BASATA inamtafuta Msanii Linah Sanga

BASATA inamtafuta Msanii Linah Sanga

Hivi linah baba yake si mchungaji[emoji1787][emoji1787],
 
Nime-zoom mpaka nikaona "Kamba" za kiunoni....[emoji12][emoji39][emoji28][emoji23]
 
Mbona kapendeza? Basata nao wana wivu yani hawapendi mtu apendeze
 
Kuna mwamba mmoja amewahi kusimulia humu JF kuwa aliwahi kumla huyu lina, na kwamba Binti anayajua mambo kweli kweli..

Kila nimuonapo Linah huwa nakumbuka maneno ya yule mwamba.
 
SIKU UKIKAONA HAKA LIVE, UNAWEZA TAPIKA. ALIYE GUNDUA FILTER KWENYE SIMU KUBABAKO HUKO ULIKO
 
Back
Top Bottom