BASATA tafadhai katazame huu wimbo haufai

BASATA tafadhai katazame huu wimbo haufai

Ubunifu wa Kisanaa haunaga mipaka, haunaga bei maalumu, Sanaa ni uwanda huru ambao mwanadam anaweza kuutumia kuexpress hisia na mawazo yake...

Tutamtumia kijana kwenye kampeni za kuhamasisha matumizi sahihi ya Vyoo, maana kibongobongo hili nalo ni tatizo sugu alafu ndo linaongoza kwa kutuwahisha ahera..
 
Back
Top Bottom