BASATA: Diamond amestahili kukabidhiwa bendera ya Taifa kwa ajili ya show ya ufunguzi wa AFCON 2017

hivi watanzania mna nini cha kujivunia au kitu gani cha kuwatanganza kama taifa??!!! ukiachana na matusi mnayotukana kwenye pages za watu mitandaoni mna nini kingine cha kuwatangaza kama taifa??!!!! acheni upumbavu ninyi!!
muziki
 
BASATA kazi ilishawashinda zamani waendelee tu kuchezea keyboard za ofisi mana ndo walichobakiza
 
Mkuu post ya Ridhiwan ni ya kijinga na iliyojaa dharau na kejeli. Alikuwa na namna nyingi nzuri tu za kuwachallenge TFF na si kama alivyofanya.
kila kitu kakikuta uanategemea atakuwa naakili tmamu
 

Nina imani diamond anapenda ushauri, subiri atakaporudi kutoka huko anapokwenda kuwakilisha taifa kwa kuruka ruka then umwambie maana bila shaka we ni team "muziki mzuri" # ha ha hah haters bna.
 
Post ya Ridhiwan ndio ya kipuuzi. Imeonyesha dharau na kejeli kwa wanamziki. Hata kama alitaka kuwachallenge TFF si kwa staili ile. Kaonyesha dharau kubwa kwa Diamond Platinumz.

Taja kirefu cha TFF alafu ndio ulopoke hayo maneno yako,TFF na mziki wapa na wapi na basata wao ni nni?
RIZ MOKO YUPO SAHIHI kuwambia TFF hayo maneno ni akili ndogo tu ndio Hawajamuelewa Rizi.
 


utoto gan sasa hapo kafanya mkubwa fella au nn kibaya kaandike hapo
Kabla ya hii alipost post inayo onesha kama watu wanamchukia diamond na alianza Babu tale.. hii ni post ya pili nadhani baada ya kumuelewa Ridhiwani......
 

Natumaini jamaa akitumbuiza vizuri Viwango vyetu kwenye FIFA vitapanda.HAHAHAHAHA
 
Diamond ni balozi wa kiswahili, kawaimbisha watu kiswahili huko mayote...anastahili bendera mbili na diplomatic passport!
 


utoto gan sasa hapo kafanya mkubwa fella au nn kibaya kaandike hapo
Watanzania sijui ndio elimu imetupita kando yaani mi pia nilidhani kaongea pumba kumbe kajieleza very positive wala hakutusi wala kukandia mtu ,hajafanya kosa lolote apo mkubwa fela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…