BASATA: Tunamtafuta Ben Pol atueleze kuhusu zile picha za nusu utupu

apana mkuu uwez fananisha mwanamke na mwanaume wakikaa uchi sio utamadun we2 huo wa kukaa uchi mwanamke ata akikaa uchi si mbaya 7bu anatamanisha wa2 wamjaze sasa mwanaume ukikaa uchi inamana naww unataka ujazwe ?
 
Mwacheni bhana anatafuta soko. Maisha yenyewe magumu hivi (JAZA UJAZWE)




[emoji23] [emoji23] [emoji23] Jana niliwapigia simu tigo kuwaambia hiyo Jaza Ujazwe na nimewapiga marufuku sitaki kusikia kwenye simu yangu....kauli gani hizo zina utata
 
kibakuli nae alivaa skirt, atafuywe aseme alikusudia nini kufanya vile!
 
Hawa jamaa nao wameishiwa kazi, kesho watamtafuta kiba kwa kuvaa sketi, zile picha wawatafute wataalam wa picha wawape ujumbe, mbona wasimtafute Giggy kwenye ile video na msando kuna mahali kavaa gauni bila chupi, au uchi wa kiume ni marufuku ila wa kike ni wa kuanikwa?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Jana niliwapigia simu tigo kuwaambia hiyo Jaza Ujazwe na nimewapiga marufuku sitaki kusikia kwenye simu yangu....kauli gani hizo zina utata
walikujibu vipi??? maana na mimi nataka niwapigie.
 
kuna utupu gani pale ulioonekana???

hawawaoni kina giggy na amber lulu wanavyokaa uchi live
 

Mimi ninachojua Msanii Ben Paul alikuwa anatutangazia Biashara sisi Team Vunja Mayai na tunashukuru kuwa at least sasa tumeshajua Soko lipo wapi baada ya wenye hiyo Biashara muda mrefu pale Magomeni Mapipa kwa Macheni kustaafu rasmi. Mtoto kanona sana hakyanani!
 
Mkuu unataka pakua kisamvu cha kopo kwa kijana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…