BASATA mnakula hela za wasanii bure, hakuna mnachokifanya

BASATA mnakula hela za wasanii bure, hakuna mnachokifanya

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
915
Reaction score
1,082
Baraza la sanaa Tanzania sijaona kazi yenu kama madudu ndo haya mnamefeli. Jaribu kujipanga upya.

Diamondplatnumz ,alikataa kushiriki tuzo zenu afu mkampa tuzo ya heshima😁 mko sawa na utendaji kazi wenu kweli.

Umeandaa Tuzo za (TMA) ila kinachoendelea mnakijua nyie sijui mmelogwa au nini mnawaza. Baada ya basata kufanya muziki wetu upate heshima nyie ndo mnafanya muziki wetu na wasanii wetu waonekane ni wapuuzi.

Hivi Diamondplatnumz na Basata nani mkubwa hapo. Tafakari.

#basataGengeLawahuni
 
Diamondplatnumz ,alikataa kushiriki tuzo zenu afu mkampa tuzo ya heshima😁 mko sawa na utendaji kazi wenu kweli.
Madogo wapuuzi sana nyie, ulitaka hio tuzo apewe nanj? Kuna mtu hapa tz kafanya mziki ujulikane zaidi ya diamond?

Hamna exposure tatizo, na ndo maana kuna watu wanajua diamond ni mnaijeria sio mtanzania sababu jamaa ni mkubwa zaidi ya mziki anaoimba
 
Tuzo ya heshima ni kwa ajili ya kujipendekeza kwa diamond.

Kiuhalisia Diamond ni mkubwa kuliko viongozi wote wa basata.

Diamond anaongea na rais. Sizani kama kuna kiongozi wa basata ana uwezo wa kuongea na rais moja kwa moja
 
Back
Top Bottom