BASATA mpo wapi???? Rosa Lee anatuonesha sana nyeti zake.

Hii inaonyesha ni aina gani ya jamii iliyopo sasa, kuna wakati huwa natilia shaka umri wa baadhi ya members humu. Yale yasiyofaa ndiyo hupewa kipaumbele zaidi, na yale ya msingi hupuuzwa. Huwa najiuliza utajisikiaje utakapoona mwanao mdogo akionyeshwa vitu kama hivi! ama ukute mwanao mdogo akiimba... Nyeg.. Ngeg..?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
watoto hawapaswi kumiliki smartphone nao ni makosa pia!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu swala sio kumiliki simu, kuna mtu nilikua namuheshimu (mwalimu) nikakuta anamuonyesha mtoto wa miaka 4 clip moja ya jamaa wameingia kwenye uke wa tembo, kisha inaonyesha uume wa tembo ukiwa ndani alafu ana kojoa mkojo wa kiume, acha tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa si afungiwe post picha... Huo muziki wake unahusiana nn na hizo picha??
 
Acha wivu wa kijuma lukole a.k.a wivu wa kike.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atakayeona alipokaa uchi Rosee anioneshe labda miwani yangu imekufa lenzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…