BASATA inamtafuta Msanii Linah Sanga

BASATA inamtafuta Msanii Linah Sanga

Ya kubumba...

Ungekaona enzi kanatoka sitimbi kuja mjini, huwezi amini ndio huyu unamuona sasa

View attachment 1826203
Kwamba Wanawake Wote Wenye Figa Kama Ya Linah Ni Ya Kubumba? Wanawake Wengi wanavyozidi Kukua na Kuzaa Wanapanuka nyonga Na Kunenepa, Wapo Ninao wafahamu wamenenepA Wala Hawatumii Dawa Hizo
 
Wakuu Taarifa Zilizopo Ni Kwamba, Baraza La Sanaa Tanzania (BASATA) wanasaka Kwa Udi na Uvumba Msanii Linah Sanga Kwa Kupiga Picha Ambazo Sio Nzuri Kwenye Jamii.

Je Linah Sanga amekosea Kupiga Picha Kama Hii?

View attachment 1825622
Kioo Cha jamii, mtoto wa mchungaji, kakulia kwenye kwaya, mama wa mtoto mmoja, ndomana shabani kambwaga.
 
BASATA Ni BARAZA LA MABABU TANZANIA hawajui ulimwengu umebadirika waonwanaishi karne ya 19 Pumbafuuu zao

Usikute huyo mwenyekiti wa basata kaipigia nyeto hii picha halafu anajidai kumtafuta shubamiiiitii
 
Yuko swimming pool walitaka avae speedo kabisa?
Na picha yake aipost hukohuko swimming pool.
Atakuja kupost picha anaoga akiwa uchi utamtetea kuwa ,,si yuko bafuni, sasa aoge na nguo?

Shida si mahali alipo bali ni aina ya picha aliyoipost mitandao ya kijamii.
Mipaka lazima iwepo. Na inapendeza sana waafrika tunapodumisha mila zetu kwani zinatutambulisha vizuri duniani.
Umewai hudhuria mjadala kuhusu haki za binadamu pamoja na wazungu? Linapofika kwa mwafrika unawaona walivyo senstive na wanahamasika kusikiliza wakijua msimamo wa waafrika dhidi ya ushoga. Ukiutetea ushoga unaonekana hauna jipya kabisa kwani wao wanautetea zaidi yako.
 
Yuko swimming pool walitaka avae speedo kabisa?
Shida sio kuvaa.

Shida kwa nini asiishie huko huko badala yake anatuma kwenye mitandao ambayo watumiaji wake wengi hawako huko swiming pool ?

Ni sawa na wewe upo chooni unakidhi haja alafu ujipige picha usambaze basata wakikutafuta unasema si ulikuwa chooni bhana.

Ishu sio ulikuwa wapi,ishu ni je unaisambaza wapi.

Hawa wasanii watiwe adabu sana
 
Huyu bint eti sasahivi anafanya show muze, majimoto, namanyere kwa ally kessy
 
Basata wanataka nini tena!? Mbona kavaa gauni refu tu hadi miguuni!!

Ila hiko kimtu ni kifupi sana jamani.
 
Back
Top Bottom