Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Sina shida kuhusu kumpigia campaign Diamond, kila mtu atachagua mtu wake wa kumpigia!
Shida yangu iko kwenye uandishi wa barua za kiserikali kuwekwa picha ya MTU na Katibu akaisaini kabisa.
Huu uandishi haukubaliki na naomba isijirudie tena.
Shida yangu iko kwenye uandishi wa barua za kiserikali kuwekwa picha ya MTU na Katibu akaisaini kabisa.
Huu uandishi haukubaliki na naomba isijirudie tena.