Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Sasa wewe "utmost good faith" unataka mharifu Jide asichukuliwe hatua stahiki?Kama tumefika uko,afungiwe na anayetaka msabwanda wa buku jero
Kumbe Giant Ragweed na Crabgrass nayo BANGE eeee?!!!!
Unamhukumu vp mtu kwa kusema "smoke weed" kuwa amemaanisha ni CANNABIS(marijuana)?!!!
Maskini MAADUI Wa dada JIDE bado wako very aggressive......
Juzi Alinikumbusha kwa nyimbo nzuri nilizozisikia udogoni ambazo till now ni superb......
Dada yetu JIDE Mungu Mwenyezi ATAENDELEA kukulinda,aaamen aaaamin.
Kumbe Giant Ragweed na Crabgrass nayo BANGE eeee?!!!!
Unamhukumu vp mtu kwa kusema "smoke weed" kuwa amemaanisha ni CANNABIS(marijuana)?!!!
Maskini MAADUI Wa dada JIDE bado wako very aggressive......
Juzi Alinikumbusha kwa nyimbo nzuri nilizozisikia udogoni ambazo till now ni superb......
Dada yetu JIDE Mungu Mwenyezi ATAENDELEA kukulinda,aaamen aaaamin.
Tusitafute technicalities na kujificha kwenye plain meaning za maneno, hapa tutumie overriding objective principles, tufuate substantive justice je vijana wetu wanapousikia mstari huo wanahamasika kufanya nini katika akili ya kawaida?
Hakuna technicallity...nijibu;weed ni Cannabis sativum?!!!
Purportedly Character Assassination...Kwa nini unapendekeza kwa basata jd afungiwe mwaka na umpendekeza album nzima ipigwe stop na kwa nini isiwe HIYO MISTARI YA WEED ICHOMOLEWE tu kwenye wimbo huska?, Watanzania tupendanane, kutengeneza album hela yake sio ndogo, halafu unataka afungiwe mwaka huo mwaka ambao hafanyi kazi ataishije?, Pls tusifikie chuko za kiasi hizo
Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
Kuna mwingine anasema weka mate niteleze kama nyoka pangoni..naamini alimaanisha kwa mpalange. Huyu ndo afungwe kabisaaaa [emoji2][emoji2]Kama tumefika uko,afungiwe na anayetaka msabwanda wa buku jero