Mizania
JF-Expert Member
- May 17, 2023
- 3,812
- 3,277
Hii ni aina nyingine ya kufanya maandamano, ikizingatiwa ina matokeo makubwa!!! Kwa Mbeya imetiki!!!mbeya salute kwao hawataki ufalafala safi kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni aina nyingine ya kufanya maandamano, ikizingatiwa ina matokeo makubwa!!! Kwa Mbeya imetiki!!!mbeya salute kwao hawataki ufalafala safi kabisa
Je mbona hawaja laani ZUCHU kuchomekea siasa jukwaani au mambo ya P Didy?Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limelaani vikali kitendo alichofanyiwa Mwimbaji wa Bongo Flava, Zuhura Othman Soud cha Mashabiki kumtupia vitu jukwani katika Tamasha la Wasafi Festival lililofanyika Septemba 28, 2024 Mkoani Mbeya.
Katika taarifa yake kwa Umma, BASATA imetoa rai kwa Wadau wa Sanaa na Wasanii kuheshimu misingi ya kiungwana ili kuepusha migongano isiyokua na tija na kuwataka pia Waandaaji wa matukio ya Muziki kuzingatia mazingira salama kwa Wasanii na Wadau wake katika matamasha ya Muziki.
“Baraza la Sanaa la Taifa linalaani tukio lililovuruga utumbuizaji kwa Mwanamuziki Zuhura Othman Soud (Zuchu) baada ya kutupiwa vitu jukwaani na Mashabiki” - imeeleza taarifa ya BASATA.
Pia, soma: Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete, Zuchu akimbia jukwaa
Wawafungie mashabiki kufatilia mzkki wake 😄
Kwanza nani anashida na wasanii hao
Ova
Ila alivyoleta siasa kwenye burudani waliona sawaBaraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limelaani vikali kitendo alichofanyiwa Mwimbaji wa Bongo Flava, Zuhura Othman Soud cha Mashabiki kumtupia vitu jukwani katika Tamasha la Wasafi Festival lililofanyika Septemba 28, 2024 Mkoani Mbeya.
Katika taarifa yake kwa Umma, BASATA imetoa rai kwa Wadau wa Sanaa na Wasanii kuheshimu misingi ya kiungwana ili kuepusha migongano isiyokua na tija na kuwataka pia Waandaaji wa matukio ya Muziki kuzingatia mazingira salama kwa Wasanii na Wadau wake katika matamasha ya Muziki.
“Baraza la Sanaa la Taifa linalaani tukio lililovuruga utumbuizaji kwa Mwanamuziki Zuhura Othman Soud (Zuchu) baada ya kutupiwa vitu jukwaani na Mashabiki” - imeeleza taarifa ya BASATA.
Pia, soma: Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete, Zuchu akimbia jukwaa