Kuna nini huko mkuu😁😁😁😁Ahuweni niwe polisi kuliko kuwa mtumishi wa Basata.
Ukitaka kufuata utaratibu, anaetukanwa alipaswa kwenda kushtaki na siyo kuibuka vigenge vya watu na kujifanya wao ndio kila kitu.hawa basata wanayumba tu, mbona akina diva, mwijaku na lokole wanatukana watu daily hawajafutiwa leseni za kazi?? huyu bwana anaonewa inshort
Kwa maana yako we popoma mahakama ni za kuendesha kesi za wasanii na media pekee.Tanzania kuna miungu watu.
Huku Basata Wana Total Authority Kwa Msanii.
Huku TCRA wana full authority kwa Media.
Sasa Mahakamani za Nini ?
Zifutwe tu.
Jamaa hawajamuonea sio kwa matusi yale!! Nilimshangaa sana mshikaji nadhani ana tatizo la akili. Binadamu mwenye hekima na busara huwezi tukana vile!!hawa basata wanayumba tu, mbona akina diva, mwijaku na lokole wanatukana watu daily hawajafutiwa leseni za kazi?? huyu bwana anaonewa inshort
Tanzania kuna miungu watu.
Huku Basata Wana Total Authority Kwa Msanii.
Huku TCRA wana full authority kwa Media.
Sasa Mahakamani za Nini ?
Zifutwe tu.
hawa basata wanayumba tu, mbona akina diva, mwijaku na lokole wanatukana watu daily hawajafutiwa leseni za kazi?? huyu bwana anaonewa inshort
Wasafi waliishia wapi na huyu mzee