BASATA inamtafuta Msanii Linah Sanga

NDIYO
Amevaa cheni kiunoni afu akavaa chupi ya kamba kamba,,,,

Ila tu namwambia tunaoumiaa ni sisi watazamaji [emoji26][emoji26][emoji26]
Wacha wee... Kwahiyo hapo mnara ushasimama wima
 
Hivi linah baba yake si mchungaji[emoji1787][emoji1787],
 
Nime-zoom mpaka nikaona "Kamba" za kiunoni....[emoji12][emoji39][emoji28][emoji23]
 
Mbona kapendeza? Basata nao wana wivu yani hawapendi mtu apendeze
 
Kuna mwamba mmoja amewahi kusimulia humu JF kuwa aliwahi kumla huyu lina, na kwamba Binti anayajua mambo kweli kweli..

Kila nimuonapo Linah huwa nakumbuka maneno ya yule mwamba.
 
SIKU UKIKAONA HAKA LIVE, UNAWEZA TAPIKA. ALIYE GUNDUA FILTER KWENYE SIMU KUBABAKO HUKO ULIKO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…