BASATA: Hatujapokea malalamiko ya Harmonize dhidi ya Wasafi na Ziiki

BASATA: Hatujapokea malalamiko ya Harmonize dhidi ya Wasafi na Ziiki

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Baraza la sanaa Tanzania limekiri kwamba hawajapokea malalamiko yoyote ya Harmonize dhidi ya Wasafi na Ziiki, Katibu wa BASATA amekiri Hilo baada ya kufanyiwa mahojiano na East Africa TV ameongeza kuwa sisi tunafanyia kazi malalamiko ambayo yamewasilishwa kwenye ofisi zetu official.

Na tumetatua matatizo mengi ikiwemo pamoja wasanii killy na mwenzake walikuja hapa kumstaki Harmonize juu yakutolipwa malipo yao na Harmonize na tukawahoji pande zote na tukatoa solution ila Hilo la malalamiko ya Harmonize dhidi ya Wasafi na Ziiki hatujapokea muhusika hajaja kuwasilisha hapa.
 
Baraza la sanaa Tanzania limekiri kwamba hawajapokea malalamiko yoyote ya Harmonize dhidi ya Wasafi na Ziiki, Katibu wa Basata amekiri Hilo baada ya kufanyiwa mahojiano na East Africa TV ameongeza kuwa sisi tunafanyia kazi malalamiko ambayo yamewasilishwa kwenye ofisi zetu official na tumetatua matatizo mengi ikiwemo pamoja wasanii killy na mwenzake walikuja hapa kumstaki Harmonize juu yakutolipwa malipo yao na Harmonize na tukawahoji pande zote na tukatoa solution ila Hilo la malalamiko ya Harmonize dhidi ya Wasafi na Ziiki hatujapokea muhusika hajaja kuwasilisha hapa.
Yeye matatizo yake huwa anayapeleka Instagram, huko ndiko anakoamini wana uwezo wa kuyatatua. BASATA tulieni tu, watakaokuja kwenu 'mtadili' nao haohao.
Bangi raha sana.
 
Back
Top Bottom