Baraza la Sanaa Tanzania lamfutia usajili msanii Godfrey Tumaini maarufu Kama "Dudu baya" kwa kosa la kutumia mtandao wake wa Instagram kuwatukana wadau wa mziki.
Hivi karibuni msanii huyo alitumia maneno mabaya na kauli chafu kumtupia Mkurugenzi Mkuu wa Benchmark "Madam Rita" kwenye sakata lake la BSS anapodaiwa kutomlipa mshindi wa shindano hilo kwa mwaka 2019 kiasi cha milioni 50 alizoahidiwa.
Hii inakuwa Mara ya pili kwa msanii huyo kufutiwa usajili wake na BASATA baada ya hapo awali kusamehewa.
Hivi karibuni msanii huyo alitumia maneno mabaya na kauli chafu kumtupia Mkurugenzi Mkuu wa Benchmark "Madam Rita" kwenye sakata lake la BSS anapodaiwa kutomlipa mshindi wa shindano hilo kwa mwaka 2019 kiasi cha milioni 50 alizoahidiwa.
Hii inakuwa Mara ya pili kwa msanii huyo kufutiwa usajili wake na BASATA baada ya hapo awali kusamehewa.