Mwacheni bhana anatafuta soko. Maisha yenyewe magumu hivi (JAZA UJAZWE)
Nahisi ndo yale mafuta yaliyopigwa marufuku kutumikaWamuulize kutuwekea msambwanda nje na kupakwa mafuta lainishi mgongoni ndo nini
Kweli picha zile picha ni za kike hadi benpol unamfanisha na wadada 😀😀Awa ni mazuzu kuna wadada karbia mia wanakaa uch instagram wamemuona benpol tu.. Au kiki
walikujibu vipi??? maana na mimi nataka niwapigie.[emoji23] [emoji23] [emoji23] Jana niliwapigia simu tigo kuwaambia hiyo Jaza Ujazwe na nimewapiga marufuku sitaki kusikia kwenye simu yangu....kauli gani hizo zina utata
Inisaidie kushareMwendo wa mateka
Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa Tanzania, BASATA, Godfrey Mngereza amelaani picha za nusu za utupu za msanii wa muziki, Ben Pol ambazo imezua tafrani kubwa kwenye mitandao ya kijamii.
Akiongea na Bongo5 Jumatatu hii, Mngereza amewataka wasanii kufanya kazi nzuri ambazo zinaweza kuwaweka sehemu nzuri na siyo kutengeneza mazingira ambayo yanautia dosari muziki wao.
“Sisi kama BASATA tumeona hizo picha mtandaoni, siyo kitu kizuri, kwanza hakiendani na tamaduni zetu. Kwahiyo sisi tunamtafuta Ben Pol halafu tumsikilize, atueleze zile picha ilikuwaje mpaka zikasambaa mitandaoni. Tukiongea naye tunaweza kutoa kauli yoyote na kulaani matukio ya namna hiyo,”
Aliongeza,” Pia naungana na wasanii waliolaani kitendo hiko ambacho ni cha ajabu sana na baraza kwa mamlaka yake kama mzazi haiwezi kukaa kimya lazima tujue kama ana tatizo la akili au maadili limemkumba Ben Pol.”
Pia Mngereza amewaomba wasanii wa Tanzania kwa upande wa muziki wafanye muziki mzuri wasitegemee kiki.
Chanzo: Bongo5
Mkuu unataka pakua kisamvu cha kopo kwa kijana?Mimi ninachojua Msanii Ben Paul alikuwa anatutangazia Biashara sisi Team Vunja Mayai na tunashukuru kuwa at least sasa tumeshajua Soko lipo wapi baada ya wenye hiyo Biashara muda mrefu pale Magomeni Mapipa kwa Macheni kustaafu rasmi. Mtoto kanona sana hakyanani!
Alisema kuwa wimbo unakuja unaitwa mateka. Hiyo picha ndio mwanzo wa kutangaza huo wimbo wakeInisaidie kushare