BASATA hana HAKI wala WAJIBU wa kuzuia haki ya katiba ya kutoa maoni kupitia sanaa

BASATA hana HAKI wala WAJIBU wa kuzuia haki ya katiba ya kutoa maoni kupitia sanaa

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Miaka ya hivi karibuni Baraza la Sanaa la Tanzania limekosa kazi ya kufanya isipokuwa kusubiri wasanii watoe nyimbo ndo likae vikao kuzifungia.

Hata Rais Magufuli amewahi kutishia kulifuta Baraza hili kwa sababu aliona halina kitu chochote cha maana kinalofanya isipokuwa tu kugeuka na kuwa chombo cha kisiasa, nyapala wa kuzuia wasanii kutoa nyimbo ambazo zinakera watawala.

Baraza hili limeshindwa kuzuia miziki na sinema zenye kuhamasisha ngono lakini liko mbiombio kutisha na kusumbua wasanii wenye mrengo wa kuzungumzia mambo makubwa ya nchi.

Nataka niikumbushe BASATA kuwa ibara ya 8 ya Katiba ya nchi inatoa Uhuru wa maoni na haijazuia mtu yeyote kutumia sanaa kutoa Maoni yake.

Kwa hiyo nalitaka Baraza liache kumsumbua na Kumsakama kijana Ney wa Mitego kwa kutoa maoni yake juu ya nchi inavyokwenda.

Si kazi ya Baraza kukataza wasanii wasiongee kuwa nchi inakwenda pabaya, au tunaongozwa vibaya.

Baraza liache kufanya kazi ya watawala na badala yake lijikite katika kukuza na kuendeleza sanaa nchini.
 
Miaka ya hivi karibuni Baraza la Sanaa la Tanzania limekosa kazi ya kufanya isipokuwa kusubiri wasanii watoe nyimbo ndo likae vikao kuzifungia.

Hata Rais Magufuli amewahi kutishia kulifuta Baraza hili kwa sababu aliona halina kitu chochote cha maana kinalofanya isipokuwa tu kugeuka na kuwa chombo cha kisiasa, nyapala wa kuzuia wasanii kutoa nyimbo ambazo zinakera watawala.

Baraza hili limeshindwa kuzuia miziki na sinema zenye kuhamasisha ngono lakini liko mbiombio kutisha na kusumbua wasanii wenye mrengo wa kuzungumzia mambo makubwa ya nchi.

Nataka niikumbushe BASATA kuwa ibara ya 8 ya Katiba ya nchi inatoa Uhuru wa maoni na haijazuia mtu yeyote kutumia sanaa kutoa Maoni yake.

Kwa hiyo nalitaka Baraza liache kumsumbua na Kumsakama kijana Ney wa Mitego kwa kutoa maoni yake juu ya nchi inavyokwenda.

Si kazi ya Baraza kukataza wasanii wasiongee kuwa nchi inakwenda pabaya, au tunaongozwa vibaya.

Baraza liache kufanya kazi ya watawala na badala yake lijikite katika kukuza na kuendeleza sanaa nchini.
Ukweli mtupu, eti taharuki taharuki yao wanataka iwe ya watu wote? BASATA na wao watafute namna watunge nyimbo zinazozuia taharuki.
 
Miaka ya hivi karibuni Baraza la Sanaa la Tanzania limekosa kazi ya kufanya isipokuwa kusubiri wasanii watoe nyimbo ndo likae vikao kuzifungia.

Hata Rais Magufuli amewahi kutishia kulifuta Baraza hili kwa sababu aliona halina kitu chochote cha maana kinalofanya isipokuwa tu kugeuka na kuwa chombo cha kisiasa, nyapala wa kuzuia wasanii kutoa nyimbo ambazo zinakera watawala.

Baraza hili limeshindwa kuzuia miziki na sinema zenye kuhamasisha ngono lakini liko mbiombio kutisha na kusumbua wasanii wenye mrengo wa kuzungumzia mambo makubwa ya nchi.

Nataka niikumbushe BASATA kuwa ibara ya 8 ya Katiba ya nchi inatoa Uhuru wa maoni na haijazuia mtu yeyote kutumia sanaa kutoa Maoni yake.

Kwa hiyo nalitaka Baraza liache kumsumbua na Kumsakama kijana Ney wa Mitego kwa kutoa maoni yake juu ya nchi inavyokwenda.

Si kazi ya Baraza kukataza wasanii wasiongee kuwa nchi inakwenda pabaya, au tunaongozwa vibaya.

Baraza liache kufanya kazi ya watawala na badala yake lijikite katika kukuza na kuendeleza sanaa nchini.
Ni wapuuzi sana hawa basata. Wanaacha kufungia nyimbo zinazovunja maadili ya kitanzania, wanafungia nyimbo zinazokosoa serikali! Wanadhani kila mwananchi anakubaliana na hao wasanii wanaoimba mapenzi muda wote!
Hovyo kabisa!
 
BASATA haina shughuli za kufanya. Ni reactionary body. Halina kazi mpaka msanii atoe wimbo!
 
Back
Top Bottom