BAS UTEREIJK: Fundi wa picha aliyetengeza picha ya Yesu na Pharaoh

BAS UTEREIJK: Fundi wa picha aliyetengeza picha ya Yesu na Pharaoh

Hakuna anayefahamu picha ya Yesu.... Hyo ni michoro Tu kama michoro mingine ya kubuni
 
Kuna siku nilapata kutazama bunge, nikabahatika kumshuhudia mbunge
mwanamke simkumbiki jina vizuri alivyopata shida kupata tafsiri ya Artificial intelligence...akaishia kusema bandia😂😂😂

Nami pia nikakosa kiswahili fasaha cha program hii ambayo ni artificial

🤣 🤣 Nadhani ni programu yenye utashi wa bandia
 
vip mkuu daVinci XV hajatupia na picha ya cleopatra na yusuph watu waliosadikika kuwa wenye mvuto zaidi duniani kwa zama zao zile
 
Mafarao w Misri walikua warembo tu, ila uyo maamba Cesar anasura ya kuuwa uwa hivi.
 
Back
Top Bottom