BASATA lamfuta usajili “Dudubaya”

Na anavyopenda instagram atakuwa anateseka sana,media zimemwacha kwa matusi yake alibaki tu insta kupambana
Yah kweli wameifunga ukienda kwenye account yake haifunguki

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
 
Da
Dudubaya Wanachi washamkataa , amebakiza kuwa kichekesho mtu kama Dudubaya mwenye miaka 50 anashindwa kuacha bangi na pombe akawa kama Prof Jay au AY / yeye anaona labda kuwa anapata attention kumbe ndo tiyar ameshakuwa kichekesho .
Dah jamaa ana 50,angemuoa maza yako angekuwa baba yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…