Ila Makonda alikuwa anawivu mkali sana kwa HayatiSina shida kuhusu kumpigia campaign Diamond, kila mtu atachagua mtu wake wa kumpigia!
Shida yangu iko kwenye uandishi wa barua za kiserikali kuwekwa picha ya MTU na Katibu akaisaini kabisa.
Huu uandishi haukubaliki na naomba isijirudie tena.
View attachment 1807677
View attachment 1807678
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app