- Thread starter
- #21
Alitakiwa sio tu kufutiwa usajili pekee alitakiwa ashitakiwe na serikali mahakamani.Bora apumzike.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alitakiwa sio tu kufutiwa usajili pekee alitakiwa ashitakiwe na serikali mahakamani.Bora apumzike.
Alitakiwa sio tu kufutiwa usajili pekee alitakiwa ashitakiwe na serikali mahakamani.
ashitakiwe kupitia sheria ya makosa ya mtandaoni mbona unamtetea ?Kwanini serikali ndiyo imshtaki na sio aliowatukana
Mkuu, uliiona hiyo clip ya hayo matusi?Kwanini serikali ndiyo imshtaki na sio aliowatukana
Kwani hao nao ni wasanii?hawa basata wanayumba tu, mbona akina diva, mwijaku na lokole wanatukana watu daily hawajafutiwa leseni za kazi?? huyu bwana anaonewa inshort
KonkikonkimasterAnatumia jina gani huko instagram
ashitakiwe kupitia sheria ya makosa ya mtandaoni mbona unamtetea ?
Ebu screenshot account yake ya Instagram maana ukiandika konkikonkimaster zinakuja nyingi au account yake wameifungia?Konkikonkimaster
Ebu screenshot account yake ya Instagram maana ukiandika konkikonkimaster zinakuja nyingi au account yake wameifungia?
Inaonekana hata Account yake wameifungaEbu screenshot account yake ya Instagram maana ukiandika konkikonkimaster zinakuja nyingi au account yake wameifungia?
Npo kisesa mkuu...pande zpi mwamba
Yah kweli wameifunga ukienda kwenye account yake haifungukiInaonekana hata Account yake wameifunga