ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Vaa wewe kama umelikumbuka sana ilo kofiaAvae lile likofia alilopewa na mwendazake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vaa wewe kama umelikumbuka sana ilo kofiaAvae lile likofia alilopewa na mwendazake
Umekariri?jina katajwa picha ina tatizo gani?Wewe unaona ni sawa kuwekwa picha ya msanii ama
Unakoelekea utasema WATOE JINAWewe unaona ni sawa kuwekwa picha ya msanii ama
NIPO PAMOJA NA Lisu KWENYE MENGINE... hili la Diamond SIUNGANI NAYE KWENYE KUMPINGALisu anapambana na Diamond kumbuka Diamond ameajiri maelfu ya watu huku Lisu akiwa hana legacy nchini na hata jimboni kwake alipowahi kuwa mbunge kwa miaka kumi.Lisu kwa sasa amefugwa na Amsterdam Ubelgiji.View attachment 1807344
Punguza jazba.Vaa wewe kama umelikumbuka sana ilo kofia
Punguza jazba.
Ahahahahaha kumbe kuwaambia wengine wavae sio jazba, ila ukiambiwa uvae wewe ndio jazba, Acha hizoPunguza jazba.
Kosa lao ni Nini??,Je sheria hairuhusu au ni Mapenzi yako tu??.Naona Baraza la Sanaa la Tanzania (BASATA), wametoa tamko la kumpongeza msanii Diamond kwa kuteuliwa kushirika katika hiyo tuzo na kusema iwapo atashinda, basi yatakuwa mafanikio ya nchi nzima.
Cha kushangaza katika tamko lao ni kuweka picha ya Diamond katika hilo tamko na sijui kama ni sahihi kufanya hivyo.
Lingine la kushangaza ni kudai eti akishinda itakuwa ni moja ya mbinu ya kuvuta wawekezaji humu nchini na kukuza uchumi.
Ccm ya sabaya?Masikini chadema!
.
Wameishiwa hoja za kupambana na ccm sasa wamemgeukia diamond!
Lengo sio kupata.Kwani hiyo barua wamewatumia hao BET 😂😂 ni hivi tuzo hampati hata muungane na bunge.