BASATA: Diamond amestahili kukabidhiwa bendera ya Taifa kwa ajili ya show ya ufunguzi wa AFCON 2017

Post ya Ridhiwan ndio ya kipuuzi. Imeonyesha dharau na kejeli kwa wanamziki. Hata kama alitaka kuwachallenge TFF si kwa staili ile. Kaonyesha dharau kubwa kwa Diamond Platinumz.

Diamond ndio nani??
 
Ccm wenzio wanakuvuruga eeh?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…