BASATA wamempongeza Diamond kuteuliwa kushiriki tuzo za BET

Lisu anapambana na Diamond kumbuka Diamond ameajiri maelfu ya watu huku Lisu akiwa hana legacy nchini na hata jimboni kwake alipowahi kuwa mbunge kwa miaka kumi.Lisu kwa sasa amefugwa na Amsterdam Ubelgiji.View attachment 1807344
NIPO PAMOJA NA Lisu KWENYE MENGINE... hili la Diamond SIUNGANI NAYE KWENYE KUMPINGA
 
Kosa lao ni Nini??,Je sheria hairuhusu au ni Mapenzi yako tu??.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…