Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Wewe unaona ni sawa kuwekwa picha ya msanii amaUlitaka waweke picha yako?
Kwani tamko linahusu nini?Wewe unaona ni sawa kuwekwa picha ya msanii ama
Ya Jiwe.Ulitaka waweke picha yako?
Haya!Ya Jiwe.
Lisu anapambana na Diamond kumbuka Diamond ameajiri maelfu ya watu huku Lisu akiwa hana legacy nchini na hata jimboni kwake alipowahi kuwa mbunge kwa miaka kumi.Lisu kwa sasa amefugwa na Amsterdam Ubelgiji.Naona Baraza la Sanaa la Tanzania (BASATA), wametoa tamko la kumpongeza msanii Diamond kwa kuteuliwa kushirika katika hiyo tuzo na kusema iwapo atashinda, basi yatakuwa mafanikio ya nchi nzima.
Cha kushangaza katika tamko lao ni kuweka picha ya Diamond katika hilo tamko na siju kama ni sahihi kufanya hivyo.
Lingine la kushangaza ni kudai eti akishinda itakuwa ni moja ya mbinu ya kuvuta wawekezaji humu nchini na kukuza uchumi.
Kwani hiyo barua wamewatumia hao BET ππ ni hivi tuzo hampati hata muungane na bunge.Kwani tamko linahusu nini??
Kwani nani kakuambia wanapata?Kwan hyo barua wamewatumia hao BET ππ ni hivi tuzo hampati hata muungane na bunge.
DabliyusibiKwani Nani kakuambia wanapata?
Risasi alizopigwa Lissu zimeleta tabu kwenye mwili wake na afya yake ya akiliLisu anapambana na Diamond kumbuka Diamond ameajiri maelfu ya watu huku Lisu akiwa hana legacy nchini na hata jimboni kwake alipowahi kuwa mbunge kwa miaka kumi.Lisu kwa sasa amefugwa na Amsterdam Ubelgiji.View attachment 1807344