPM
Tukana uone. Dakika 2 haooo.Hivi Mods wanafanya kazi bure(kujitolea) au kuna chochote huwa wanapewa,,,?
Huwezi weka marekebisho then hadi leo hawajafanya chochote,,, May be kazi nyingi au ndio WANYONGE wa JPM
π€£π€£π€£π€£Mafarao w Misri walikua warembo tu, ila uyo maamba Cesar anasura ya kuuwa uwa hivi.
π€£π€£π€£π€£Tukana uone. Dakika 2 haooo.
Ukiona hivyo ni kiini machoPicha ya yule wa upande ule mbona haipo...
Tukana uone. Dakika 2 haooo.
π π π πMafarao w Misri walikua warembo tu, ila uyo maamba Cesar anasura ya kuuwa uwa hivi.
π π π πWapo kama NZI,, Yaani wanatazama tu palipo na ubovu.
yupi huyo mkuu wa upande wa pili???Picha ya yule wa upande ule mbona haipo...
Mtume mudiyupi huyo mkuu wa upande wa pili???